Huyu Mimi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2019
- 2,575
- 2,120
matokeo + na -ila yule sidhan kama katumia japo sina uwakika
hivi hizo dawa zina matokeo chanya kweli
Zina Madhara Baadae Asee
matokeo + na -ila yule sidhan kama katumia japo sina uwakika
hivi hizo dawa zina matokeo chanya kweli
Sikia, hizo dawa hata zingelikuwa zinafanya kazi vizuri na ni original, tatizo lipo kwenye soko la mahitaji.Wananzengo naomba kuuliza hivi hizi waziitazo dawa za kuongeza makalio ambazo ki ukweli insta karibu asilimia kubwa wanazitangaza kwa sasa zinazidi kuongezeka je ni kweli zinafanya kazi?
Na kama zina fanya, nani ana ushuhuda huo?
Lakini pia mamlaka usika hili suala mliangalie kwa ukaribu kama halina madhara au lina madhara maana ki ukweli sidhani kama haya mafuta na madawa TFDA wameyakagua, ni pamoja na krimu za kujichubua siku hizi kila mtu anatengeneza kienyeji enyeji.
Ile shep hajatumia dawaila yule sidhan kama katumia japo sina uwakika
hivi hizo dawa zina matokeo chanya kweli
Mashavu ya K*Hahaha mashavu! !!
Mashavu yapi mkuu. ..?fafanua kwa kina tafadhali
Mashavu ya K*
Siku hizi nayo imekuwa fashion
Watu wa Dar mnatisha sana.Ndiyo maana mnaitana vibamiaWananzengo naomba kuuliza hivi hizi waziitazo dawa za kuongeza makalio ambazo ki ukweli insta karibu asilimia kubwa wanazitangaza kwa sasa zinazidi kuongezeka je ni kweli zinafanya kazi?
Na kama zina fanya, nani ana ushuhuda huo?
Lakini pia mamlaka usika hili suala mliangalie kwa ukaribu kama halina madhara au lina madhara maana ki ukweli sidhani kama haya mafuta na madawa TFDA wameyakagua, ni pamoja na krimu za kujichubua siku hizi kila mtu anatengeneza kienyeji enyeji.
kuna dada anaitwa Poshy amekaribishwa Bungeni kuzinadi hizo dawa.
instagram.com
ewaaaa![]()
Poshy Queen (@poshyqueeen) • Instagram photos and videos
905K Followers, 7 Following, 297 Posts - See Instagram photos and videos from Poshy Queen (@poshyqueeen)instagram.com
Mtizame wema sepetu alivyo saivi...and linganisha na alivyokuwa miaka miwili kabla...that is not aging at all..mkorogo wa kijiko kizuiani una wateja lakini una madhara makubwa sana
waru wanakua kama ndizi ikiyochomwa
sasa swali ni je japo kuna wateja je INA MATOKEO CHANYA
hHhahahah katika matangazo yao wanawwka shepu Og wanadanganya ukitumia unakua hivyoIle shep hajatumia dawa
Inatumika kudanganyia watu kuwa ukitumia dawa fulani unakuwa na shape kama hiyo
Tafuta picha zake za zaman, utajionea,ila yule sidhan kama katumia japo sina uwakika
hivi hizo dawa zina matokeo chanya kweli
mkuu kwa upande wako ila wanaume wengi wanapenda hivyo vituSikia, hizo dawa hata zingelikuwa zinafanya kazi vizuri na ni original, tatizo lipo kwenye soko la mahitaji.
Hivi nani aliwaroga wanawake na kuwaaminisha kuwa makalio makubwa na kubleach ngozi na nywele ndiyo mahitajio ya kila mwanaume duniani?
Unakuta kila mwanamke ni mkorogo na ku fake shape!
Wanawake wote na maumbile yao na sura zao za asili, ndiyo mahitajio yetu wanaume tuliopo.
Emb jaribuni tu kuoga na kujikwatua bila kutumia hayo makitu, muone kama "dada wasemaje"zitakoma.
Tena wenyewe ni mashahidi, mwanamke aliyejiweka natural mtaani anagombaniwa na wanaume kuliko mwenye ma bleach yake kila kona ya mwili.
Wengine akili zetu zina kinyaa, nikiona ume fake rangi na nywele zako, hata naniliu ntajua kuwa nayo itakuwa ni fake tu, nakuona napotezea.
Tutendeeni haki kwa kuacha sura zenu za asili alizowabarikia M/Mungu, maana ndiyo mahitajio yetu sisi wanaume zenu.
Mashavu gani?Na wengine wajitokeze watuonyeshe kabla na baada ya matumizi turidhishe nafsi zetu.....
Mimi natafuta za kuongeza mashavu...![]()


Mashavu gani?![]()