hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,604
- 73,982
Kweli mkuu?
kuna dada anaitwa Poshy amekaribishwa Bungeni kuzinadi hizo dawa.
kuna dada anaitwa Poshy amekaribishwa Bungeni kuzinadi hizo dawa.
Hayo mambo yote ya ki lofa. japo mimi binafsi huwa natamani zile lace wig zao zingekuwa nywele zao za asili.
Tako linaongezwa na dawa,na mawigi yanavaliwa na dawa?
Hahaha
mkorogo wa kijiko kizuiani una wateja lakini una madhara makubwa sanaNdio ujue kuwa zinawateja
zinamatokeo chanya na huyo Poshy yeye ndiyo ushahidi tosha.ila yule sidhan kama katumia japo sina uwakika
hivi hizo dawa zina matokeo chanya kweli
Kama wigi halina tatizo tako pia mkuuu au wewe unasemaje upande wako
kutaman ni hatua moja wapo ya kupendaHata hz za nguvu za kiume nazo ni kuzidi kujiua tu, na cha kushangaza wanapata wateja, halaf hio misambwanda wasivyojua weng tukiiona tunawaza ngono/kitandan na sio mke wala ndoa, pumbav
mkorogo wa kijiko kizuiani una wateja lakini una madhara makubwa sana
waru wanakua kama ndizi ikiyochomwa
sasa swali ni je japo kuna wateja je INA MATOKEO CHANYA
poshy wanasema alifanya upasuaji china....sina uwakikazinamatokeo chanya na huyo Poshy yeye ndiyo ushahidi tosha.
hana hela hiyo......sina uhakikaposhy wanasema alifanya upasuaji china....sina uwakika
Kweli kwa sababu vyote ni nyiongeza ambayo isio na uhalisia wa maumbile ya mtu
before nilimuonaMatokeo chanya yapo. Kwani huyo posh haumjui. ...? Haujawahi kumuona alivyo kuwa before and after ?
sasahivi mpambano ni nguvu za kiume & makalioSambamba na za kuongeza nguvu za kiume
Kwanza huu ni ujinga. Hawajui kuna wanaume wengine hawapendi makalio makubwa? Kwa mfano mimi napenda ya kizungu...
Ndio hivyo wawa ache tu - kila mtu ana mwili wakeAbsofuckinglutly right
china wanadai ni bei ya kaawaida ila risk sanahana hela hiyo......sina uhakika
mhhh picha zake za before and after zinanishawishi hips sio OG,china wanadai ni bei ya kaawaida ila risk sana
ila kwa labda aliyemuona poshi ndani ya nguo labda sijawah muona na bikini
ndo utajua kama matokeo ni chanya
maana ndani unaweza kutoka mabonde mabonde