Wimbi la dawa za kuongeza makalio

Wimbi la dawa za kuongeza makalio

Umenichekesha hapo uliposema munaibiwa wanaume hahahaha ila ni kweli kabisa mana mabinti wakijikandika ayo kwa kweli lazima udate wanakuwa wamependeza hatari ila sasa serikali kuzuia itakuwa ngumu coz wanalipa kodi na nchi yetu hii wanaangalia kodi mazara atajua mtumiaji mwenyewe
Dawa hayo madawa yapigwe marufuku tu plus kope,kucha,nyusi,makalio,chuchu,tumbo(bandia) na wigi zote kwani zina madhara.

Tunaibiwa wanaume,mtu mweusi tiiii lakini akijikoboa anakuwa kama Mkorea/Mwarabu.

Wanachokitafuta watakipata tu siku moja.
 
Usijifanyie sanamu wala mfano wa kitu chochote. Sasa kutengeneza makalio ni kujifanyia sanamu na MUNGU anawaona
 
Hahahahahaha,,, hatari sana mkuu ila hawa dada zetu kwani wanaelewa hata yani unaweza kuleta hapa hata ushaidi wa picha mtu kapasuka matako lakini wala hawatakuelewa kabisa kikubwa tiwaache tu wafanye mambo yao mwisho wa siku watakipata wanachokitafuta
Experience:Kuna mmoja nilikuwa namjua,ana kalio dogo na chuchu za kawaida almost kila kitu natural.Ghafla ndani ya wiki moja mizigo hiyoooo.Nikamwita sehemu tuje piga story na wala sikuwa na nia naye.Alipokuja tako mzigo,chuchu mzigo,kope mzigo,kucha na nyusi mzigo,wigi kilo 9 na poda za ajabu ajabu.Nikamwambia nimekuita tuongee tu sio kwa lingine.Kwanini umeweka bandia nyingi halafu wanakufahamu mitaani?Watu wakatushangaa,nilimwambia kunywa soda nalipa ila nimeitwa kuna dili,nitakupigia wakati narudi.Baada ya muda mrefu nikampigia kuwa siji nimeelekea Kilolo,aondoke tu.Tangu siku hiyo sikupiga na nilimbock,tukikutana tinted tu.

Upuuzi mtupu,kuweni wajanja mnaibiwa nyie minjemba.
 
Wanaume hawapendi vitu natural kama misitu ndio maana wadada wanaangaika.

Hivi nani kawaroga wanawake wenzangu?
 
Tokea lini wanawake wakaridhika kawaida kope, nywele, makalio, rangi, kucha bikra
 
Back
Top Bottom