Wimbi la dawa za kuongeza makalio

Wimbi la dawa za kuongeza makalio

Mkuu siku hizi Tako linathamani kuliko hata Degree au PhD ndiko tulipofikia,Mwenye Tako anajiaminisha Sana kuliko msomi yeyote,noma kweli
Bashite anahusika!!!
 
Wananzengo naomba kuuliza hivi hizi waziitazo dawa za kuongeza makalio ambazo ki ukweli insta karibu asilimia kubwa wanazitangaza kwa sasa zinazidi kuongezeka je ni kweli zinafanya kazi?

Na kama zina fanya, nani ana ushuhuda huo?

Lakini pia mamlaka usika hili suala mliangalie kwa ukaribu kama halina madhara au lina madhara maana ki ukweli sidhani kama haya mafuta na madawa TFDA wameyakagua, ni pamoja na krimu za kujichubua siku hizi kila mtu anatengeneza kienyeji enyeji.
Nawewe unahitaji kuengeza makalio.? Unataka kujua yakuwa hazitokuletea mazara mwilini.
 
Hayo mambo yote ya ki lofa. japo mimi binafsi huwa natamani zile lace wig zao zingekuwa nywele zao za asili.
Kama unatamani ziwe vile,ndio maana wanaweka zinazofanana na hizo,na nyie ndio mnaofanya waweke hizo
 
Makalio yaliyoongezwa kwa kutumia madawa yanakuwa hayana radha yanakuwa na radha ya kichina kichina kitu ukutane na msambwanda wa kiasili ni tamu mno
 
Wanachokitafuta watakipata tu,mwisho wa siku dawa zikikaa muda mrefu mwilini zina tabia ya kupasua makalio au matiti yaliyokuzwa,siku ikiwadia utasikia pyuuuuuuuuu kama pancha tairi scania na miruko/misambao ya damu/usaha huku na kule.Halafu kupona ni nshuuu,akipona bonge la shimo sehemu pancha ilipofyatukia.
Makalio yaliyoongezwa kwa kutumia madawa yanakuwa hayana radha yanakuwa na radha ya kichina kichina kitu ukutane na msambwanda wa kiasili ni tamu mno
 
Wananzengo naomba kuuliza hivi hizi waziitazo dawa za kuongeza makalio ambazo ki ukweli insta karibu asilimia kubwa wanazitangaza kwa sasa zinazidi kuongezeka je ni kweli zinafanya kazi?

Na kama zina fanya, nani ana ushuhuda huo?

Lakini pia mamlaka usika hili suala mliangalie kwa ukaribu kama halina madhara au lina madhara maana ki ukweli sidhani kama haya mafuta na madawa TFDA wameyakagua, ni pamoja na krimu za kujichubua siku hizi kila mtu anatengeneza kienyeji enyeji.
Jo imina naleng Nganashe
 
Hahahahahaha,,, hatari sana mkuu ila hawa dada zetu kwani wanaelewa hata yani unaweza kuleta hapa hata ushaidi wa picha mtu kapasuka matako lakini wala hawatakuelewa kabisa kikubwa tiwaache tu wafanye mambo yao mwisho wa siku watakipata wanachokitafuta
Wanachokitafuta watakipata tu,mwisho wa siku dawa zikikaa muda mrefu mwilini zina tabia ya kupasua makalio au matiti yaliyokuzwa,siku ikiwadia utasikia pyuuuuuuuuu kama pancha tairi scania na miruko/misambao ya damu/usaha huku na kule.Halafu kupona ni nshuuu,akipona bonge la shimo sehemu pancha ilipofyatukia.
 
Hahahahahaha,,, hatari sana mkuu ila hawa dada zetu kwani wanaelewa hata yani unaweza kuleta hapa hata ushaidi wa picha mtu kapasuka matako lakini wala hawatakuelewa kabisa kikubwa tiwaache tu wafanye mambo yao mwisho wa siku watakipata wanachokitafuta
Dawa hayo madawa yapigwe marufuku tu plus kope,kucha,nyusi,makalio,chuchu,tumbo(bandia) na wigi zote kwani zina madhara.

Tunaibiwa wanaume,mtu mweusi tiiii lakini akijikoboa anakuwa kama Mkorea/Mwarabu.

Wanachokitafuta watakipata tu siku moja.
 
Haya madawa hayana mwisho mzuri. Baad ya muda miaka ikishakwenda mwili unaanzs kuchoka na ndipo side effects zinaanza. Manyama ya mwili yanashuka, unaweza pata kansa ya misuri maana deposits za hayo madawa ni impure katika mwili.

Tazama wema sepetu si alikuwa anatumia hayo makitu na shepu ikawa inafumuka. Ila ikafika muda yakaanza mletea shida. Ule wembamba unauona anao kwa sasa probably ni surgery ya kufyonza deposits za haya madawa kwa kutumia mashine inayanyonya mafita na maji maji mwilini yanayojaza mwili.

Kupungua kwa kasi kiasi kile si kazi rahisi ila msaad wa mashine na hizo surgery wanazofanya especially mbele huko ambapo wana clinic zenye hao wataalamu.
 
Back
Top Bottom