Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Kati ya hao huyo mwigulu ni jembe haswa,i tell you! He is smart!! Hapa kunatakiwa upinzani ujipange mno kama unataka kufunga bao 2015,ccm wameshausoma wchezo tayari n
we vipi bwana?unaongelea watu ambao hawajawahi hata kuwa wajumbe wa nyumba kumi..mwihulu jembe la nini?kule kwetukuna vile vijembe vilivochakaa tunatumia kuzolea kinyesi watoto wakinya basi ndo itakuwa huyu Mwigulu