Kwanini Waziri Mkuu Majaliwa asijiuzulu ili Serikali iundwe mpya

juma30

Senior Member
Jun 25, 2022
149
421
Nimewaza na kuona Kama Rais anahangika sana kubadilisha mawaziri, makatibu wakuu kiongozi, wakuu wa usalama wa Taifa, Ma IGP, Ma CDF, makatibu wakuu na sasa tunaona Makatibu wakuu wa CCM na Wenezi lakini bado matatizo ya wananchi yako pale pale tena ndiyo yanazidi kuwa mabaya.

Ushauri wangu Majaliwa ndiye chanzo cha matatizo yote hivyo muda umefika naye kuondoka ili kumpa nafasi Rais ya kuunda Baraza jipya la Mawaziri litakalokuwa na watendaji wachapakazi, waadilifu na wanaoheshimu wananchi.

Hebu tujiulize tangu Machi 2021 alipoingia Rais Samia Katibu Mkuu Kiongozi alikuwa Bashiru Ally, akaondolewa, baadaye akamteua Balozi Hussein Katanga naye akamuondoa, akamteua tena Dk. Moses Kusiluka kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Alimkuta Rodrick Mpogolo Kama Kaimu Katibu Mkuu, anakamla kichwa, akamteua Daniel Chongolo naye akaondoka, na sasa ni Dk. Emmanuel Nchimbi hatujui ataondoka lini.

Bungeni Spika akiwa Ndugai akaondoka sasa ni Dk. Tulia

Upande wa Mwenezi wa CCM, alimkuta Pole Pole akatimuliwa, akamteua Shaka Hamdu Shaka naye akatimuliwa, akateuliwa Sophia Mjema naye akaondoka na sasa ni Paul Makonda ambaye hatujui ataondoka lini.

Upande wa DG wa usalama wa Taifa, alimkuta Diwani Athumani akaondoka, akamteua Said Hussein Massoro akaondoka na sasa akamteua Balozi Ali Idi Siwa

upande wa IGP alimkuta Simon Sirro akaondoka na sasa ni Wambura

Upande wa CDF alimkuta Mabeyo akaondoka na sasa ni Mkunda.

Upande wa Mawaziri waliondoka William Lukuvi, Dk. Kalemani, Dk. Ndugulile, Dk. Angelina Mabula, Geofrey Mwambe, Prof. Kabudi, Chamriho, Prof. Mkumbo ambaye akamrejesha wakaingia Januari Makamba, Nape, Mohamed Mchengerwa, Hussein Bashe, Abdalah Ulega, Makame Mbarawa

Mabadiliko haya yote ni ndani ya miaka 3 kuanzia 2021 hadi 2023 na hadi sasa hali inazidi kuwa mbaya kwa wananchi sukari 6,000, mafuta usiseme, bei za nauli na malalamiko lukuki.

Ndiyo maana ninaamini kabisa tatizo ni Waziri Mkuu Majaliwa tu.
 
Ni Rahisi kurudi kwenye uchaguzi kuliko kumtoa Kassim kabla ya 2025.

Kassim hahusiki kupandisha Bei ya sukari.
 
Kama rais anaweza kuwaondoa viongozi wote hao kwani anashindwa nini kumwondoa Majaliwa?

FYI, Majaliwa ni kiunganishi kizuri cha CCM na wanakusini, kumpiga chini bila sababu za msingi ni kututafuta ugomvi 2025!
 
Kama rais anaweza kuwaondoa viongozi wote hao kwani anashindwa nini kumwondoa Majaliwa?

FYI, Majaliwa ni kiunganishi kizuri cha CCM na wanakusini, kumpiga chini bila sababu za msingi ni kututafuta ugomvi 2025!
kusini wanalia ugumu wa maisha, tatizo la umeme, mbolea na mambo ya korosho hali ni mbaya
 
Nimewaza na kuona Kama Rais anahangika sana kubadilisha mawaziri, makatibu wakuu kiongozi, wakuu wa usalama wa Taifa, Ma IGP, Ma CDF, makatibu wakuu na sasa tunaona Makatibu wakuu wa CCM na Wenezi lakini bado matatizo ya wananchi yako pale pale tena ndiyo yanazidi kuwa mabaya.

Ushauri wangu Majaliwa ndiye chanzo cha matatizo yote hivyo muda umefika naye kuondoka ili kumpa nafasi Rais ya kuunda Baraza jipya la Mawaziri litakalokuwa na watendaji wachapakazi, waadilifu na wanaoheshimu wananchi.

Hebu tujiulize tangu Machi 2021 alipoingia Rais Samia Katibu Mkuu Kiongozi alikuwa Bashiru Ally, akaondolewa, baadaye akamteua Balozi Hussein Katanga naye akamuondoa, akamteua tena Dk. Moses Kusiluka kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Alimkuta Rodrick Mpogolo Kama Kaimu Katibu Mkuu, anakamla kichwa, akamteua Daniel Chongolo naye akaondoka, na sasa ni Dk. Emmanuel Nchimbi hatujui ataondoka lini.

Bungeni Spika akiwa Ndugai akaondoka sasa ni Dk. Tulia

Upande wa Mwenezi wa CCM, alimkuta Pole Pole akatimuliwa, akamteua Shaka Hamdu Shaka naye akatimuliwa, akateuliwa Sophia Mjema naye akaondoka na sasa ni Paul Makonda ambaye hatujui ataondoka lini.

Upande wa DG wa usalama wa Taifa, alimkuta Diwani Athumani akaondoka, akamteua Said Hussein Massoro akaondoka na sasa akamteua Balozi Ali Idi Siwa

upande wa IGP alimkuta Simon Sirro akaondoka na sasa ni Wambura

Upande wa CDF alimkuta Mabeyo akaondoka na sasa ni Mkunda.

Upande wa Mawaziri waliondoka William Lukuvi, Dk. Kalemani, Dk. Ndugulile, Dk. Angelina Mabula, Geofrey Mwambe, Prof. Kabudi, Chamriho, Prof. Mkumbo ambaye akamrejesha wakaingia Januari Makamba, Nape, Mohamed Mchengerwa, Hussein Bashe, Abdalah Ulega, Makame Mbarawa

Mabadiliko haya yote ni ndani ya miaka 3 kuanzia 2021 hadi 2023 na hadi sasa hali inazidi kuwa mbaya kwa wananchi sukari 6,000, mafuta usiseme, bei za nauli na malalamiko lukuki.

Ndiyo maana ninaamini kabisa tatizo ni Waziri Mkuu Majaliwa tu.
Kwa hiyo ulitaka wakuu Wa vyombo vya usalama wasistaafu pindi muda wao ulipofika mfano mabeyo ulitaka muda wake wa utumishi umekoma ulitaka asistaafu

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Nimewaza na kuona Kama Rais anahangika sana kubadilisha mawaziri, makatibu wakuu kiongozi, wakuu wa usalama wa Taifa, Ma IGP, Ma CDF, makatibu wakuu na sasa tunaona Makatibu wakuu wa CCM na Wenezi lakini bado matatizo ya wananchi yako pale pale tena ndiyo yanazidi kuwa mabaya.

Ushauri wangu Majaliwa ndiye chanzo cha matatizo yote hivyo muda umefika naye kuondoka ili kumpa nafasi Rais ya kuunda Baraza jipya la Mawaziri litakalokuwa na watendaji wachapakazi, waadilifu na wanaoheshimu wananchi.

Hebu tujiulize tangu Machi 2021 alipoingia Rais Samia Katibu Mkuu Kiongozi alikuwa Bashiru Ally, akaondolewa, baadaye akamteua Balozi Hussein Katanga naye akamuondoa, akamteua tena Dk. Moses Kusiluka kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Alimkuta Rodrick Mpogolo Kama Kaimu Katibu Mkuu, anakamla kichwa, akamteua Daniel Chongolo naye akaondoka, na sasa ni Dk. Emmanuel Nchimbi hatujui ataondoka lini.

Bungeni Spika akiwa Ndugai akaondoka sasa ni Dk. Tulia

Upande wa Mwenezi wa CCM, alimkuta Pole Pole akatimuliwa, akamteua Shaka Hamdu Shaka naye akatimuliwa, akateuliwa Sophia Mjema naye akaondoka na sasa ni Paul Makonda ambaye hatujui ataondoka lini.

Upande wa DG wa usalama wa Taifa, alimkuta Diwani Athumani akaondoka, akamteua Said Hussein Massoro akaondoka na sasa akamteua Balozi Ali Idi Siwa

upande wa IGP alimkuta Simon Sirro akaondoka na sasa ni Wambura

Upande wa CDF alimkuta Mabeyo akaondoka na sasa ni Mkunda.

Upande wa Mawaziri waliondoka William Lukuvi, Dk. Kalemani, Dk. Ndugulile, Dk. Angelina Mabula, Geofrey Mwambe, Prof. Kabudi, Chamriho, Prof. Mkumbo ambaye akamrejesha wakaingia Januari Makamba, Nape, Mohamed Mchengerwa, Hussein Bashe, Abdalah Ulega, Makame Mbarawa

Mabadiliko haya yote ni ndani ya miaka 3 kuanzia 2021 hadi 2023 na hadi sasa hali inazidi kuwa mbaya kwa wananchi sukari 6,000, mafuta usiseme, bei za nauli na malalamiko lukuki.

Ndiyo maana ninaamini kabisa tatizo ni Waziri Mkuu Majaliwa tu.
Mwenyeshida ni huyo mama wala sio majaliwa
 
Nimewaza na kuona Kama Rais anahangika sana kubadilisha mawaziri, makatibu wakuu kiongozi, wakuu wa usalama wa Taifa, Ma IGP, Ma CDF, makatibu wakuu na sasa tunaona Makatibu wakuu wa CCM na Wenezi lakini bado matatizo ya wananchi yako pale pale tena ndiyo yanazidi kuwa mabaya.

Ushauri wangu Majaliwa ndiye chanzo cha matatizo yote hivyo muda umefika naye kuondoka ili kumpa nafasi Rais ya kuunda Baraza jipya la Mawaziri litakalokuwa na watendaji wachapakazi, waadilifu na wanaoheshimu wananchi.

Hebu tujiulize tangu Machi 2021 alipoingia Rais Samia Katibu Mkuu Kiongozi alikuwa Bashiru Ally, akaondolewa, baadaye akamteua Balozi Hussein Katanga naye akamuondoa, akamteua tena Dk. Moses Kusiluka kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Alimkuta Rodrick Mpogolo Kama Kaimu Katibu Mkuu, anakamla kichwa, akamteua Daniel Chongolo naye akaondoka, na sasa ni Dk. Emmanuel Nchimbi hatujui ataondoka lini.

Bungeni Spika akiwa Ndugai akaondoka sasa ni Dk. Tulia

Upande wa Mwenezi wa CCM, alimkuta Pole Pole akatimuliwa, akamteua Shaka Hamdu Shaka naye akatimuliwa, akateuliwa Sophia Mjema naye akaondoka na sasa ni Paul Makonda ambaye hatujui ataondoka lini.

Upande wa DG wa usalama wa Taifa, alimkuta Diwani Athumani akaondoka, akamteua Said Hussein Massoro akaondoka na sasa akamteua Balozi Ali Idi Siwa

upande wa IGP alimkuta Simon Sirro akaondoka na sasa ni Wambura

Upande wa CDF alimkuta Mabeyo akaondoka na sasa ni Mkunda.

Upande wa Mawaziri waliondoka William Lukuvi, Dk. Kalemani, Dk. Ndugulile, Dk. Angelina Mabula, Geofrey Mwambe, Prof. Kabudi, Chamriho, Prof. Mkumbo ambaye akamrejesha wakaingia Januari Makamba, Nape, Mohamed Mchengerwa, Hussein Bashe, Abdalah Ulega, Makame Mbarawa

Mabadiliko haya yote ni ndani ya miaka 3 kuanzia 2021 hadi 2023 na hadi sasa hali inazidi kuwa mbaya kwa wananchi sukari 6,000, mafuta usiseme, bei za nauli na malalamiko lukuki.

Ndiyo maana ninaamini kabisa tatizo ni Waziri Mkuu Majaliwa tu.
Baada ya Lowassa kujiuzulu u Waziri Mkuu, CCM iliazimia kutobadilisha Waziri Mkuu ndani ya vipindi viwili vya urais kwa sababu kuwa na Mawaziri Wakuu Wastaafu wengi ni gharama kubwa sana kwa serikali.
 
Nimewaza na kuona Kama Rais anahangika sana kubadilisha mawaziri, makatibu wakuu kiongozi, wakuu wa usalama wa Taifa, Ma IGP, Ma CDF, makatibu wakuu na sasa tunaona Makatibu wakuu wa CCM na Wenezi lakini bado matatizo ya wananchi yako pale pale tena ndiyo yanazidi kuwa mabaya.

Ushauri wangu Majaliwa ndiye chanzo cha matatizo yote hivyo muda umefika naye kuondoka ili kumpa nafasi Rais ya kuunda Baraza jipya la Mawaziri litakalokuwa na watendaji wachapakazi, waadilifu na wanaoheshimu wananchi.

Hebu tujiulize tangu Machi 2021 alipoingia Rais Samia Katibu Mkuu Kiongozi alikuwa Bashiru Ally, akaondolewa, baadaye akamteua Balozi Hussein Katanga naye akamuondoa, akamteua tena Dk. Moses Kusiluka kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Alimkuta Rodrick Mpogolo Kama Kaimu Katibu Mkuu, anakamla kichwa, akamteua Daniel Chongolo naye akaondoka, na sasa ni Dk. Emmanuel Nchimbi hatujui ataondoka lini.

Bungeni Spika akiwa Ndugai akaondoka sasa ni Dk. Tulia

Upande wa Mwenezi wa CCM, alimkuta Pole Pole akatimuliwa, akamteua Shaka Hamdu Shaka naye akatimuliwa, akateuliwa Sophia Mjema naye akaondoka na sasa ni Paul Makonda ambaye hatujui ataondoka lini.

Upande wa DG wa usalama wa Taifa, alimkuta Diwani Athumani akaondoka, akamteua Said Hussein Massoro akaondoka na sasa akamteua Balozi Ali Idi Siwa

upande wa IGP alimkuta Simon Sirro akaondoka na sasa ni Wambura

Upande wa CDF alimkuta Mabeyo akaondoka na sasa ni Mkunda.

Upande wa Mawaziri waliondoka William Lukuvi, Dk. Kalemani, Dk. Ndugulile, Dk. Angelina Mabula, Geofrey Mwambe, Prof. Kabudi, Chamriho, Prof. Mkumbo ambaye akamrejesha wakaingia Januari Makamba, Nape, Mohamed Mchengerwa, Hussein Bashe, Abdalah Ulega, Makame Mbarawa

Mabadiliko haya yote ni ndani ya miaka 3 kuanzia 2021 hadi 2023 na hadi sasa hali inazidi kuwa mbaya kwa wananchi sukari 6,000, mafuta usiseme, bei za nauli na malalamiko lukuki.

Ndiyo maana ninaamini kabisa tatizo ni Waziri Mkuu Majaliwa tu.
Thubuutuuu kwa Mmwera yule kujiuzuru sahau maana anatamaa vibaya sana.

Anatumia nafasi hiyo kujineemesha yeye na ndugu zake.
 
Nimewaza na kuona Kama Rais anahangika sana kubadilisha mawaziri, makatibu wakuu kiongozi, wakuu wa usalama wa Taifa, Ma IGP, Ma CDF, makatibu wakuu na sasa tunaona Makatibu wakuu wa CCM na Wenezi lakini bado matatizo ya wananchi yako pale pale tena ndiyo yanazidi kuwa mabaya.

Ushauri wangu Majaliwa ndiye chanzo cha matatizo yote hivyo muda umefika naye kuondoka ili kumpa nafasi Rais ya kuunda Baraza jipya la Mawaziri litakalokuwa na watendaji wachapakazi, waadilifu na wanaoheshimu wananchi.

Hebu tujiulize tangu Machi 2021 alipoingia Rais Samia Katibu Mkuu Kiongozi alikuwa Bashiru Ally, akaondolewa, baadaye akamteua Balozi Hussein Katanga naye akamuondoa, akamteua tena Dk. Moses Kusiluka kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Alimkuta Rodrick Mpogolo Kama Kaimu Katibu Mkuu, anakamla kichwa, akamteua Daniel Chongolo naye akaondoka, na sasa ni Dk. Emmanuel Nchimbi hatujui ataondoka lini.

Bungeni Spika akiwa Ndugai akaondoka sasa ni Dk. Tulia

Upande wa Mwenezi wa CCM, alimkuta Pole Pole akatimuliwa, akamteua Shaka Hamdu Shaka naye akatimuliwa, akateuliwa Sophia Mjema naye akaondoka na sasa ni Paul Makonda ambaye hatujui ataondoka lini.

Upande wa DG wa usalama wa Taifa, alimkuta Diwani Athumani akaondoka, akamteua Said Hussein Massoro akaondoka na sasa akamteua Balozi Ali Idi Siwa

upande wa IGP alimkuta Simon Sirro akaondoka na sasa ni Wambura

Upande wa CDF alimkuta Mabeyo akaondoka na sasa ni Mkunda.

Upande wa Mawaziri waliondoka William Lukuvi, Dk. Kalemani, Dk. Ndugulile, Dk. Angelina Mabula, Geofrey Mwambe, Prof. Kabudi, Chamriho, Prof. Mkumbo ambaye akamrejesha wakaingia Januari Makamba, Nape, Mohamed Mchengerwa, Hussein Bashe, Abdalah Ulega, Makame Mbarawa

Mabadiliko haya yote ni ndani ya miaka 3 kuanzia 2021 hadi 2023 na hadi sasa hali inazidi kuwa mbaya kwa wananchi sukari 6,000, mafuta usiseme, bei za nauli na malalamiko lukuki.

Ndiyo maana ninaamini kabisa tatizo ni Waziri Mkuu Majaliwa tu.
Kajifunze maana ya Reforms na Rebuilding utaelewa kuwa haangahiki.
 
kusini wanalia ugumu wa maisha, tatizo la umeme, mbolea na mambo ya korosho hali ni mbaya
Jamaa kaharibu mfumo mzima wa uuzaji wa mazao kisa yeye ni mnunuzi wa hayo mazao

Kaweka mifumo ambayo inamsaidia yeye kupiga fedha huku akiwaacha wakulima wakiambulia bei ndogo sana
 
Back
Top Bottom