KIJOME
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 3,084
- 733
Kama wanaishi maisha magumu masisiem mmefanya nini kuwakwamua?shame!!nakuelewa sana,unaweza niita cck,ccj,ccm,zuzu na mengineyo lakini haiwezi kubadili ukweli,si siri Dar inaweza kuongoza kwa watu wanaoishi maisha ya tabu hapa tz,unapomlazimisha mtu mwenye njaa aje asikilize halafu akaondoka akaenda kulala bila kula huyo atakuwa na tatizo zaidi ya uzuzu.