Wilson Kabwe ang'oka Mwanza, ahamishiwa Dar

Wilson Kabwe ang'oka Mwanza, ahamishiwa Dar

Alfu Lela Ulela

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2010
Posts
1,255
Reaction score
77
Waziri Hawa Ghasia amemteua Wilson Kabwe kuwa Mkurugenz Mpya wa jiji la Dar akitoka Mwanza alikokuwa Mkurugenz. Hali hiyo imetafsiriwa kuwa ni kumng'o Kabwe Mwanza baada ya kuweka mizizi kwa muda mrefu na kupata kashfa kadhaa ikiwa ni pamoja na kumvua uraia Mbunge wa Nyamagana Mh.Ezekia Wenje wakati anagombea kiti hicho mwaka 2010.
 
Heading haijakaa vizuri jaribu ku-edit tena kisha uje vizuri mkuu
 
hiyo ndo tafsiri ama maana halisi ya kung'oka?
 
achia mbali tafsiri lakini huyu bwana alivyovurunda mwanza nilitegemea labda angeachishwa kazi au basi apewe miji kama hedaru au chalinze lakini sio mji kama dar es salaam. Ila kwa vile dsm watu wako busy na matumbo yao hakuna wa kufuatilia utendaji wake na wateuaji watakuwa wamelijua hilo
 
achia mbali tafsiri lakini huyu bwana alivyovurunda mwanza nilitegemea labda angeachishwa kazi au basi apewe miji kama hedaru au chalinze lakini sio mji kama dar es salaam. Ila kwa vile dsm watu wako busy na matumbo yao hakuna wa kufuatilia utendaji wake na wateuaji watakuwa wamelijua hilo
Naunga mkono hoja mia kwa mia mkuu,cjawahi ona watu wanaochelewesha ukombozi kama watu wa dar,hata muokota chupa za maji anajifanya yupo busy anapiga deal za pesa....
 
Mbona hiyo habari ni ya siku nyingi na ilikwisha wekwa humu? USED FROM DUBAI
 
Naunga mkono hoja mia kwa mia mkuu,cjawahi ona watu wanaochelewesha ukombozi kama watu wa dar,hata muokota chupa za maji anajifanya yupo busy anapiga deal za pesa....

je,tusipokuwa busy na chupa ndugu mwisho wa siku tukale wapi? Maisha ya Dar magumu sana bhandugu sababu ukiniona nakula cha mchana usifikirie kuwa cha usiku nina uhakika nacho achilia mbali cha kesho ndiyo maana hata kwene mikutano hatuhudhulii,ebu anzeni kugawa posho muone kama hatutajaa makutanoni!
 
Waziri Hawa Ghasia amemteua Wilson Kabwe kuwa Mkurugenz Mpya wa jiji la Dar akitoka Mwanza alikokuwa Mkurugenz. Hali hiyo imetafsiriwa kuwa ni kumng'o Kabwe Mwanza baada ya kuweka mizizi kwa muda mrefu na kupata kashfa kadhaa ikiwa ni pamoja na kumvua uraia Mbunge wa Nyamagana Mh.Ezekia Wenje wakati anagombea kiti hicho mwaka 2010.
Hivi kung'oka kwa namna hii kweli kunabeba maana ya kung'oka? Kama ni hivyo basi kila mmoja hapa ameshawahi kung'oka. Kwa uelewa wangu kung'oka ni kuondolewa sehemu moja na hupelekwi kwingine...
 
it was a gradual planning and not accidentally.
 
Waziri Hawa Ghasia amemteua Wilson Kabwe kuwa Mkurugenz Mpya wa jiji la Dar akitoka Mwanza alikokuwa Mkurugenz. Hali hiyo imetafsiriwa kuwa ni kumng'o Kabwe Mwanza baada ya kuweka mizizi kwa muda mrefu na kupata kashfa kadhaa ikiwa ni pamoja na kumvua uraia Mbunge wa Nyamagana Mh.Ezekia Wenje wakati anagombea kiti hicho mwaka 2010.
We akiri yako nzima kweli hivi dar na mwanza ipi babu kubwa?
 
Poa tuu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
je,tusipokuwa busy na chupa ndugu mwisho wa siku tukale wapi? Maisha ya Dar magumu sana bhandugu sababu ukiniona nakula cha mchana usifikirie kuwa cha usiku nina uhakika nacho achilia mbali cha kesho ndiyo maana hata kwene mikutano hatuhudhulii,ebu anzeni kugawa posho muone kama hatutajaa makutanoni!
Mtabakia hivyo hivyo maana masisiem mna ujinga wa kupumbaza wananchi waone maisha ni magumu wakati kinana ameweka dollar 60 elfu mchagoni kijana akajibebea sasa wewe ndugu unayejifanya upo busy wakati mchagoni kwako umefuga kunguni wanakudhulumu hata ka damu kako kadogo na bado unacheka kama zuzu!!!
 
Tunaenda kubaya kama vilaza wanateuana hii hatari, hivi hata Ghasia ana akili ya kumteua mtu makini kweli?
 
Mbona hiyo habari ni ya siku nyingi na ilikwisha wekwa humu? USED FROM DUBAI

Hii habari niliiweka mimi mwenyewe miezi miwili iliyopita watu wakabeza, wengine wakadiriki kusema ni habari/thread ya UDAKU.
Sasa yametimia watu wanaileta upya.
Pongezi kwa kuliona hili.
 
Hii habari niliiweka mimi mwenyewe miezi miwili iliyopita watu wakabeza, wengine wakadiriki kusema ni habari/thread ya UDAKU.
Sasa yametimia watu wanaileta upya.
Pongezi kwa kuliona hili.

Pongezi kwako pia mkuu kwa kupata taarifa za ki intelijensia mapema, lakini pole kwa kupuuzwa. Watanzania wengi ni mabingwa wa kupuuza hadi yatokee, na huwa inakua too late.
 
Mtabakia hivyo hivyo maana masisiem mna ujinga wa kupumbaza wananchi waone maisha ni magumu wakati kinana ameweka dollar 60 elfu mchagoni kijana akajibebea sasa wewe ndugu unayejifanya upo busy wakati mchagoni kwako umefuga kunguni wanakudhulumu hata ka damu kako kadogo na bado unacheka kama zuzu!!!

nakuelewa sana,unaweza niita cck,ccj,ccm,zuzu na mengineyo lakini haiwezi kubadili ukweli,si siri Dar inaweza kuongoza kwa watu wanaoishi maisha ya tabu hapa tz,unapomlazimisha mtu mwenye njaa aje asikilize halafu akaondoka akaenda kulala bila kula huyo atakuwa na tatizo zaidi ya uzuzu.
 
Back
Top Bottom