Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.
Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
Nadhani ulisoma ule uzi wa Pasco jana inaweza kuwa ni sababu
Slaa hajamsema Tido.Sasa Tudo anaingiaje humu?Maswali yake atayatoa wapi.Tido angeleta wenye kujibu hoja za Slaa
Dr slaa anakula mihogo kwanza subiria subiria
Bado hajafika tu? Huenda mihogo haijaiva bado.. Mihogo ya kisarawe migumu sana
Slaa atazungumza chanel ten na star tv
Hawezi kwenda kwa tido mhando, maana pale atapigwa hardtalk anaweza kuZirai mana kuna maswali madogo madogo lakini ya msingi kama
1.ulisema unashindia mihogo umepata wapi hela ya kuitisha mkutano unakadiriwa kuwa na gharama ya milioni 300? Mchumba amesema mtajenga mashule nk je mla mihogo anaweza miliki shule?
2.ufisadi wa ccm umeanzia richmond na kuishia richmond tu.?
3.list of shame ilikuwa na majina mengi vipi kuhusu majina mengine utayazungumzia lini maana nao wanagombea na kufanya kampeni kama chenge nk
4.kwa nini mnataka tuamini umaskini wa tanzania umesababishwa na mtu mmoja tu, yaani lowasa
ccm imesababisha hali mbaya ya uchumi, elimu duni, afya mbovu nk unataka tuamini lowasa ndo kasababisha yote haya..?
mengine ya kiuchonganishi
5.bado unaamini ccm ni wezi wa kura..?! Maana mwaka 2010 ulikataa matokeo ukilalamika ccm walikuibia ushindi bado unaamini ccm ni wezi, je unawashauri nini ukawa safari hii.?
yaani slaa angenikuta mimi hapo studio, angetoka baruti, ila bora kamhepa tido maana kazi aliyotumwa ingekuwa ngumu sana
haahaahaaaaaa ati nini??Bado hajafika tu? Huenda mihogo haijaiva bado.. Mihogo ya kisarawe migumu sana
umenifurahisha sana hilo la padre mzinifu. Hawa ndio wanaharibu taswira ya kanisa katoliki. Alizaa mwaka 1985 wakati upadre aliacha mwaka 1992Tido ana maswali magumu hata ningekuwa mimi nisingeenda ukizingatia alichozungumza padri mzinifu ni uwongo mtupu
Great thinker
Lowasa mungu kaamua awe rais mtahangaika sana na huyo silaa
Hivi wewe unasema nini? Vipindi vyote viwepo hewani ila hiki cha Slaa kishindikane? Unajuwa kile kipindi kinarekodiwa muda gani? Slaa amekacha na huo ndiyo ukweli. Subiri uletewe kila kitu kuhusu hilo! Kwa sasa kaa utulie!!
Story za Bavicha hizi...kipindi kilisha recodiwa....Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.
Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
uzaifu wetu wa tz ni pale tunaposhindwa kujadili hoja kuu na kuanza ku dili mi personal affairs za mtu...
ni rahisi sana kuwavuruga wa tz hasa pale ushabiki na mihemko ya kifikra inapokuwa mbele..
nadhan tujiulize aliyo sema dr ni kweli? au si kweli kwa hoja na ushahidi madhubuti
labda mungu wako wew. mungu wangu mimi hajaniambia kuwa lowasa ndiye rais.usimwongopee mungu kana kwamba mungu ni shemejiyo unamwongelea unavyojiskia wew. hebu kuwa na hofu juu yake.
Usaliti unatesa sana!