EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Gaijin,
nimecheka kweli....acha majungu mtu wangu.
Kuhusu Willy na akina Shy-rose nilishaandika.Tuwaunge mkono.Nilaindika sana kwenye ile thread nyingine pamoja na kutukanwa sana.Naendelea kuomba tuwaunge mkono watu ambao wanweza kuwakilisha mawazo yetu EAC .tutangulize maslahi ya taifa mbele
Asante, ila mkuu una utani mbaya sana !You have made my day.....
Interesting. Kwa vile wewe ni mtu wa diplomasia vipi sasa tamko lake kuwa yeye sio mtu wa diplomasia na hata-entertain diplomasia huko EAC?