William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Retard
- Well, hatutukani retarted people kwa sababu na wao ni watu pia, halafu elewa kuna wenzetu humu wanao watoto wenye huo ugonjwa, sasa waheshimu maana ni bin-adam na wao!
William.
Retard
Mkuu ungepiga tu kampeni. Haya mambo ya kuanza kujibizana na watu (wapiga kura) yanaweza kukugharimu bure. Mtaishia kutukanana na ban juu.- Well, vipi mwanaume muafrika kuachwa na mke na akachukuliwa na Mzungu, inasema mengi sana kuhusu aliyeachwa!
William.