Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
yah man jamaa mtoto mtoto kiakili sana....hata hapa ukimzidi kwa hoja...anaingia na ile ID yake ya FMES kujibu ki lusinde Lusinde......hana nidhamu huyu mtu hapendi kukosolewa kabisa jana nlimwambia fb acha kuuza sura kama wanamuziki wa bongo fleva baada ya ku upload picha yupo na j.k eti akanibrock
yaani sipati picha kama jamaa atapita....kilaza kama huyu kwa kweli atatupeleka wapi jamani???? hivi hii serikali ya wevi wa ccm jamani jamani hawaoni hata hii.......??
ni bora p funky majani awe mbunge wa EAC kuliko hii kilaza......naumia sana roho