Yuko bize ana practise kusema NDIYOOOOO bungeni wewe ni surname yake.
Watanzania tunakoswa vitu vya kujadili!
Ameanza siasa lini au baada ya kusema atagombea ubunge ili jina la baba yake lisipotee ndiyo gafla kawa mwanasiasa? Usituharibie siku bana.........Si lazima uchangie! William ni mwanasiasa hakuna sababu ya kutomjadili.
Chama
Gongo la Mboto DSM