Will you marry a jobless man? Toa maoni yako

Will you marry a jobless man? Toa maoni yako

Si kama nyie mnavyokimbiliaga kuwatumia role model wenu akina Suleiman inapokuja kwenye uzinzi. Na kama vile ambavyo mkisikia suala la pesa mnakimbilia kutusaidia kuhubiri haki sawa.

Tunataka haki sawa sio wajibu sawa maana as a man utabaki kuwa mwanaume tu nami nitabaki kuwa mwanamke na kila mmoja ana wajibu wake.

I like you dearest madame
 
Wewe sasa ndio unachanganya madesa, mada imesema ni "job less" it means hana kazi yoyote hata ya kuponda kokoto. Maana mponda kokoto tayari sio job less huyo.

Na kuwaza kwa niaba ya mtu ni tatizo babu, wapi kuna mtu kaongelea kwenda ofisini kwa mkoloni?
Nikikuambia kazi yangu ni kucheza kamari? Would you marry me?
 
MWANAMKE YUKO RADHI AMPENDE MWANAUME ANAYEKWENDA KAZINI HUKU AMEVAA TAI NA SUTI HATA KAMA ANALIPWA LAKI MOJA KULIKO KUWA NA MUUZA MACHUNGWA ANAYEIINGIZA ELFU 30 KWA SIKU : HIZO NDO AKILI ZA WANAWAKE
You can say that again, pal.
 
Na magagula na yenyew yanasema eti no..we sura mbaya na kuzalishwa ulishazaliwa, uko kwny miaka 29+ mwenye kaz na hela ake akuoe akupeleke wap [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13][emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji90]
Noma sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nadhani inategemea. Why is he jobless ndio suali la msingi. Anaweza kuwa jobless kwa sababu ni mvivu, mzembe, hataki kujiongeza wala kujikubali. Manake binafsi naamini kama ajira ikishindikana atabeba hata zege just to make ends meet. Unamuona kabisa mambo hayajakubali lakini anajisukuma na kujituma kuhakikisha anakuwa mwanaume. Huyo anafaa kuwekeza for the future.
Ningekua na kazi ningekununulia Brazilian hair
 
Na magagula na yenyew yanasema eti no..we sura mbaya na kuzalishwa ulishazaliwa, uko kwny miaka 29+ mwenye kaz na hela ake akuoe akupeleke wap ila Mimi nikipata bwana anioe tu maana natamani kuolewa [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13][emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji90]
Unataka kuolewa?
 
Nadhani inategemea. Why is he jobless ndio suali la msingi. Anaweza kuwa jobless kwa sababu ni mvivu, mzembe, hataki kujiongeza wala kujikubali. Manake binafsi naamini kama ajira ikishindikana atabeba hata zege just to make ends meet. Unamuona kabisa mambo hayajakubali lakini anajisukuma na kujituma kuhakikisha anakuwa mwanaume. Huyo anafaa kuwekeza for the future.
Salute mkuu akili ya kuandika hivi wanawake wengine hawana
 
heeee kama umezalishwa ndo jukumu lako kulea watoto wa dunia nzima??? akalelewe na mamake ndoa na mwanaume asiokuwa na kazi bado jibu ni NO huwezi beba zigo lako utaweza la mke na watoto?!?! tena kama huna kazi hata kut.mba hutakiwi kuwazia
Ww kama umezalishwa au una miaka 28+ ..utakitembeza sana hakuna atakaekuoa ww..kwnz una likitambi ligagula..nani mweny akili timamu aoe shimo la taka[emoji90] [emoji90] [emoji90] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
wanini asiye na kazi?na kazi sio lazima Ofcn na ukweli mwanaume asiye na kitu huwa hajui anataka mwanamke wa VIP akipata visent ndo hujua anapenda mwanamke gani.
Na mashaka kama umepita vidudu maana mwandiko mbaya sana
 
Back
Top Bottom