Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,138
- 159,050
Chukulia mfano mtu ambaye mnafahamiana vizuri na mnapendana sana vilevile unajua kabisa anatoka katika familia ya kipato cha chini kabisa. Muda wake mwingi ametumia kusoma tuchukue katumia miaka msingi kusoma tuseme miaka 18 primary hadi chuo. Na anafanya kazi hizi za pata potea(hana kazi specific) . sasa hapo huwezi kukubali akuchukue muwe pamoja kama mume na mke?
Huyo sio jobless, tayari ushasema ana kazi za pata potea. Na watu wa hivyo kutoka ni rahisi sana maana tayari mishe anazijua.