Acha kuleta upumbavu wako hapa sio jukwaa la matangazo hili wala sehemu ya udalali.. Tumia ubongo wako vizuri. LOFA.Weka gari dhamana upate mkopo wa dharura Piga 0657572398
Unaelewa maana ya neno 'LOFA'?Acha kuleta upumbavu wako hapa sio jukwaa la matangazo hili wala sehemu ya udalali.. Tumia ubongo wako vizuri. LOFA.
Unataka kutuaminisha kuwa kuuza kashata sio kazi?Akiuza kashata utakubali akuoe?
Nashangaa hapo utu wangu unadhalilishwaje!! Tutakula mapenzi? Bills za maisha yetu zitalipwa na mapenzi!!Kwamba huwezi kuolewa kabisa na mtu asiye na kazi?!
Kwa maana ingine pesa(kazi) ndiyo itakayokuoa? Hakuna mapenzi hapo ni pesa tu, huoni kwamba unadhalilisha utu wako?
Hebu soma mada kwanza uielewe, mada inaongelea jobless au mwenye kipato kidogo?Unapotaka kumtenga mwanaume asiyekuwa nakipato kwanza lazima ujichunguze wewe unaishi katika familia gani wengine unakuta kwao wamechoka then anajifanya kumtaka mwanaume mwenye pesa
Kwampango huu mbona wadada kazi mnayo na msipoangalia mtaishia kujiuza tu hebu tathimini mtaani unakoishi wakaka wenye kipato na wasio na kipato wapi wengi je kweli wote mtaolewa na wenye kipato?
Tatizo wadadamkiwa jf mtajikweza sana wakati kwenu kila siku ni chai maharagwe
Hebu soma mada kwanza uielewe, mada inaongelea jobless au mwenye kipato kidogo?
Wahenga walisema "kuzaliwa ktk familia masikini sio kosa lako bali kuolewa na mume masikini ni kosa lako mwenyewe".
Sio maneno yangu ni ya wahenga hayo.
Hahahahaaaaa.....very trueDemu unakuwa naye Ukimpa mimba hata kama ana kazi utasikia mimba tunaileaje? Hahaha
Hahahaaaa!! Mikoa yote my kaka.Hawa Wahenga ni wanatokea mkoa gani sisy?
MWANAUME walaaa hawezi kushangaa hilo.Demu unakuwa naye Ukimpa mimba hata kama ana kazi utasikia mimba tunaileaje? Hahaha
Hahaha... Haya endelea nisipoelewa pengine nitauliza maana unatiririka kweli.Hahahaaaa!! Mikoa yote my kaka.
Sasa umenifumbua macho kumbe wengi wa wanawake walio kwenye ndoa wameolewa kwa kufuata pesa na si mapenzi ya dhati!Nashangaa hapo utu wangu unadhalilishwaje!! Tutakula mapenzi? Bills za maisha yetu zitalipwa na mapenzi!!
Hebu tusiongelee ulimwengu wa kusadikika,tunaongelea reality ficus. Mwanaume hauna kazi unaoa ili ugundue nini!!!! Na ni kwanini usiwe na kazi kwanza!!!
Hebu nikuulize kwanza, unaelewa mantik ya Adamu kuumbiwa kila kitu ndio Hawa akafuata? Unaelewa maana ya kuwa mume!! Utajisikiaje ikiwa mkeo ndio anakuhudumia kwa kila kitu? Na mahari nani atatoa? wewe au mkeo?Sasa umenifumbua macho kumbe wengi wa wanawake walio kwenye ndoa wameolewa kwa kufuata pesa na si mapenzi ya dhati!
espy ww ukiwa na kazi nami sina na tumependana siwezi kukuoa? Kwamba itanilazimu niendeleee “kupambana na hali yangu” mpaka nitakapopata ndiyo nikuoe?
Kwamba ww huwezi kuishi na mwanaume asiye na kazi ukajitahidi kumhudumia kwa hali na mali mpaka hali yake itakapokuwa sawa?
Wahenga wanasema," katika kila mwanaume aliyefanikiwa nyuma yake kuna mwanamke”.
Kwa muktadha huu nachelea kusema huyo “mwanamke” ni mama na si mke.
Adam aliumbiwa Hawa kama msaidizi wa kufanana naye na hii haimanishi kwamba Adam alitakiwa kufanya kila kitu kwasababu tu Hawa ni msaidizi.Hebu nikuulize kwanza, unaelewa mantik ya Adamu kuumbiwa kila kitu ndio Hawa akafuata? Unaelewa maana ya kuwa mume!! Utajisikiaje ikiwa mkeo ndio anakuhudumia kwa kila kitu? Na mahari nani atatoa? wewe au mkeo?
Kumbe ulikuwa haujui kuwa huyo mwanamke ni mama!!!