Will the real Paul Makonda please stand up?

Will the real Paul Makonda please stand up?

Hapo mwanzo hapa kuwepo mtu aitwaye
PAUL CHRISTIAN MAKONDA
. palikuwepo watu wawili
Daudi Albert Bashite na Paul Christian Muyenji

Daudi baada ya kutumia kwa mafanikio vyeti vya Paul akaona isiwe soo akaenda mahakamani na kuapa kubadili jina kuwa sasa yeye Paul Christian Makonda

Kwa hiyo Daudi ndiye PCM
Tatizo hana cheti cha kidato cha nne chenye jina la PCM au DAB kipo cha PCMuyenji
 
Nyani hii Story ya BASHITE HUIJUI.do your home work properly before you join on board! unaulizia mtu ambaye ha exist.aliyepo ni A.K.A
 
...

Kukatokea mtu anayeitwa Paul Christian M, ambaye alisoma Chuo cha Nyegezi, baadae Mbegani na mwisho Muccobs, kwenye hayo majina ya Paul Christian M, ndipo kwenye M, likaongezewa jina laMakonda, hivyo Paul Christian Makonda is one and only.

Paskali
"Paskali" na wewe pia mwendelezo wa paukwa pakawa!

Where is the truth/evidence linking the three people i.e. Daud Bashite, Paul Christian M. and Paul Christian Makonda?
 
Mkuu nakushauri kamsikiliza tena Gwajima kwani kwenye mahubiri yake ya wiki ilee,hakuna mtu anayeitwa paul C. makonda, maana hayo majina mengine ni ya kuungaunga, ila yupo mtuy anaitwa Paul C. M(sikumbuki kirefu chake) na huyu ukimuambiw aumeibiw ahawezi kukubali wala kuamini kwa sababu majina yalishabadilishwa badilishwa kutoka mwanza mpaka mbegani.
 
..

Yeye anatakiwa kukanusha kwa kuita watu wake aliokua naye, walimu,ndugu, wachungaji etc, watakaomshuhudia kwamba kakua kwao kama Paul Makonda.

Kwa nini apewe mzigo wa kujibu uzushi! Kwa nini hayo maswali wasijibu wahusika au walio na ukweli wawaoneshe hao watu hadharani, hata kwa picha tu!
 
Kwa nini apewe mzigo wa kujibu uzushi! Kwa nini hayo maswali wasijibu wahusika au walio na ukweli wawaoneshe hao watu hadharani, hata kwa picha tu!
Kwa sababu muungwana, mkweli, kiongozi wa dhati akizushiwa uongo anaoweza kuumaliza mara moja tu, anaujibu ili kutoiacha jamii ikae na sintofahamu.

Anayezushiwa ndiye anayejibu tuhuma.

Suppose hao wanaomzushia ni waongo. Na yeye ni Paul Makonda kweli.

Kwa nini hakanushi kwa ushahidi? Kwa nini anaachia wazushi wampake matope?
Kwa nini anaachia sehemu kubwa ya jamii iamini uzushi?

Obama alizushiwa na Trump kwamba hakuzaliwa Marekani. Akatoa cheti cha kuzaliwana kumaliza uzushi. Uzushi ule uliishia pale Obama alipotoa cheti cha kuzaliwa. Hivyo ndivyo kiongozi mzuri anavyotakiwa kufanya.

Kwa nini asikanushe na kuwashitaki mahakamani ili kuijulisha jamii ukweli na kuwaadabisha wazushi?
 
In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.

Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.

Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.

Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.

Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.

Yeye huyo mtu yuko wapi?

Sasa hivi anatumia jina gani?

Anafanya shughuli gani?

Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?

Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.

Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?

I'm getting so sick of this bullshit.

So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Mkuu miafrika ndio tulivyo.Chukulia suala la Lowassa na yaliotokea baada ya miaka 8,ndipo utapata jibu watanzania wana akili za aina gani
 
kuna paul christian,anatangaza redio ya aden rage huko tabora,hilo la makonda aliliongeza badae under deed pool kukamilisha majina matatu,so paul christian yupo,albert bashite ndo huyu rc,paul makonda ni vampire doesnt exist
 
Hahahaha ngoja tusubirie hilo picha...

Ila sidhani kama atakuwa mjinga kihivyo... maana anajua dhahiri kabisa kuwa kama ni kweli alimuuzia Daudi cheti chake, na yeye pia hatasalimika...

Kama kweli yupo huenda anaogopa kifungo, au Daudi kashamwambia asije akathubutu kujitokeza.

Vinginevyo... labda hayuko hai...

Hivi kama kweli yupo, yeye mwenyewe anatumia jina gani?

Hivi movie za kibongo bana...maswali meeeeengi lakini majibu kidunchu!

Hizi ndo bongo movie haswa!
 
In the interest of full disclosure, mimi sijui chochote kile cha ziada kuhusu hili sakata la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar zaidi ya hiki ninachokisoma kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vinginevyo vya habari.

Lakini nikiwa mtu mwenye akili zangu timamu [well, naamini wapo wataobisha kuwa nina akili timamu, it's all good] nina maswali mepesi sana lakini ambayo naona kama vile hayana majibu kamili ya kueleweka.

Nimeshahoji juu ya uwezekano wa Makonda kufunguliwa mashitaka kwa manufaa ya umma. Hilo nimesikia kuna mtu au watu wanaolifanyia kazi.

Gwajima na Makonda wao naona wamegoma kabisa kutuonyesha vyeti walivyo navyo. Oh well...fine.

Sasa nije kwa huyo Paul Makonda halisi. Yaani Paul Makonda mwenyewe aliyeibiwa au aliyeuza [allegedly] huo utambulisho wake kwa Daudi Bashite.

Yeye huyo mtu yuko wapi?

Sasa hivi anatumia jina gani?

Anafanya shughuli gani?

Hivi huyo mtu hana ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaweza kutupa walau usuli [background] kidogo wa huyo mtu?

Naamini huyo Paul Makonda halisi haishi kwenye ombwe. Naamini anaishi miongoni mwa jamii.

Sasa kweli hao watu anaoishi nao na kukutana nao hakuna hata mmoja wao aliyejitokeza mpaka hivi sasa kusema lolote?

I'm getting so sick of this bullshit.

So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?
Yupo mikono salama.
 
On the other hand, labda kajificha, manake na yeye atakua na kosa la kumuuzia mtu jina, hili sakata liishe tu tupumue mwe!
 
Hakuna mtu anaitwa Paul Christian makonda ndio mana hata ukienda NECTA hupati matokeo yake kamwe....
Kuna matokeo ya daudi bashite ambayo alipata zero na ndio jina halisi la mkuu wetu wa mkoa...
Daudi alichukua cheti cha Paul Christian muyenje kujiendeleza na elimu ya juu...baadae ndio akaongeza hilo makonda...
Ndio mana hadi leo daudi a.k.a makonda hawezi kukupa cheti cha form 4 chenye jina la Paul Christian makonda..msione kakaa kimya hana mwenzenu ahurumiwe...
Paul Christian muyenje hawezi kujitokeza kwa sababu yeye sio Paul Christian makonda ndio mana kumaliza mzizi wa fitna kaombwa vyeti hili hii ishu ikwishe.
 
Hivi kama kweli yupo, yeye mwenyewe anatumia jina gani?

Hivi movie za kibongo bana...maswali meeeeengi lakini majibu kidunchu!

Hizi ndo bongo movie haswa!
Kuna wakati zilitembea habari kuwa ni mtangazazi wa televisheni moja huko Tabora, ikimilikiwa na Aden Rage.

Sijui zile habari ziliishia wapi...
 
Hakuna mtu anaitwa Paul Christian makonda ndio mana hata ukienda NECTA hupati matokeo yake kamwe....
Kuna matokeo ya daudi bashite ambayo alipata zero na ndio jina halisi la mkuu wetu wa mkoa...
Daudi alichukua cheti cha Paul Christian muyenje kujiendeleza na elimu ya juu...baadae ndio akaongeza hilo makonda...
Ndio mana hadi leo daudi a.k.a makonda hawezi kukupa cheti cha form 4 chenye jina la Paul Christian makonda..msione kakaa kimya hana mwenzenu ahurumiwe...
Paul Christian muyenje hawezi kujitokeza kwa sababu yeye sio Paul Christian makonda ndio mana kumaliza mzizi wa fitna kaombwa vyeti hili hii ishu ikwishe.
Nyani ngabu anatumiwa.
 
Back
Top Bottom