wacha haraka we mwanamke.Sababu hasa za kuwindwa, kungolewa madarakani na hatimae kuuawa kwa Muammar Gaddafi zawekwa wazi kupitia mtandao wa Wikileaks
View attachment 723342
View attachment 723344
Mtoa mada amenukuu kutoka wikileaks sasa wewe kazi yako ni kufanya utafiti zaidi. Hivi ni sawa ndani ya karne hii nyama ununuliwe, upikiwe, ulishwe na bado unataka huyo anayekulisha aisukume kwenda tumboni????Mtoa mada jenga uwezo wa kudadavua unapoweka thread hii n habar au ripoti
Chezea wanawake wa kizungu hata uwale 0714...Aiseee. Mfaransa alihakikisha anaendelea kuyakamua makoloni yake mpaka mwisho wa Dunia.
Kinachoimaliza libya sio demokrasia ila kipindi cha mpito baada ya VITA mbona misri na tunisia walipindua nchi zao wameweka demokrasia ila hakuna makundi ya kigaidi kma libya???Aisee US na washirika wake ni mashetani haya sasa democrasi waliyoipeleka Libya ona inavowataabisha walibya bora angebaki Gadaff misha yalikua murua almost kila kitu kilikua rahisi kukipata Libya....