Vision of the Vision.
Mitazamo chanya juu ya Afrika.
Captein Ibrahim Traore Rais wa Burkinafaso au Bukinabe ni kiongozi ambae kajitofautisha sana na viongozi wa kiafrika ambao kazi yao kubwa ni kuzunguka na madege dunia nzima huku wakienda kuombomba fedha wakati kwao wameacha utajiri mkubwa sana wa mafuta, dhahabu, Almasi, bandari, ardhi yenye rutba, inauma.
Kitendo cha viongozi wengi kushindwa kubadilisha rasilimali walizokalia na hatimae kuzigawa kwa wafanyabiashara wazungu kwa jina zuri la wawekezaji ni ufinyu wa akili.
Kwa mfano hauwezi kwenda kuita watu wakuendeshee bandari ati kisa hauna ufanisi miaka 60 ya uhuru bado hauna ufanisi wa kuendesha hata bandari. Fikra za viongozi wa Afrika ni finyu sana sana na wao ndio huingia mikataba mibovu ya kugawa rasilimali zao kwa kigezo cha wawekezaji inasikitisha sana.
Wale mnaowaita wawekezaji kimsingi ni wafanyabiashara maana wao hutafuta faida kupitia rasilimali zenu na mikopo huchukua kwa kutumia dhamana ya rasilimali zenu inauma sana sana. Tuwapongeze na kuwakumbuka wanaafrika waliokua na mtazamo wa kiafrika hasa wa kulinda rasilimali za bara la afrika
Thomas Sankara, John Magufuli, Patrice Lumumba, Gaddafi, Julius Malema, Julius Nyerere na wengine wengi na kwa sasa Ibrahim Traore.
Mitazamo chanya juu ya Afrika.
Captein Ibrahim Traore Rais wa Burkinafaso au Bukinabe ni kiongozi ambae kajitofautisha sana na viongozi wa kiafrika ambao kazi yao kubwa ni kuzunguka na madege dunia nzima huku wakienda kuombomba fedha wakati kwao wameacha utajiri mkubwa sana wa mafuta, dhahabu, Almasi, bandari, ardhi yenye rutba, inauma.
Kitendo cha viongozi wengi kushindwa kubadilisha rasilimali walizokalia na hatimae kuzigawa kwa wafanyabiashara wazungu kwa jina zuri la wawekezaji ni ufinyu wa akili.
Kwa mfano hauwezi kwenda kuita watu wakuendeshee bandari ati kisa hauna ufanisi miaka 60 ya uhuru bado hauna ufanisi wa kuendesha hata bandari. Fikra za viongozi wa Afrika ni finyu sana sana na wao ndio huingia mikataba mibovu ya kugawa rasilimali zao kwa kigezo cha wawekezaji inasikitisha sana.
Wale mnaowaita wawekezaji kimsingi ni wafanyabiashara maana wao hutafuta faida kupitia rasilimali zenu na mikopo huchukua kwa kutumia dhamana ya rasilimali zenu inauma sana sana. Tuwapongeze na kuwakumbuka wanaafrika waliokua na mtazamo wa kiafrika hasa wa kulinda rasilimali za bara la afrika
Thomas Sankara, John Magufuli, Patrice Lumumba, Gaddafi, Julius Malema, Julius Nyerere na wengine wengi na kwa sasa Ibrahim Traore.