Khabsaa
hii picha mbona ina X nyingi sana.....ina maana wote hao wamedanja mbele za haki au.......?
ya kale dhahaba........enzi hizo marehemu Maneti, Adam Bakari R.I.P Eddy shegi ilikuwa burudani asante Safari_ni_Safari siku hizi kuzisikia kwenye redio hadi ijuma radio one
hivi hakuna wajasiliamari wanaouza cd zake kweli?
Hebu nionyesheni Mkuu wa Mkoa wa sasa wa Ruvuma SAID MWAMBUNGU katika picha hii.atakayeshinda nampatia PRETA kwa weekend yote (three days)
Said Mwambungu kwa sasa
Mkuu umenikumbusha siku aliyofariki rafiki yangu Hemedi Maneti nilikuwa Tanga, enzi hizo ss tulikuwa ndiyo mandava wa town bega moja juu lingine chini mtu akileta dukinaa anapata haki yake, sasa huyo dada alipokuja na mwili wa Hemedi Maneti Tanga nakumbuka jinsi alivyokuwa bomba jamani, toto jeupeeeee, kweli uzee nomaaaa.Bado anadunda
Hao hao media wanalalamika maadili yameshuka wakati wanashusha wenyewe kwa kuweka nyimbo za bongofleva zilizojaa matusi na video zinazoonesha wakina dada wakiwa utupu mfano tumeuona akina Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wakiwa kwenye matamasha inaonesha kwenye ma-tv ya udaku.ya kale dhahaba........enzi hizo marehemu Maneti, Adam Bakari R.I.P Eddy shegi ilikuwa burudani asante Safari_ni_Safari siku hizi kuzisikia kwenye redio hadi ijuma radio one
Said Mwambungu ni wa pili kushoto toka kwa mwenye suti nyeusi na miwaniHebu nionyesheni Mkuu wa Mkoa wa sasa wa Ruvuma SAID MWAMBUNGU katika picha hii.atakayeshinda nampatia PRETA kwa weekend yote (three days)
Said Mwambungu kwa sasa
Stone Lady
oh really!