ni huyo aliyevaa shati ya bluu, yupo nyuma ya huyo jamaa aliyevaa shati jeupe na kuwekewa x na huyo mwingine mwenye shati ya bluu amabaye naye kawekewa x
Nimejibu swali hili kwa starehe zangu coz hata nikipatia huwezi kunipa zawadi ya kitu ambacho mimi ninacho tayari. Preta wangu anakucheka tuu unavyojinadi! Ila najua raha ya kuwa na kitu ni wengine kutamani kuwa nacho! Hahahahahahaah, ni raha tu, thanx 2 my eyes kwa kumwona Preta, Bravo 2 my heart for speaking to her heart, thanx to my mind for obtaining peace in her!!
...mambo yenu ya hatariiii... .Kida nifanye niniii. ...oh nifanye nini...mwenzenu nifanye niniii....Bado anadunda
Naelewa mazoea yanatabu...mambo yenu ya hatariiii... .Kida nifanye niniii. ...oh nifanye nini...mwenzenu nifanye niniii....
Naelewa mazoea yanatabu
Lakini nitajitahidi kusahau.
Mkuu wawaongeze na bembea!Tutaongea na Mods wawafungulie jukwaa la cartoon network.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Hebu nionyesheni Mkuu wa Mkoa wa sasa wa Ruvuma SAID MWAMBUNGU katika picha hii.atakayeshinda nampatia PRETA kwa weekend yote (three days)
Said Mwambungu kwa sasa
Sasa hivi anamuimbia Yesu Kristo...Duuuuuuuuuuuuuuuhhhhh,
Kwa wale ambao walipata nafasi ya kuwasikia hawa jamaa Vijana Jazz atakuwa anamtambua Kida...
Ukiacha mambo ya carolite...anastahili tuzo huyu dada....ni miongoni mwa wanamuziki wasiohitaji kufinyangwa finyangwa na utundu wa kompyuta!!
Mungu amzidishie maisha marefu ili vijana wa leo wajue kuwa hata sie tulikuwa na mambo yetu ya nguvu...tena burudani ilikuwa inanoga sana ..it was so organic, ....not their fakes and manipulated GMOs!!
Babu DC!!
Kanisani anahubiri injili Safi isiyoghoshiwa yenye ushuhuda..anadundia wapi siku hizi?
Yupo Dar anahubiri injiliaisee kweli bado anadunda!
Hivi yupo wapi huyu?na anafanya nn?
Sasa ameokoka anahubiri injiliNilikua namuona Arachuga mara kwa mara anakua na mabinti zake muda mwingi,maeneo ya via via kwa anaeijua arusha kuna wazungu wengi sana hapo,maza anapiga show kimtindo na watasha wanamtoa kama kawa.
nyuma yao X wawili walioongoza ambao mmoja wao ana shat jeupe.Hebu nionyesheni Mkuu wa Mkoa wa sasa wa Ruvuma SAID MWAMBUNGU katika picha hii.atakayeshinda nampatia PRETA kwa weekend yote (three days)
Said Mwambungu kwa sasa
kwa sound za Maneti zile za kwenye "Maria wangu" kama alichomoka basi kuchomoka kwake huyu bidada kilikuwa ni kipaji maalum.Hivi si aliolewa na Maneti?