pole sana mkuu yaani huu ni unyanyapaa wa kutosha kabisa anaokufanyia....muda wa kutoka kwenye kichupa if any
Jamani CYBERTEQ usihukumu wanamigombani wote kwa visa vichache ulivyovisikia.........haya matatizo yapo katika kila kabila na sio wanamigombani tu lol..............
1bn?!!...bhebhe nanho Kongosho lekaga, wanawake wanauwa waume zao kwa ajili ya nyumba, vigari na vijiduka tu!
Unaona sasa, nyumba yenyewe ukute hata mil 400 haifiki, shida sana hii
Mie kwa kweli kukaa na mtu mwizi nyumba moja siwezi, hata ndugu yangu nampeleka selo kabisaaa.
Kutetea huyu dada ni kutetea ujinga tu, na vijana nao wanaamka wametulia kwa dada?
kutoka inaweza isiwe solution pia mana kumbuka kuna watoto hapo..........cha msingi huyo wife wake akirudi nyumbani nosspass anatakiwa asimame kama mwanaume na kama baba wa familia ......aweke rules zake na azisimamie kuhakikisha zinatekelezwa..................
Hapo kumtia ndani ndo ameshaanza kumwonyesha nani mwanaume huko ndani, icho kichupa namaanisha kile kichupa kile baadhi ya wanawake wanakowawekaga waume zao wasikohoe
Mwache apumzike ajitafakari kama ndoa hii anaihitaji ama lah.
Akiona anaihitaji atarudi, na akirudi set rules mpya kabisaaaa.
Kosa kubwa kwa wanamme nadhani ni kukubali wake zenu wafanya kazi, halafu wasichangia lolote katika familia, Inawajengea kutokuwa wawajibikaji, na wanahisi ni rahisi tu kuweka ugali mezani na kuweka mambo yote sawa. Bila kujua kuwa hata kama haulalamiki, kuna siku hulali unawaza utapata wapi pesa.
Kuna kaka mmoja, mkewe na degree yake, hadi mafuta ya gari anamwekea. Na kwa kweli bi dada anamfuja mmewe kweli, akiachiwa hela hata za matumizi ya home anakula zote. Huwa sielewi anazila kwa kitu gani.
Kusaidia wazazi wetu sio jinai hata kidogo, lakini kwa makubaliano na labda kwa zamu zamu.
Na tatizo la familia zingine wakishaona mmoja katoka baso waliobaki wanasinzia, ukiwaendekeza waliosinzia mtagombana kila siku. Lazima kila mmoja afanya kazi ili kujikimu na maisha yake. Haiwezekani mtu mmoja ahudumie watu wazima 7 na bado asonge mbele. Huu ni unyonyaji wa mchana kweupeeeee.
Kwa kifupi jamaa ni Mchoyo sana chakula ni ishu ndogo sana....Ilibidi awashauri hao mashemeji zake,Au hawashauriki?Na awaelekeze mbinu za kuishi hapa mjini au awape mtaji wajitegemee.Kasema wamedekezwa hawana kazi then akawafukuza nyumbani kwake lazima tu wife aibe akawasaidie watakula nini??Kwanza unaonekana unafatilia sana mambo ya jikoni!Una moyo mgumu sana duu Mimi nisingeweza kumuweka ndani shemeji Yangu tena sababu ya chakulaaaa ....hapo tatizo ni njaaa .mmh we kweli jasusi!
Ni wazi unatatizo kubwa na mkeo.
Unacho takiwa kufanya ni kukaa na mkeo chini na kumueleza ukweli kuwa na yeye aanze kuchangia na swala la kuwasaidia ndugu zake mnaweza kukaa chini na kuangalia jinsi ya kuwasaidia bila kuingia kwenye mikwaruzano.
Kama ndugu zake hawana kazi basi jitahidi muwatafutie kibarua na ni vyema mka kaa na mkeo mkajua jinsi ya kufanya!
Halafu ni wazi hili swala umeligeuza kama uadui ndio maana mkeo anafanya hivyo bila kukushirikisha!
Hebu jaribu kukaa na mkeo muongee kuhusu hili swala na uchukulie kama huo ni mzigo wako pia!
hahaha, nisamehe mkuu wangu lakini hapo juu nimesema kwamba SI WOTE, wapo ambao wako descent kabisa, na hili tatizo si la watu wataliban pekeyake, hata mbeya nilishawahi kuona hilo tatizo la kuuwa wanaume. mkuu haya mambo tuyaskie kwa jirani tu, ni magumu sana!
Pole sana.........ila tatizo sio wachaga maana haya matatizo yapo kwa watu wengi tu.............kubali tu ulikosea kuanzia mwanzo mana ulitakiwa usimame kama mume na kama baba wa familia kwa kuweka rules zako na kuhakikisha unazisimamia hizo rules zitekelezwe.......as long as wife anafanya kazi ni lazima wala sio ombi kusaidia majukumu ya nyumbani..........kama hawezi akae home kulea watoto na ww uhudumie familia.........Dah POLE SANA MDAU, yaani nimekuelewa sanaaaa. Manake hata mimi nipo kwenye situation kama yako. Tatizo kubwa la wanawake hawa ni uselfish. Anafanya kazi chake ni chake, matumizi yake saloon, nguo za kitchen party, harusi, vocha, sijui........ Baba ndo unatoa kila kitu hadi hela ya chumvi unaombwa. Hata mimi nina shida kama hiyo mkuu, ingawa mke wangu hapeleki kwa ndugu zake kwa kuwa wanauwezo tu, lakini mwanamke hatoi kitu chochote kuanzia chakula, bill zote, ada za watoto, ni mimi tu hachangii hata senti. Bado kuna mambo ya maendeleo tunatakiwa kufanya. Kichwa kinauma mzee. Tuna mgogoro mkubwa sana na vikao vya familia kwa wazee, lakini anasema yeye siyo majukumu yake. Na kitu kikipungua home anaanzisha mtiti balaa anatangaza hadi kwa watu. Yaani ni shida sana hadi wakati mwingine mtu unaamua kushinda BAR kula monde tu, manake ukiangalia watoto roho ndo inauma sana. Mimi nilishafikiria hata kupiga chini mzigo, lakini watoto nawaonea huruma sana. Nadhani hawa wanawake wa kichagga ni shida kubwa sana. Watatuua wanaume wote, na ndo mana wengi wanabaki wajane waume zao wameshatangulia mbele za haki sababu ya haya mambo. yanakera sana. Dilema!!
Kwa kifupi jamaa ni Mchoyo sana chakula ni ishu ndogo sana....Ilibidi awashauri hao mashemeji zake,Au hawashauriki?Na awaelekeze mbinu za kuishi hapa mjini au awape mtaji wajitegemee.Kasema wamedekezwa hawana kazi then akawafukuza nyumbani kwake lazima tu wife aibe akawasaidie watakula nini??
siyo mimi lakin usituharibie soko sema baadhimkuu je mke wako ni hawa wa chuo waliosoma wa chuo?
wanawake wasomi ndo walivyo mkuu,jipange
c.c Mgirik MO11
https://www.jamiiforums.com/mahusia...wanaoolewa-ni-darasa-la-saba-na-form-4-a.html
mule mule kaka,,,, maranguuu....kaka mtihani mkubwa sana....sema tuu kaka,,, naweza pona...
Duuh hii kesi nzito inahitaji wakongwe maana naona manyota nyota hapa.
Umesema kweli kabisaMkuu jaribu kuwa na moyo wq kutoa, yote hayo ni kuifanya dunia sehemu nzuri ya kuishi...
Hao shemeji zako wana hali mbaya, kama wangekua wanajitosheleza kamwe usingewaona kwako, zaidi sana wangekuja kusalimia tu...
Usiwe na roho ya chuki, it's a world where we know nothing even the next second, hujui kesho yatakukuta nini, they so say "kufa kufaana"...
Watoe lock up hao wapendwa, sambaza upendo mkuu...
Hahahahahahahah........mnatubatiza jamani mara wapelestina.......wagaza.....leo nimepata jipya tena wataliban..........soon mtatubatiza tena waisis lol.......