Ushauri huu ufate utakusaidia, katika ndoa kukwaruzana ni jambo ambalo utokea ila la msingi uitaji wawili kukaa na kuyamaliza haswa kwa kuombana msamaha. hivyo basi mpaka mkeo anaenda police hakuna msimamizi wa ndoa? hakuna wazazi? hakuna viongozi wa dini? au kote kaisha shitaki na wewe umeshindikana? hivyo basi kama hakufikiria hivyo muombe msamaha akafute kesi mkaya malize kifamilia. ukiona ame kataa mpaka unaenda sero na wewe ukadhaminiwa na mtu mwingine.
Jitaidi uendeshe kesi na keshi ikiisha kwa njia yoyote bila jitihada zake, kuona wewe ni mzazi mwenzeke, kaka huyo atakuwa siyo mke kibisa tolea mbali taraka haraka sana. hachana nae atakupa zengwe kubwa hata kukupa sumu! narudia kama utamuomba msamaha na kumwambia myamalize kifamilia akagoma, usimuite wife tena. ila kama ameisha kushitaki kwa familia, kwenye dini, na wewe umeshindikana apo inabidi uvune ulicho panda mkuu.
Wanawake ni kweli wanaume tunakosea lakini nawashauri kwenda police iwe ni maamuzi ya mwisho badala ya njia mbadala kushindikana. si vyema kabisa kwenda kumfunga mzazi mwenzio. kumbuka hata kama mtarudiana hilo linaweza kuwa kovu ambalo kutoka moyoni ni gum sana.