Wife kanishitaki polisi

Wife kanishitaki polisi

sidhani kama ilikuwa kofi moja tu,utakuwa ulimdunda sana hadi majirani wakasikia makelele yenu sasa anaona aibu kuendelea kuishi hapo khaaaaaaaaaaaaa bora muhame kaka wewe ni marwa au chacha???

suala siyo marwa wala chacha..kuheshimiana ndiyo jambo la msingi..mtu unamwambia aache kukutukana tena sometime mbele za watu ..hakuelewi
.inafika mahala uvumilivu unaisha..
 
suala siyo marwa wala chacha..kuheshimiana ndiyo jambo la msingi..mtu unamwambia aache kukutukana tena sometimes mbele za watu ..hakuelewi.inafika mahala uvumilivu unaisha..

no comment..........................................
 
Felix

Nijuavyo mimi wanawake tu wavumilivu sana sana sana na mwanamke kabla ya kuchukua hatua huanza na kusema, ikifika mahali akachulua hatua kama huyu mwanamke ujue KASHACHOKA navitimbwi vya huyo bwana.

Nimekupata mkuu. ila pamoja na kuwa wavumilivu jaribuni kuweka kapazia mdomoni, mnaongea sana hata jambo likiwa dogo. so wanaume wengine wana hasira na hivyo upiga wakijua kama ndo kumaliza matatizo kumbe sivyo.
 
Mwanamke huchwapwa kwa noti au vitenge vya wax. Hujafundwa nini. Kama mwanamke ni ngoma basi cheza si umeshaipiga? Tukusaidie nini sasa.
 
suala siyo marwa wala chacha..kuheshimiana ndiyo jambo la msingi..mtu unamwambia aache kukutukana tena sometime mbele za watu ..hakuelewi
.inafika mahala uvumilivu unaisha..
Mkuu, huna hela. Tafuta hela vizuri atakuheshimu tu. Na pale utakapo mpa keleb moja au mbili atakua anatulia pembeni baada ya mda unam bembeleza una mpa kimoja mnalala.
Atakupenda huyo acha!
Na hizo dharau na matusi hutasikia,
 
michosho

Kesi ya kumpiga mke ikifika polisi inashughulikiwa kama kesi nyingine tu za kupiga mke, inategemea mkeo anataka nini akitaka unafungwa ila mara nyingi polisi huwa wanatumia busara tu za kuwasuluhisha ili mkaendelee kuishi.

Kupiga ni kosa,ila mwanamke akikupeleka polisi maana yake hakupendi amekuchoka kwa tabia zako za kumpiga. akili kichwani mwenu wote iwapo wewe utamvumilie mke anayetaka kukufunga au yeye (Mke) aendelee kukuvumilia wewe mpigaji. pole sana.

umeongea busara kubwa sana na ni lazima uwe great thinker kuelewa hiki ulichomshauri. Kazi kwako mleta mada ushauri halisi ndo huu
 
Last edited by a moderator:
michoshoHuyo humekosea kumchapa kofi peke yake.Wanawake wasio na adabu unapiga vizuri sana mpaka nguvu ya kwenda polisi Anakosa.Mikwaju muhimu sana!Muulize mama vasco da gamma kitu gani nilimfanya. Yeye mwenyewe katuliaaa!
You are so powerful to beat women, but when it comes to real men,the only thing you can do is to commit suicide mission. Like Hitler. Peaceful religion allows to beat women. Would you beat Hur( 72 virgins) too on hell?
cc FaizaFoxy
 
mmmmhh.....kwakweli hata mimi kipigo hapana aiseeeh!! Naweza nikakuhama kabisa nakuachia na nyumba.
Siwezi kuvumilia kipigo.
 
Ushauri huu ufate utakusaidia, katika ndoa kukwaruzana ni jambo ambalo utokea ila la msingi uitaji wawili kukaa na kuyamaliza haswa kwa kuombana msamaha. hivyo basi mpaka mkeo anaenda police hakuna msimamizi wa ndoa? hakuna wazazi? hakuna viongozi wa dini? au kote kaisha shitaki na wewe umeshindikana? hivyo basi kama hakufikiria hivyo muombe msamaha akafute kesi mkaya malize kifamilia. ukiona ame kataa mpaka unaenda sero na wewe ukadhaminiwa na mtu mwingine.

Jitaidi uendeshe kesi na keshi ikiisha kwa njia yoyote bila jitihada zake, kuona wewe ni mzazi mwenzeke, kaka huyo atakuwa siyo mke kibisa tolea mbali taraka haraka sana. hachana nae atakupa zengwe kubwa hata kukupa sumu! narudia kama utamuomba msamaha na kumwambia myamalize kifamilia akagoma, usimuite wife tena. ila kama ameisha kushitaki kwa familia, kwenye dini, na wewe umeshindikana apo inabidi uvune ulicho panda mkuu.

Wanawake ni kweli wanaume tunakosea lakini nawashauri kwenda police iwe ni maamuzi ya mwisho badala ya njia mbadala kushindikana. si vyema kabisa kwenda kumfunga mzazi mwenzio. kumbuka hata kama mtarudiana hilo linaweza kuwa kovu ambalo kutoka moyoni ni gum sana.

KUNYATA ANYATE KINYONGA AKINYATA KICHECHE ANYATIA KUKU" yeye kupelekwa sero ndo kovu lakini kumdunda mwenzie sio kovu ni busu eeeh
 
wakuu nashukuru kwa mawazo yenu..ila ikweli hakuna mwanaume mjinga wa kumpiga mke wake bila kosa..jst from no where..ki ukweli alinibore sana...anamatusi na majibu mabaya sana...nimevumilia sana..Nway ngoja niende polisi kujua kpi kitaendelea
Mkuu ni matusi gani? Hebu yaandike hata kiutu uzima tutaelewa tu. Halafu wewe mwenyewe unajiita michosho!! Sasa dah.....ujue majina yanaakisi tabia za watu.
 
Last edited by a moderator:
You are so powerful to beat women, but when it comes to real men,the only thing you can do is to commit suicide mission. Like Hitler. Peaceful religion allows to beat women. Would you beat Hur( 72 virgins) too on hell?
cc FaizaFoxy

BIBLE SAYS.

1 Corinthians 14:34-36

Wives, submit yourselves unto your own husbands, as unto the Lord. For the husband is the head of the wife, even as Christ is the head of the church: and he is the saviour of the body. Therefore as the church is subject unto Christ, so let the wives be to their own husbands in every thing.


Colossians 3:18
Wives, submit yourselves unto your own husbands, as it is fit in the Lord.

Bible tells women TO WORSHIP their HUSBANDS.

Titus 2:4-5
Likewise, ye wives, be in subjection to your own husbands.
 
hata ww utakuwa hujui..bora ukae kimya tu..na ww huenda ukawa ni aina ya wanawake wenye mdomo..na kwa mwendp huo huokewi na km utaolewa hutopata amani kiz kila siku mtangombana

kijana tuheshimiane mimi niko kwenye ndoa zaidi ya miaka 40. navyokwambia tafuta wazee namaanisha wazee wa kiume mimi nikikufunda unaweza usininiamini sana kwa kuwa mimi ni mwanamke.
inabidi kinababa wenye busara au wajomba wakae na wavulana wao wawaelemishe otherwise tutaendelea kuona mambo ya ajabu kwa kizazi cha sasa.

halafu nikukumbushe tu kutokuolewa sio moja ya sababu inayoongeza mortality rate tanzania.
 
Haya mambo ya haki za wanawake ni tabu tupu, jana nimemchapa kibao wife tumezaa nae mtoto mmoja miaka miwili sasa.

Leo asubuhi kaamka kumbe kaenda polisi kunishitakia jioni hii napata barua ya kwenda kesho polisi sababu ya kumchapa kibao ni maneno yake machafu ya kila mara ambapo nilishamkataza asiwe ananiambia kwani ananikwaza.

Amaniambia maneno machafu ambayo si kweli na zaidi mzee mwenye nyumba maneno hayo alisha mkataza kwani siyo kweli na wala siyo mazuri.

Wadau nishaurini nini nifanye kesho pale polisi na hadi sasa hayupo home na wala sijui yuko wapi.

Je polisi kwa matatizo kama hayo ya ndoa huwa wanasimamia wapi?

haiwezekan umpge leo kexho aende polce hyo mwanamke wa aina gan una mfumo dume man angu na mbona hujaweka mazaifu yko
 
Haya mambo ya haki za wanawake ni tabu tupu, jana nimemchapa kibao wife tumezaa nae mtoto mmoja miaka miwili sasa.

Leo asubuhi kaamka kumbe kaenda polisi kunishitakia jioni hii napata barua ya kwenda kesho polisi sababu ya kumchapa kibao ni maneno yake machafu ya kila mara ambapo nilishamkataza asiwe ananiambia kwani ananikwaza.

Amaniambia maneno machafu ambayo si kweli na zaidi mzee mwenye nyumba maneno hayo alisha mkataza kwani siyo kweli na wala siyo mazuri.

Wadau nishaurini nini nifanye kesho pale polisi na hadi sasa hayupo home na wala sijui yuko wapi.

Je polisi kwa matatizo kama hayo ya ndoa huwa wanasimamia wapi?

GBV (Gender Based Violence) . Usiendekeze michepuko, haina deal!
 
Mwanamke akushakupeleka polisi huyo tena sio mwanamke..baada ya Polisi unajua atakufanya nini? Nimngemwelewa sana angekimbilia kwa wazee au kanisani/kwa viongozi wa kiroho sio polisi.

Wewe unategemea kuna polisi wa kusuluhisha ndoa kweli?
 
sitetei ujinga lakini kama mwanaume anatumia akili yake vizuri huyo mwanamke hana sababu ya kumpeleka polisi lakini yeye kaamua kutumia nguvu ya kumpiga na yeye mke kaamua aende polisi kushtaki sasa si uende polisi ukapigane nao si uko na nguvu za ziada? mwanamke mwenye matusi kuna dawa yao wala sio kipigo ukimpa hiyo dawa atakuheshimu milele.kuna dawa nyingi nzuri tu wanaume wanaweza zitumia kuwa manage wanawake na wala sio kipigo. kipigo ni kwa weak men tu. strong men they know how to manage their wives without kipigo na wananyooka kwenye mstari kabisa.
No sane man can buy into these gibberishes
 
Back
Top Bottom