Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Mkuu hili la kumlamba kofi shem, ulipitiliza! Muombe msamaha! Na kwa hili la kulala nje shem, ni kosa sana! Tena kubwa! Ila naomba usimdhanie vby, huenda alilala kwa ndg ama hata shoga zk! Wanawake ni wepesi sana kusaidiana malazi!
Na kwa hili la kukupeleka POLICE daah, shem amevuka mipaka! Muombe myamalize nje ya police, naamini atakubali!
Km akikataa na kesi ikaenda mbele zaidi, mkuu ashakum si matusi, shem hakufai!
Na kwa hili la kukupeleka POLICE daah, shem amevuka mipaka! Muombe myamalize nje ya police, naamini atakubali!
Km akikataa na kesi ikaenda mbele zaidi, mkuu ashakum si matusi, shem hakufai!