madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,498
- 2,925
Kaka huna mke hapo huyo jambazi mwanamke alofundwa na heshima na adabu katu hawezi kukimbilia policeHaya mambo ya haki za wanawake ni tabu tupu, jana nimemchapa kibao wife tumezaa nae mtoto mmoja miaka miwili sasa.
Leo asubuhi kaamka kumbe kaenda polisi kunishitakia jioni hii napata barua ya kwenda kesho polisi sababu ya kumchapa kibao ni maneno yake machafu ya kila mara ambapo nilishamkataza asiwe ananiambia kwani ananikwaza.
Amaniambia maneno machafu ambayo si kweli na zaidi mzee mwenye nyumba maneno hayo alisha mkataza kwani siyo kweli na wala siyo mazuri.
Wadau nishaurini nini nifanye kesho pale polisi na hadi sasa hayupo home na wala sijui yuko wapi.
Je polisi kwa matatizo kama hayo ya ndoa huwa wanasimamia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
humu jf tunautamaduni wetu