Ushamba huo kumpiga mwanamke..Safi kabisa...Angekunyamazia utaendelea bora alivyokushtaki...Kipigo hakitakiwi kuvumilia kabisa zama hizi
inawezekana kujidhamini,lakini baada ya hapo fukuzia mbali kama unathamini maisha yakohivi inawezekana kujidhamini?endapo polisi wataniweka ndan..?
mkuu tupe hzo njia za kumkomesha nje ya kipigo..utakuwa umetusaidia wengi
Mkeo naye ni mala.ya tu kama walivyo wengine pengine kuna dereva wa boda boda anamzingua;Jipange vizuri.Hakikisha unaenda pale kituoni na watu kama wawili wakukuwekea dhamana;Na usiende bila pesa, unajuwa tena hii nchi imeharibika.
Huyu yaelekea ndio tabia yake kugeuza mke ngoma....Na huyo mke angeendelea kulala hapo pengine angemfanya mbaya..Wanaume wa kupiga kwa hakika siwapendi kabisaa...Hata kama ni mimi nampeleka polisi...Wanaume wengi huwapiga wake zao hadi kupelekea kupata ulemavu wa ajabu katika vizazi nk. Si ustaarabu kupiga mwanamke...
Amuombe mkewe msamaha wasameheane ila...Jambo la kupiga mwanamke lifutike ktk akili yake...Kugombana ni jambo la kawaida katika maisha ya ndoa ila sio jambo la kupigana.... Felix
mrejesho baada ya kutoka polisi.
kwanza niwashukuru wadau wote mlo toa mawazo tofauti tofauti.
asubuh nimelipoti kazn kisha nikaenda polisi.kabla sijafika nikampigia simu baba ake mdogo..nikamweleza picha nzima..akanambia nikifika nimpigie simu afu nimpe wife aongee nae..
baada ya kufika pale nikamkuta wife kakaa pale benchn.nikampigia simu baba ake mdogo nikampa simu..kamwambia hatiki kumuona pale tena polisi arudi nyumbani haraka..hapo ikawa pona yangu..ila kanambia nimpeleke hospitali..nikafanya hvyo.ila wife kanipa sharti moja kuwa hataki tena kuishi hapo tulipo panga..ikabidi nimbembeleze na kumuhaidi by next wiki tutahamia kwetu walau hata kwa kufunika bati chumba kimoja..japo nimelipa kodi mwezi huu ya miezi sita hapo kwa nyumba ya kupanga
mkuu..hujalazmishwa kutoa ushauri