Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Umenikumbusha wifi yangu alimpeleka mumewe polisi baada ya kupigwa kisa alimuhoji mumewe kwa nini analala nje..
Hapa lazima utavutia upande wako bado hujasema vizuri kwa nini mligombana na akakutolea hayo maneno,
kama aliyatoa bila sababu basi pole umeoa mwendawazimu,
..wale wanandoa walirudi nyumbani na wanaishi kwa amani ajabu sijawahi kusikia ugomvi kati yao toka jamaa atoke polisi,
Hapa lazima utavutia upande wako bado hujasema vizuri kwa nini mligombana na akakutolea hayo maneno,
kama aliyatoa bila sababu basi pole umeoa mwendawazimu,
..wale wanandoa walirudi nyumbani na wanaishi kwa amani ajabu sijawahi kusikia ugomvi kati yao toka jamaa atoke polisi,