Why Tanzania is not interested in Technology?

Sasa kama Zimbabwe na Uganda Wamelonchi na bado ni watu maskini hizo technology zingine ni Show Off tu kwa Nchi maskini.

Ni sawa na Mtu amuulize Mkulima wa Mahindi Mbalizi huko Mbeya why hana Laptop Apple Mac Air.
Na kuuliza kwanini hayuko Interested na Tech.

Mkuu satelite si kwa ajili ya kutoa umasikini

Ni kwa ajili ya matumizi ya kijasusi, Ulinzi,hali ya hewa na mengineyo

Ni teknologia hiyo hyo inawawezesha rwanda kufanya ujasusi ndani ya tanzania pasipo nyie kujua….
Jitahidi kuhusianisha mambo

#Ogopa technologia
 
Kenya lunch 1st satellite-2018
Rwanda lunch satellite-2019
Ethiopia lunch satellite-2020
Uganda lunch Satellite-2022
Zimbabwe lunch satellite-2022
Tanzania lunch satellite-0



Tanzaninia by number of satellites-0 / Kenya -2
View attachment 2845516
Sasa starlink unaiweka kwenye kundi la satellite zenye situational awareness.
Fuatilia vizuri kuhusu satellite ndio urudi hapa, starlink Zina latency zaidi ya 43ms, na ni Bora hata hatuzitumii.

Afu anzia kwenye elimu kwanza, ni watu wangapi hapa bongo wamesomea rocket science?
 
Kenya lunch 1st satellite-2018
Rwanda lunch satellite-2019
Ethiopia lunch satellite-2020
Uganda lunch Satellite-2022
Zimbabwe lunch satellite-2022
Tanzania lunch satellite-0



Tanzaninia by number of satellites-0 / Kenya -2
View attachment 2845516
Tunakula urefu wa kamba kwanza
 
IMG_4423.png

Nikweli kabisa !
Angalia hata pesa za kuendeshea startus ukilinganisha na kenya !!

kenya imetuzidi mara 32
khaaaah
 
Alipokuwepo Mzee mwinyi sera yake ni Ruksa means kl mtu afanye anachotaka.
Mkapa ubinafsishaji
Kimwete…kuleni bata
Magu…ujenzi
Mama.::hata cjui sera yake nini
So ili kitu kisonge pele kwa haraka namba 1 wanchi inatakiwa kua sera yake au mojawapo ya ajenda zake

mama sera yake ni zanzibar
 
Kenya lunch 1st satellite-2018
Rwanda lunch satellite-2019
Ethiopia lunch satellite-2020
Uganda lunch Satellite-2022
Zimbabwe lunch satellite-2022
Tanzania lunch satellite-0



Tanzaninia by number of satellites-0 / Kenya -2
View attachment 2845516
Mnataka mtuondoe madarakani? Wafanye wajinga zaidi uwatawale zaidi🤐
 
Education, Science and Technology is just like Nothing in Tanzania, instead the Big Deal here is Politics. Politics, I mean a Dirt Politics is Everything here in this Country, seriously I feel ashamed to be Tanzanian. If you introduce that idea of Satellite or Science and Technology to the regime of this country, abruptly you'll be an enemy of the state because such kind of stufffs cannot benefits the personal individuals in the regime.
Hivi kweli mtu bungeni aje na hii hoja watamkaangia kunguni mpaka ajute
 
Back
Top Bottom