Tanzania yapata nafasi katika Obiti kwaajili ya Matumizi ya Satelaiti

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
1702714414561.png

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye, amesema Tanzania imefanikiwa kupata nafasi katika 'Obiti' ambayo ni Nyuzi 16W itakayowezesha Matumizi ya Eneo la Anga Kidigitali ikiwemo urushaji wa Satelaiti.

Endapo Urushaji wa Satelaiti utafanyika, Tanzania itaongeza uwanda wa Upatikanaji wa Taarifa Muhimu zinazoweza kusaidia sekta za Mawasiliano, Kilimo, Masuala ya Hali ya Hewa na TabiaNchi, na Teknolojia Mpya kuhusu Anga na n.k.

Mataifa mengine kutoka Afrika ambayo tayari yamefanikiwa kurusha Satelaiti zake ni Afrika Kusini, Algeria, Nigeria, Morocco, Ghana, Kenya, Rwanda na Mauritius

============
1702714447033.png

Tanzania has secured a crucial position in orbit for its first satellite, paving the way for its launch into the cosmos.

This historic achievement, announced by Minister of Information, Communication and Information Technology Nape Nnauye, marks a significant step forward in the country's space ambitions.

"This success is one of the fruits of the 2023 World Radiocommunication Conference (WRC23)!" Mr Nnauye declared, marking the culmination of intense efforts on the international stage.

This new orbit, at 16 degrees West, grants Tanzania a dedicated space in the vast celestial expanse.

This news comes after Mr Nnauye's earlier assurance in July, where he pledged the government's unwavering commitment to launching the country's maiden satellite within the year.

"We are confident," he stated, "and we are currently laying the groundwork."

The potential of a national satellite for Tanzania is vast. Sectors like communication, agriculture, disaster management, and allied industries stand to benefit immensely from its capabilities. Furthermore, the technology extends beyond these immediate applications, touching upon natural resource exploration and other vital economic sectors.

Across the African continent, a select few nations have already embraced the power of satellite technology.

Egypt leads the pack with nine satellites in orbit, followed by South Africa (eight), Algeria (seven), and Nigeria (six). Others like Morocco, Ghana, Kenya, Rwanda, and Mauritius join the ranks of spacefaring nations.

Tanzania's vision to join this elite group resonated with investors worldwide, highlighting the global recognition of the country's potential.

Additionally, scholars and politicians have consistently voiced their concerns about Tanzania lagging behind in the global space race.

Professor Sospeter Muhongo, MP for Musoma Rural, emphasized the importance of space science for propelling economic growth. "Tanzania needs its own satellites," he declared, "just like our neighbors Kenya and Rwanda, who have launched theirs in recent years."

With the secured orbit and the unwavering spirit of innovation, Tanzania's journey to space is no longer a distant dream.
THE CITIZEN
 
naisubiri siku tukirusha satelite anga za mbali. hizi ni ngonjera tu, tusubiri wanasayansi wetu wakune vichwa tuanze kuwapita marekani na urusi.
 
Muda muafaka kwa wanasayansi wetu kuonyesha umahiri wao !!
 
Back
Top Bottom