Why Foreign Aid is hurting Tanzania and other African countries!

Chanzo cha umaskini wa nchi maskini, nyingi zikiwemo Africa, kipo ndani ya vichwa vya wananchi wenyewe.

Rushwa na misaada vinachangia kwa asilimia ndogo tu.
 
Ningependa kuchangia kwa kiasi kikubwa hii mada. Lakini mara nyingi, matembezi yangu ni kwenye ukumbi wa siasa.

Anyway, mimi ni mmoja wa critics wa misaada kwa Africa. Lakini pamoja na hayo, kila siku zinapokwenda naona kuwa matatizo yetu ni diverse.

Hapa tunaweza kusema kuwa misaada ina-umiza africa. Lakini vilevile mtu anaweza ku-argue kuwa bila misaada nchi za kiafrika zingekuwa pabaya kuliko sasa.
 
Hapa tunaweza kusema kuwa misaada ina-umiza africa. Lakini vilevile mtu anaweza ku-argue kuwa bila misaada nchi za kiafrika zingekuwa pabaya kuliko sasa.

Zakumi,

Labda inabidi tuseme kuwa ukitaka kupasua jipu basi ukubali kumuumiza mpasuliwaji. Sasa sisi tukiona jamaa anakunja au kujua kuwa atakunja uso na machozi kumtoka kwa maumivu basi tunaacha.

Inabidi siku ifike mtu aseme ngoja nifunge misaada. Aanze kukazia macho kilichopo Tanzania ili kitosheleze mahitaji. Mwaka wa kwanza watakufa watu laki 5, ila kila miaka inavyokwenda, nina uhakika idadi itaanzan kupungua na hadi itafika siku tuwe tumejitegemea wenyewe bila ya misaada. Wachina walisota sana baada ya kufunga mpaka ila walijifunza kujitegemea. SA walifanya hivyohivyo wakati wa embargo.

Ila kufanya huvyo inabidi kiongozi mwenye MSULI na asiye na aibu na nyuma akiwa na mapenzi kwa nchi yake.
 
If 60-70% of your national budget depends on aid then you are likely to be under the thumb of the donor and implementing policies beneficial to them. What people don't realize is that these funds come with many conditions. Also these "free" money encourages corruption like it is stated above because countries are receiving money they have not earned. It is like giving pay to a person who has not worked for it, do you expect the person to be responsible with the money?

Also track records show that the nations which have not borrowed money have had more growth e.g Indonasia, South Korea even China etc. I agree that this "aid' does as worse than good.
 
Ningependa kuchangia kwa kiasi kikubwa hii mada. Lakini mara nyingi, matembezi yangu ni kwenye ukumbi wa siasa.

Anyway, mimi ni mmoja wa critics wa misaada kwa Africa. Lakini pamoja na hayo, kila siku zinapokwenda naona kuwa matatizo yetu ni diverse.

Hapa tunaweza kusema kuwa misaada ina-umiza africa. Lakini vilevile mtu anaweza ku-argue kuwa bila misaada nchi za kiafrika zingekuwa pabaya kuliko sasa.

Za10,
Tupo wote kwenye hili na tumeshalizungumza mno kwenye threads mbalimbali.
Endelea kumwaga sera on Aid effectiveness Mkuu maana mie nishajichokea. I will be an observer this time.
 
Ningependa kuchangia kwa kiasi kikubwa hii mada. Lakini mara nyingi, matembezi yangu ni kwenye ukumbi wa siasa.

Anyway, mimi ni mmoja wa critics wa misaada kwa Africa. Lakini pamoja na hayo, kila siku zinapokwenda naona kuwa matatizo yetu ni diverse.

Hapa tunaweza kusema kuwa misaada ina-umiza africa. Lakini vilevile mtu anaweza ku-argue kuwa bila misaada nchi za kiafrika zingekuwa pabaya kuliko sasa.


Zakumi,

Hili swali liko complicated kuliko linavyoletwa kwetu na hawa watu wa Magharibi.

Misaada inaweza kuharibu, misaada inaweza kujenga pia, inategemea na factors nyingi sana.

Watu wa West wanataka ku simplify mambo na kuyaweka katika some equations ambazo zitawaambia kama misaada inasaidia au haisaidii.It is not that simple, kuna namna ya kuifanya misaada iweze kusaidia, labda tumeshindwa kuipata hii namna, lakini tuki dismiss misaada altogether tunaweza kuwa si wa kweli, kwanza misaada yenyewe si "misaada" kiasi hicho, Afrika inabidi kupewa "reparation" yake katika mfumo kama wa "Marshall Plan".

Lakini nani ata champion hii cause? After all, we are the dark continent.


Tatizo la misaada katika structure ya sasa ni kwamba hakuna framework nzuri ya kutumia misaada vizuri kwa manufaa ya wananchi, wakubwa watakula au kuitumia vibaya misaada.
 
MArshall Plan ilikuwa nania au kusudi la kuwarudisha wazungu wa Ulaya pale walipokuwa kabla ya Vita kuu ya 2 na kuwapeleka mbele zaidi.

Ukileta Marshal Plana Afrika kama ile ya Ulaya haitasaidia kwa sababu mahali tulipo leo ni pazuri kuliko tulipo kuwa kabla ya Uhuru.

Sisi wenyewe kama Watu binafsi , jamaii na taifa hatuja weka bayana tunataka nini.

Ni lazima kwanza tuwe na palan katika kila kitu na kuita wataalamu wa kila fani kutafiti na kutolea maelezo ya kina katika kila plan.

Kwa mfano Ujenzi wa miji yetu.
leo hii tunaongelea ujenzi holela kwa vile hilo ndilo tulionalo kwa macho haraka haraka.

Kuna barabara.
Kuna mofereji mkubwa ya machi machafu.
Ipite wapi, iwe na ukubwa kiasi gani

Kuna Mzunguko wa hewa.
Majengo yageukia wapi, yawe na nini na yasiwe na nini?

Kuna standard ya majengo na barabara.
Kuna Usafiri ndani ya miji.
Gari lipi la ujazo upi litumike kama Town basi na kwa nini?
gari gani itumike kama Texi?

mifugo aua wanyama mijini?

Usalama wa moto wa umeme na gas.

Jamii yetu haiko radhi bado kukaa chini na kuongelea mpango yake kwa uwazi badla yake.
Wasomi wengi nchini Tanzania wanakaa chini na kuandika Utafiti mwingi wa kina na kuzipa NGO kutoka nje ya nchi. Pale watafiti wazuri wakijaribu kufanya approach kama hiyo ndani ya serikali wanapata mikingamo ya kisiasa kuanzia kwa Mjumbe wa nyuma 10 mpaka Bosi mkubwa wa NEC wakati NEC imejaa watu wenye elimu ya Ngumbalu.

Msaada ni panga likatalo kuwili akipewa mtu asiye tayari kupokea msaada.

Msaada siku zote ni kukusaidia pale uliposhindwa.
Unawekeza $2b billion unapewa msaada wa kiufundi.
Unanunua Matrekta 1000 ya nguvu unapewa msaada wa utafiti wa ardhi Mafuta na spea unanunia mwenyewe.

Sasa hivi hapa Tanania kila Mradi unataka msaada wa 100% huo ni Wehu.

Hata uchaguzi wa 2010 nao tunataka 100% AID, ya kweli hayo.

Misaada ni SUMU.
 
Mwanga la laser wa blue,

Hapo uko sawa kabisa. Itakumbukwa kuwa miaka ya 70, nchi kama Tanzania ilikuwa ikipata misaada mingi sana. Asia pia walipata misaada. Ila tofauti ni kuwa sisi tulipewa fedha wakati wenzetu wakajengewa/wakajijengea viwanda. Sisi hela zetu nyingine zikaenda kwa akina freedom fighter, mafisadi, kuhamisha watu vijijini, vita ya nduli nk. Wakati huo Wa-asia wakawa wanajengewa viwanda na kuanza kuhamisha uzalishaji kutoka Ulaya/USA na kwenda Asia. Jamaa wamejifunza jinsi ya kutumia mitambo na leo hii wenyewe wanatengeneza mitambo na kuzalisha bidhaa zao. Ona magari ya KIA na HYUNDAI, Wakorea walikuwa walianza kama utani na sasa haoooo.....

Kulikuwa na haja, Africa kupewa NDOANO kama MSAADA badala ya SAMAKI. Haya ma X5 sijui VX hayatatufikisha popote. Eti wanaleta msaada wa ujenzi wa shule kama hawa sijui GTZ (Wajeruman). Wanaleta jamaa zao kibao kuja kujenga, magari yao, cement zao, tiles zao, watapita kuokoteza vifaa kibao hata visivyo na maana na kuweka kwenye conteiner na kutuletea. Unaweza kukuta jamaa anafungua duka la kuuza hivi vifaa kwa jina la nduguye, baadaye wananunua kwa bei yao na kuvileta Bongo. Mwisho wa siku wanasema "tumeleta msaada ya milioni 100$.
 
Mkuu Sikonge!
Hiyo article: "Why Foreign Aid Is Hurting Africa" iliyoandikwa na Dr.Dambisa Moyo,ina ukweli mtupu...imefika wakati sasa Waafrika tuangalie njia muafaka ya kutatua matatizo yetu na sio kutegemea misaada....Nimepata bahati ya kufahamiana na Dr.Moyo ni mcheshi na mtu anayejua vizuri masuala ya Uchumi haswa Africa na Asia...kwa kujua zaidi kuhusu mwanauchumi huyo soma kitabu chake cha "Dead Aid" au tafuta muda wa kuhudhuria mihadhara yake punde atakapotembelea eneo lako (Sikonge).Ingia kwenye website yake na angalia schedule yake unaweza kupata bahati ya kuonana nae na ukaelimika kwa mengi www.dambisamoyo.com
 
Zakumi,

Labda inabidi tuseme kuwa ukitaka kupasua jipu basi ukubali kumuumiza mpasuliwaji. Sasa sisi tukiona jamaa anakunja au kujua kuwa atakunja uso na machozi kumtoka kwa maumivu basi tunaacha.

Inabidi siku ifike mtu aseme ngoja nifunge misaada. Aanze kukazia macho kilichopo Tanzania ili kitosheleze mahitaji. Mwaka wa kwanza watakufa watu laki 5, ila kila miaka inavyokwenda, nina uhakika idadi itaanzan kupungua na hadi itafika siku tuwe tumejitegemea wenyewe bila ya misaada. Wachina walisota sana baada ya kufunga mpaka ila walijifunza kujitegemea. SA walifanya hivyohivyo wakati wa embargo.

Ila kufanya huvyo inabidi kiongozi mwenye MSULI na asiye na aibu na nyuma akiwa na mapenzi kwa nchi yake.

Sikonge:

Kuhusu kiongozi mwenye misuli umenikumbusha safari yangu bongo hivi karibuni. Niliwauliza wazee wa zamani kwanini wilayani kwetu kulikuwa na maendeleo makubwa wakati wa mkoloni?

Niliambiwa alikuwepo DC mmoja mzungu alikuwa anatembea na kiboko. Akikuta watu wanacheza bao wakati wa kazi alikuwa anawachapa viboko. Vilevile kulipa kodi ilikuwa ni muhimu. Kuna watu walikuwa wanaishi maporini kwa kuogopa kulipa kodi.

Wafanya biashara wa kihindi walikuwa na maduka yao kwenye nyumba zenye ukuta wa madebe na mapaa ya madebe. DC aliwalazimisha kuchukua mikopo ya kujenga nyumba za ghorofa ama sivyo aliwanyima leseni za biashara.

Toka uhuru upatikane hakuna cha maana kilichongezeka. Mifereji ya maji machafu imeziba. Mbu kibao na Malaria inaua watu.
 
Za10,
Tupo wote kwenye hili na tumeshalizungumza mno kwenye threads mbalimbali.
Endelea kumwaga sera on Aid effectiveness Mkuu maana mie nishajichokea. I will be an observer this time.

Tatizo lenyewe ukianza kulisoma hili suala linakuwa obssession yako. Na sisi wengine ni wabeba mabox tu.

Hila kuna nadharia zinazosema kuwa sio kila misaada inasaidia katika ukuaji wa uchumi wa kujitegemea.

Mfano mkubwa ni matatizo ya mfumuko wa bei nchi Israel kati ya 1973-1989.

Israel inapokea misaada ya maana kutoka Marekani. Tena misaada hii ni ya nguvu.

Lakini nchi hii ilikumbwa na matatizo ya kiuchumi baada ya vita na waarabu Yom Kipur (1973) na kufuatiwa na upandaji wa bei mafuta.

Kama misaada inasaidia basi Israel kwa kutumia misaada kutoka Marekani ingeweza kujikwamua haraka. Walishindwa kujikwamua kwa sababu wanasiasa walishazoezwa na misaada na walishindwa kuwa na sera za kujikwamua.

Mfano huu ni sawa na Tanzania na misaada ya chakula. Mikoa ya Rukwa, Mbeya, Ruvuma na Iringa inaweza kutosheleza chakula nchi nzima. Lakini kwa sababu kuna watu watakaotusaidia tukiwa na matatizo ya chakula, hakuna sera za maana za uzalishaji na usambazaji wa chakula.
 
This article doesn't say anything new nor does it offer any idea that hasn't been tried before in some form or fashion. An honest discussion about the plight of Africa must begin with the intelligence problem and work its way up. This author is just trying to sell her book.
 
Are you serius ndugu yangu? Anyways ni misaada toka nje.

Good! And I am serious. Now refer to your earlier post. Is "borrowing money" synonymous to taking "foreign aid"? Is accepting foreign aid a requirement? Why poor countries accept foreign aid? And why rich countries give aid to poor countries while they have tons of domestic problems? What will happen if rich countries stop giving out aid to poor countries? Does aid ineffectiveness means aid is not needed? Is it that aid is not needed or we have to make aid works? Have you considered the fact that the given aid is too little to get poor countries out of the poverty trap? Have you read "The End of Poverty" by Jeffrey Sachs? Who is telling the truth? Mr. Moyo or Prof. Sachs? What really is the problem? MwanaFA, kama umelielewa hili tatizo au kama umemulewa Bw. Moyo nisaidie tafadhali.
 
Tatizo lenyewe ukianza kulisoma hili suala linakuwa obssession yako. Na sisi wengine ni wabeba mabox tu.

Hila kuna nadharia zinazosema kuwa sio kila misaada inasaidia katika ukuaji wa uchumi wa kujitegemea.

Mfano mkubwa ni matatizo ya mfumuko wa bei nchi Israel kati ya 1973-1989.

Israel inapokea misaada ya maana kutoka Marekani. Tena misaada hii ni ya nguvu.

Lakini nchi hii ilikumbwa na matatizo ya kiuchumi baada ya vita na waarabu Yom Kipur (1973) na kufuatiwa na upandaji wa bei mafuta.

Kama misaada inasaidia basi Israel kwa kutumia misaada kutoka Marekani ingeweza kujikwamua haraka. Walishindwa kujikwamua kwa sababu wanasiasa walishazoezwa na misaada na walishindwa kuwa na sera za kujikwamua.

Mfano huu ni sawa na Tanzania na misaada ya chakula. Mikoa ya Rukwa, Mbeya, Ruvuma na Iringa inaweza kutosheleza chakula nchi nzima. Lakini kwa sababu kuna watu watakaotusaidia tukiwa na matatizo ya chakula, hakuna sera za maana za uzalishaji na usambazaji wa chakula.



Unauhakika tatizo ni sera?

Mfano wako kuhusu Israel una walakini. Ili nchi iweze kukua kiuchumi, it involves myriads of factors. From population size and structure, to level of consumption and investment to political landscape. Kwa mfano, huwezi kutegemea nchi kukua kiuchumi wakati iko kwenye vita au imetoka kwenye vita, hata kama inapata misaada ya nje. Hivyo, huwezi kutumia mfano wako kuhusu uchumi wa Israel kuhitimisha kuwa misaada haifai. This is oversimplification! Israel economy is now self-sustaining and they no longer accept economic aid from the US. The natural question to ask is, could Israel attain her current level of economic growth if not for the foreign aid after Yom Kippur? My point is, whether aid is working or not is an empirical question. What do you think?
 
Zakumi,

Hili swali liko complicated kuliko linavyoletwa kwetu na hawa watu wa Magharibi.

Misaada inaweza kuharibu, misaada inaweza kujenga pia, inategemea na factors nyingi sana.

Watu wa West wanataka ku simplify mambo na kuyaweka katika some equations ambazo zitawaambia kama misaada inasaidia au haisaidii.It is not that simple, kuna namna ya kuifanya misaada iweze kusaidia, labda tumeshindwa kuipata hii namna, lakini tuki dismiss misaada altogether tunaweza kuwa si wa kweli, kwanza misaada yenyewe si "misaada" kiasi hicho, Afrika inabidi kupewa "reparation" yake katika mfumo kama wa "Marshall Plan".

Lakini nani ata champion hii cause? After all, we are the dark continent.


Tatizo la misaada katika structure ya sasa ni kwamba hakuna framework nzuri ya kutumia misaada vizuri kwa manufaa ya wananchi, wakubwa watakula au kuitumia vibaya misaada.

BR:

Hili suala ni complicated. Kwa mfano kwetu Morogoro vilijengwa visima vya maji vya pump za kusukuma. Visima viliongeza luxury ya upatikanaji wa maji lakini havikuongeza shughuli za uchumi za haina yoyote hile.

Bibi yangu aliyechota maji kutoka kwenye kisima cha jadi, alipunguziwa utafutaji wa maji kwa muda wa kama dakika 20 hivi kwa kuwepo pump ya kusukuma.

Ufanisi huu wa upatikanaji wa maji haukumsaidi mtu yoyote kijijini kwetu kuongeza pato lake kwa sababu watu walichota maji jioni baada ya shughuli zake.

Wakati vinajengwa visima , kulikuwa na ujenzi wa barabara ya kutoka Morogoro kwenda Dodoma. Barabara hii imekuwa ni sehemu kubwa ya shughuli za biashara japokuwa ujenzi wake ulikuwa wa mazingira ya kisiasa.

Kwa mifano hiyo miwili, naamini sisi kama wasaidiwa tumepanga priorities zetu vibaya toka tumepata uhuru.
 
[/I][/B]

Unauhakika tatizo ni sera?

Mfano wako kuhusu Israel una walakini. Ili nchi iweze kukua kiuchumi, it involves myriads of factors. From population size and structure, to level of consumption and investment to political landscape. Kwa mfano, huwezi kutegemea nchi kukua kiuchumi wakati iko kwenye vita au imetoka kwenye vita, hata kama inapata misaada ya nje. Hivyo, huwezi kutumia mfano wako kuhusu uchumi wa Israel kuhitimisha kuwa misaada haifai. This is oversimplification! Israel economy is now self-sustaining and they no longer accept economic aid from the US. The natural question to ask is, could Israel attain her current level of economic growth if not for the foreign aid after Yom Kippur? My point is, whether aid is working or not is an empirical question. What do you think?

Kuhusu suala la Israel naomba angalia kazi za Michael Bruno. Aliyekuwa Governor wa benki kuu ya Israel na jinsi alivyo-pambana na inflation na kuongeza economic growth.
 
Development minister suspends Tanzanian aid

The Hague - Development Minister Bert Koenders has suspended financial aid to Tanzania. In a letter to the Lower House, he explains that Tanzania is an unreliable partner for foreign investors.

Koenders took the decision after a Dutch entrepreneur lost his investment.

The letter does not name the entrepreneur or explain the details of the case, but the minister says enough is enough.

It is not clear how much money Tanzania will miss out on as a result of the decision.

Development minister suspends Tanzanian aid < Dutch news | Expatica The Netherlands
 
Back
Top Bottom