Mdondoaji Tatizo la Chadema ni mjumbe ana ujumbe mzuri lakini yeye mwenyewe haufuati..sasa nani atamwamini?
Mwita Maranya
msema kweli ni kipenzi wa Muumb lakini mwanadamu atamchukia kwa sababu hataki ukweli........
Ninakusoma sana ndugu yangu,ndiyo maana nakushahuri.
maana unajithidi kutengeneza sentensi, bado unapoteza maana halisi.
unamaanisha kuwaeleza wazungu Dr Hafai lakini ninaye mmoja wao hapa,bado amefedheheshwa na matumizi yako ya maneno,ambayo sikuzote yamepoteza maana halisi.
Andika kiswahili wazungu wanajua wapi atapata tafsiri.
Mwita Maranya
msema kweli ni kipenzi wa Muumb lakini mwanadamu atamchukia kwa sababu hataki ukweli........
Mkuu Rutashubanyuma, kwahiyo wewe unamchukia Dr. Slaa kwakuwa anawaambia ukweli watanzania pamoja na kuiambia ukweli ccm na serikali yake juu ya madudu inayoyafanya.
tatizo hujasoma.................alipofanya vizuri nimemsifia ila alipokosea nimem'mulika..........hakuan matakatifu hapa duniani................aanze kusafisha ufisadi na utawala usiyo bora Chadema mengineyo ataeleweka..waswahili husema "Mkuki kwa nguruwe (CCM) na kwa mwanadamu (Chadema) ni mchungu................lol[MENTION]Mwita Maranya[/MENTION]
[MENTION]Ukweli ni neno zito, haya ni maoni yako na yaheshimiwe lakini haina maana ndio ukweli(au fitna, just maoni)
Ruta,
You nailed a point there. Watanzania wanakosa viongozi wenye kuongoza kwa matendo. Nyerere alijitahidi kuongoza kwa vitendo despite his weaknesses. Sasa tunaviongozi wanasema mdomoni mengine na matendo yao ni mengine. This sends a very clear message to the people that you as a leader you are flip floper or hypocrite.
Mie sababu ya kumkubali Zitto sio kwasababu ya uislamu wake wala elimu yake. Ila ana misingi yake ambayo anaifuata ambayo anaisimamia pia. Hilo limemjengea heshima kubwa sio tu kwangu bali kwa watu wengi ninaowafahamu. Kiasi kwamba hata mtu akija kusema lengine inakuwa ngumu kuliamini hadi lithibitishwe. Nitakupa a very small example kuhusu posho alisema atakataa na amekataa hadi sasa kwasababu posho zile wizi mtupu na wabunge wanalipwa kwa kazi ambayo ni majukumu yao wenyewe.
Dr Slaa aliposema anauacha ubunge halafu ameenda kuwa katibu mkuu kumetokea tuhuma mbali mbali ambazo yeye mwenyewe either ameshindwa kuthibitisha au amezikaushia tu. Mfano kuna tetesi kuwa mkewe anataka kugombea ubunge wa kawe. Tuseme Kweli akafanikiwa kuwa mbunge na Dr Slaa ni raisi huoni kuna uwezekano kwa mfumo uliopo akamteua kuwa waziri wake? Tuseme akamteua kuwa waziri wa fedha au waziri wa madini je kodi zetu au rasilimali zetu zitakuwa salama kweli?????
Mie kuna watu wameniita mdini, mbaguzi, arrogant but huwa mara nyingi nasema I am just realist. I am a strong believer of liberalism na haki sawa kwa wote. Kungelianzishwa chama cha maliberali ningelijiunga nacho but sijakiona bado sasa. Chadema sina chuki nao wala ugomvi but nawaambia ukweli kama navyowaambia CCM kwani nasikia uchungu kodi yangu inavyoenda.
[MENTION]Mkuu I envy your writting skills, Nauye Jr pamoja na Mnyika wajifunze kwako
Mdondoaji Zitto yuko kwenye payroll ya Barrick...........hali yake kisiasa ni mbaya..................hatuwezi kumwamini hata kuchaguliwa kwake ni hela ya barrick.............
Ruta,
You nailed a point there. Watanzania wanakosa viongozi wenye kuongoza kwa matendo. Nyerere alijitahidi kuongoza kwa vitendo despite his weaknesses. Sasa tunaviongozi wanasema mdomoni mengine na matendo yao ni mengine. This sends a very clear message to the people that you as a leader you are flip floper or hypocrite.
Mie sababu ya kumkubali Zitto sio kwasababu ya uislamu wake wala elimu yake. Ila ana misingi yake ambayo anaifuata ambayo anaisimamia pia. Hilo limemjengea heshima kubwa sio tu kwangu bali kwa watu wengi ninaowafahamu. Kiasi kwamba hata mtu akija kusema lengine inakuwa ngumu kuliamini hadi lithibitishwe. Nitakupa a very small example kuhusu posho alisema atakataa na amekataa hadi sasa kwasababu posho zile wizi mtupu na wabunge wanalipwa kwa kazi ambayo ni majukumu yao wenyewe.
Dr Slaa aliposema anauacha ubunge halafu ameenda kuwa katibu mkuu kumetokea tuhuma mbali mbali ambazo yeye mwenyewe either ameshindwa kuthibitisha au amezikaushia tu. Mfano kuna tetesi kuwa mkewe anataka kugombea ubunge wa kawe. Tuseme Kweli akafanikiwa kuwa mbunge na Dr Slaa ni raisi huoni kuna uwezekano kwa mfumo uliopo akamteua kuwa waziri wake? Tuseme akamteua kuwa waziri wa fedha au waziri wa madini je kodi zetu au rasilimali zetu zitakuwa salama kweli?????
Mie kuna watu wameniita mdini, mbaguzi, arrogant but huwa mara nyingi nasema I am just realist. I am a strong believer of liberalism na haki sawa kwa wote. Kungelianzishwa chama cha maliberali ningelijiunga nacho but sijakiona bado sasa. Chadema sina chuki nao wala ugomvi but nawaambia ukweli kama navyowaambia CCM kwani nasikia uchungu kodi yangu inavyoenda.
Mimibaba kama mtu wenu nimemwonea nielmishe nami nielimike.....................
[MENTION]given the nature of english used in this thread, i would wonder if you tell that you have ever studied literature. a good speaker or writer is the one who uses simple language as possibly as it may be to make his or her audience grasp and understand what is been spoken or writen. in your part you have failed because many will not get you properly which i think wan not the aim of your thread.
This kind of writing will never make you great thinker rather a prejudice and flamboyant great thinker .
Hii thread ni Ds kabisa. Too long with bombastic words. Mkuu sio wote tuna dictionery eti.[MENTION]
Kiganyi[/MENTION]
Zitto ni hafai zaidiya huyo Dr. Slaa ila tuntemeke sina taarifa zake...................is he not dead? Au yuko mwingine
[MENTION]I do not know your belief but historically changes and missions are achieved by determined characters regardless of their short comings (Moses never arrived to Canaan, etc).
Item by item you focused on Dr Slaa personality rather then his mission and deliberately did not come up with comparable alternative. That is how your skewed. Worse you came up with a biased heading "Why Dr. Slaa is now politically speaking "damaged goods"!" when Dr. Slaa is strong, sound and undamaged.
As such there is no reason to continue the argument because you have already concluded just like you wanted to be perceived. Bye
Hii thread ni Ds kabisa. Too long with bombastic words. Mkuu sio wote tuna dictionery eti.
thread yako ina ubaguzi wa rangi - we mwingreza (kwa lugha) na sisi wabongo shule chini ya mpapai wapi na wapi?
Mdondoaji Tatizo la Chadema ni mjumbe ana ujumbe mzuri lakini yeye mwenyewe haufuati..sasa nani atamwamini?