Why do i still miss him jamani

Why do i still miss him jamani

You will, eventually. Once someone else comes along and you love him deeply. Mpaka utashangaa ni kwa nini ulikuwa unampenda baby daddy kiasi hicho. Ila ndo hivyo it is a matter of time. Go to him if with your mind he is a good person and you are willing to put up with him. If its only your heart and your mind is aganist him, don't
Thank u dear i dont know what is between the two
 
At one point a woman has to choose to move on and live her life to the fullest and not love a man who doesn't love her.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hili suala la 'damu yake' au 'damu yangu' huwa silielewi.

Ni wapi wamechanganya hizo damu? Owkay, hata kama wamechanganya, mtu anawezaje kumkataa mtoto afu akamrefer as 'damu yake'

Huyu dada anapitia 'relapse' ya break up tu, labda hajakunwa siku nyingi, ule upweke unafanya akumbuke anachokijua.

Kumsahau ni ngumu, as tayari una damu yake.
Anyway, time is a cure to your situation, just take a heart.
 
Weakness yako iko kichwani zaidi, yaani ale ujana huko weee afu akichoka ndio akurudie wewe unamsubiri tu?

Umepungukiwa nini kwani, as a woman?

Kurudiana sidhani mwenzangu bado anakula ujana mi nalea labda akichoka kuhangaika
 
utamsahau vipi wakati una mtoto umezaa nae? .kama mtoto yupo na unae wewe lazima utamkumbuka tu baba yake


kovu lisilofutika hilo
 
Kama bado unampenda mtafute umueleze, myamalize muanzae upya na Mungu atawabariki. Ukishindwa wewe mwenyewe nipo tayari kumfikishia ujumbe au kufanya upelelezi kujua kama nayeye huwa anakuwazia au la ili uchukue hatua kabla giza halijaingia. Hakuna kitu kizuri kwa watoto kama kulelewa na wazazi wote wawili na kuonyeshwa upendo kutoka kwa wazazi.
 
mmmmmh pole mtafute waweza kuta nae anakuwaza

Kweli kabisa hadi mimi namuwaza!!!
Ha ha ha wanapendana hao ingawaje hajataja sababu ya kuachana inawezekana yeye ndo source ndo maana bado anam miss ,Nature ndo iko hivyo
 
Naumia sana nkikumbuka zama zetu, natafuta kiki ya kurudi, huyo mtoto wetu ananipain zaidi ya maelezo, ntaku-sms nkiweka vocha!
 
Kuoa mwanamke mwenye mtoto tayari ni janga ambalo utali-regret for the rest of ur life.
 
I managed to move on with my life na mtoto wangu, so far we are doing good even without him.

Nilifikiri sitaweza ila na mshukuru mungu nimeweza na nina furaha mtoto mtamu kweli.

Sina msaada wowote toka kwake ni mimi peke yangu na mwanangu na biashara zangu zinazo niwezesha kwa kiasi fulani.

Ila kwa mambo yote aliyo nitendea all the insults mtoto alivyozaliwa, all the pain he caused me i still miss him and i think i still love him.

Nashindwa kuelewa is it a matter of time it will pass kama mengine yalivyopita au nitakua hivi milele loving him and missing him, nitaweza kweli kumsahau completely no missing him no loving him.

Hasa ukizingatia ni mzazi mwenzako, hio ni ngumu kumeza!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom