Why did i get married??

Why did i get married??

Kazi ipo kwa kweli kiufupi ni watu wawili tuliokulia mazingira mawili tofauti emagine kila nikipata likizo anataka niende kwao ili nikupende anhisi napachukia coz ni kijijini wakati mie was ready for that na nilienda kabla hata sijaolewa na nilikubali ila i need some of my leave niwe out of his home village anaona namdharau sasa hapo ndo nahisi uvumilivu unaisha.
Ofcourse nishaangalia nae sana mpira na pale samaki samaki ya mlimani city tushakaa sana hadi nikajihisi sasa mie nakuwa mama au mschana, mziki sio sana anenda once in a while anapenda kwenda kutembea kwa ndugu zake na kuongea while me sometimes I get bored kwenda kwa watu..........

Nyumbani kwenu mnaishi na nani?
ndugu wengi?

sometimes nyumba ikiwa na watu wengi nayo ni kisababishi
cha watu kushindwa ku enjoy pamoja...

Ulimtoa wapi? mbona kama yeye wa Nyerere na wewe wa Kikwete?
 
The Boss, are you into counseling professionally!?? U good..
mkunde original, I really wish your marriage works! I don't know how (wish i could give such constructive pieces of advice as the boss) but maybe I will pray for you.

Waiting for feedback when you comeback n tell us how things have undergone a U-turn to falling in love with each other again!

All the best...sasa log off enda mpe msee chakula yake!!!
 
Last edited by a moderator:
kanizidi miaka 3 tuu
Do you Love yourself mamy?
Post zako nyingi una sound kama umekata tamaa kabisa na hiyo ndoa usije kupata msongo wa mawazo.
Kama unahisi mmefikia mwisho end it mapema u move on.
Mtoto atakua tu,mbona yatima wanakua?
 
Umeshauriwa vema sana labda mie niongeze kidogo hebu mbembelezeee akubali kukuandikia kwenye karatasi ni mambo gani anahisi unamboa,akikubali yachukue usomeeee,utafakariiiii lakini jitahidi yasikukasirishe,hii itakufanya uzoee critism kutoka kwake,inawezekana kabisa ukawa hupendi namna ambavyo anakukosoa kwenye baadhi ya mambo hii inajenga chuki na kutengeneza ukuta kati yenu......nilishapitia hali hii tena ndoa ikiwa changa ya miezi sita tu....ila kwa sasa nimepona kabisa na nina nine years sasa. Pole sana mamie.
 
Ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Huo sio ustaarabu mkuu..
Nimeona sehemu nyingi umeharibu hivi.... grow up brother!
 
@the boss, are you into counseling professionally!?? U good..
mkunde original, I really wish your marriage works! I don't know how (wish i could give such constructive pieces of advice as the boss) but maybe I will pray for you.

Waiting for feedback when you comeback n tell us how things have undergone a U-turn to falling in love with each other again!

All the best...sasa log off enda mpe msee chakula yake!!!

Thanks for your prayer.
 
Give yourself ample time, be alone and if possible find a place far from home and let your heart speak to you in a cool environment!! The inner voice in you will tell you what to do!!
 
Unafikiri waliozeeshana wamezeeshana kwa raha tupu,,,hebu rudi kwenu kijijini muulize babu na bibi wamewezaje kufika hapo walipo, ndio utaona kumbe wewe bado hata robo yao hujafika..vumilia mtoto ndoa sio dushelele tu inatakataka kibao...
 
Mkunde dear kwanza pole na yanayokukuta. Pili nikuombe mpendwa wangu umshirikishe Muumba wako katika hili. Usione wazazi wamekaa kwenye ndoa miaka 30 - 40 ukafikiri all was hunky dory, si kweli. Walikuwa na matatizo ya hapa na pale kama binadamu yeyote not indifferent in any shape or form sema they dealt with the problems differently. Na vile vile (and I am only speculating) natumai hakuna some other dude who is feeding you with ---- on the side. Coz once u start entertaining some other guy utaharibu ndoa yako. Wanawake wengi huaribu ndoa kwa kuendekeza wakaka wa nje wanaowaambia na kuwaimbia vile wanataka kusikia.

Ujue utakapomuacha mume wako na huyo jamaa wa nje naye atakula kona. It's easier to peep into other pastures from the inside but once u get outside and get rained on then u will miss ur umbrella. Unisamehe kama this does not apply to you. As for being bored, like many have said, pick a hobby that you and your husband will cherish. Take a trip away on an excursion, somewhere exotic where the two of you can just kick back and relax. Kumkimbia mumeo itakula kwako my dear. Hutakaa kupata mwanaume ambaye ni perfect. Utamkimbia ur hubby utapata another dude naye atakuja kuku-bore kama hubby wa sasa. Mwisho wake ni nini my dear? Treat your body and mind as shrines to be revered and not some portal for evil thoughts and deeds.Raise the bar kid, you are above that.
 
Asanteni wote kwa mawazo yenu munkari imepungua sasa na tumepanga kujadili matatizo yetu madogomadogo week end hii hope will work out.
Thanks again and be blessed always!!:smiling::smiling:
Mkunde
 
Uliingia kwenye ndoa ukiwa na dreams pamoja na expectation kuuubwa kama hadithi za kibongo zinavyoisha i.e. "wakaishi maisha ya raha mustarehe". Binti funguka, uzuri na furaha ya ndoa ni nyinyi wenyewe, kama hamko tayari ni vigumu kuiona raha ya ndoa, ondoa hizo imposible expectation na ruhusu moyo wako kuyakubali maisha halisi mlionayo then rudisha upendo kwa mwanaume aliekujali na kukupenda na kukubali kuishi nawe tangu siku ya ndoa mpaka kifo chenu then utaiona ndoa ilivyo tamu, Umeona eeeh ilivyo tamuuuuu
 
Mkunde Original mke wa mtu uliechoka na ndoa, ndoa yenu ina umri gani? Mna watoto?
 
wanawake wanataka wanaume tuwe kama TV...
ukitaka music,una badili channel,movie unabadili,news unabadili...
ikikuboa una switch off..TV...

we are humans....sio TV...
well spoken....hata hivyo saa ingine tuna mambo mengi than jus think to please them everyday...afterall they never ridhika.
saa nyingine we jus cant.....
 
Ukiwaona watu wamezeeka wana mvi bado wako pamoja ujue wamepitia mengi sana. Maisha ya ndoa yanahitaji uvumilivu, hekima na busara bila kuwa na hivyo vitu utajikuta unalia kila siku kikubwa ni UVUMILIVU
 
Hivi jamani huu unaoitwa UVUMILIVU huwa una mwisho au hauna? Na ukifika mwisho unabadilika jina na kuitwa nini?
 
Dah pole sana inaelekea umechanganyikiwa kweli , lakini ndoa inataka uvumilivu, Kaeni mzungumze mmalize tofauti zenu, na wewe mbona umejikataa mwenyewe, yaani umekata tamaaa sana, haitakiwi kukata tamaa,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom