Why did i get married??

Why did i get married??

Aisee pole. Kama naimagine unachopitia. Hebu kwa imani yako mshirikishe Mungu; atakusaidia ku revive the reasons u married ur husband. Pole sana. Na mmekaa miaka mingapi? Mna watoto? Unafanya kazi? Ana kudharau? Anakutesa? Unampenda? Hajakuacha sababu anakuhitaji; wewe je unamhitaji? nna maswali mia kidogo but mshirikishe Mungu kabla ya yote.

The truth shall set u free.

Asante, najitahidi kusali mara kwa mara kwa kweli na sijachoka bado, tuna less than 5 yrs, yeah mtoto mmoja, wote tunafanya kazi, sometimes huwa ananidharau live hanitesi ila huwa nakereka. Nampenda ila kero zinazidi kupunguza upendo kila leo, sasa kama ananihitaji kwa nini anakuwa insecure na kunikera with no reason? Yes as nimezaa nae namhitaji kwenye malezi ya mtoto. Thanks for caring.
 
Wewe u love him ndo maana huondoki! there is sth that stop you, find it and cherish your love!tafuteni mtoto atawaunganisha

She cannot survive on her own,so ni economic reason inayomfanya asi break kwenye ndoa

na might be a reason iliyomfanya akaolewa na huyo jamaa,na ndio maana mmewe anamshangaa anapotaka mazungumzo wakati he has not changed
 
Mkunde unaweza usinielewe, ila wewe haujapata shida yoyote kwenye ndoa, badili jinsi tu unavyotazama uhusiano wako na mume wako, mtazamo wako unamatter sana! ukiamini kuwa mko vizuri, utashangaa! acha kuconcentrate kwenye mapungufu ya mume wako!
 
Wewe u love him ndo maana huondoki! there is sth that stop you, find it and cherish your love!tafuteni mtoto atawaunganisha!nenda gym ukafanye mazoezi! nendeni na mzee Serengeti kisha Zanzibar!find sth to get yourself busy!

asante kwa ushauri wako mujarabu ntaufanyia kazi.
 
Habari zenu za week end MMU??

Nimejikuta najiuliza hili swali jioni hii bila jibu, najua kuna movie ya kimarekani inaitwa hivi na nilishawahi kuangalia ila nimekosa jibu ilikuwaje kuwaje nikaolewa memory imekata kabisaaaa hapa nilipo sielewi hat kwa nini bado niko ndani ya hii ndoa. May be am not a good wife and nimejisahau sitimizi majukumu yangu kama mke ila kwa nini haniachi? If I examine myself yeah ninamapungufu ila na siwezi kuwa mkamilifu kama malaika am trying my level best but sioni mwisho wa hii ndoa. Kifupi nimechoka na sina guts za kutoka mwenyewe hadi nifukuzwe yaani akithubutu tuu kunitimua hata usiku wa manane atakuwa kanipa ahueni but at the same time am not sure if I can at all survive on my own thats why sithubutu kutimka on my own. Ila kwa nini inakuwa tabu bin shida kila leo na yaleyale ndo yanajirudia? Nahisi uvumilivu wangu unaelekea negative sijui nikiwa dataz wife itasaidia yaani niwe sijali lolote niwe bora liende kwangu yote yawe sawa..........................????
Mkiona hivi kama ujue maji yamenizidi nguvu na nahisi kuzama na nikiangalia kulia, kushoto mbele na nyuma hakuna hata kijiti cha kushikilia walau kunisupport nisizame.
Am so down Mkunde mimi..........

Ndoa ni taasisi nyingine tena ndoa ni zadi hata ya BOT kwa taarifa yako.Soma signature yangu ndiyo utajua maana ya ndoa
 
Nimeangalia tangu umeanza kueleza tatizo hili lkn sijawahi kuona unapoelezea ni jinsi gani ww unajihisi kuchangia hali hiyo.
Hebu jitazame wapi na ww umechangia haya yote, wapi umepungua, wapi umebadilika, wapi umeacha mwanya.
NB: kutoka hapo hakutakupa nafuu yoyote kama hujajua kiini
 
Binadamu wote ndo tulivyo
ukinunua gari ,siku za mwanzo utaliosha kutwa
na kuhakikisha liko vizuri
ukishalizoea tu,utaliacha na vumbi na hata kuli park CCM siku zingine
wakati mwanzo ulikuwa na wasiwasi ukizubaa litaibiwa..

ukijenga nyumba the same,utafagia kutwa na kupanda na kumwagilia maua
ukishaizoea tu...inakuboa kiaina si ajabu ukatamani nyumba ingine,gari ingine na kadhalika..

ukipata kazi mpya,unavaa vizuri na kuwahi officin mapemaa...ukishazoea tu..
unatamani kazi ingine,unaboreka hadi baasi...

we all want what we don't have....its a human nature
tulivyo navyo tunavi take for granted...

those are my words and I use to say them, ''let nature take place'' thanks for reminding me.
 
Hobbby zako ni zipi hizo?

by nature binadadamu tuna grow kila siku
sasa kwenye mahusiano mnapaswa m grow together ..
na sio ku grow apart....

hilo ndo tatizo lako...
find a way muweze ku grow together....
sababu process ya ku grow kwa binadaamu ni ya lazima
mkiendelea ku grow apart ,mtaachana tu mwishowe

Hapo ndo nilikuwa napataka kwenye kugrow togather, narudi kule kule why did I get married? Yaani hata sielewi kwasababu nikianzisha idea lets do this itapingwa na itaishia hewani na mimi natafuta idea ingine itachambuliwa na kuonekana ni uharibifu wa hela na nyingine kutafutiwa sababu kwamba haifai haya ukisema yeye basi alete any idea so that we can go together anakwambia sina idea yoyote. ukinifatilia nilishaomba mtu anayejua kuogelea anifundishe hiyo ilikuwa moja ya idea ya kujilkep busy nikamuomba tujifunze wote week ends tuwe tunaogelea nikaambiwa nataka kumuua na maji akiwa mtu mzima wakati yeye hajui kuogelea nikaishia hapo maan ukiendelea sana inakuwa ugomvi kiufupi ni tabu bin shida looh
 
She cannot survive on her own,so ni economic reason inayomfanya asi break kwenye ndoa

na might be a reason iliyomfanya akaolewa na huyo jamaa,na ndio maana mmewe anamshangaa anapotaka mazungumzo wakati he has not changed

si kweli as niko well financialy nimesema sidhani kama ntaweza stand on my own nilimaanisha kimalezi ya mtoto na si financially, mtoto bado mdogo na kishamzoea baba yake sasa namtengaje na baba yake na maswali ya watoto yasiyoisha looh
 
Hapo ndo nilikuwa napataka kwenye kugrow togather, narudi kule kule why did I get married? Yaani hata sielewi kwasababu nikianzisha idea lets do this itapingwa na itaishia hewani na mimi natafuta idea ingine itachambuliwa na kuonekana ni uharibifu wa hela na nyingine kutafutiwa sababu kwamba haifai haya ukisema yeye basi alete any idea so that we can go together anakwambia sina idea yoyote. ukinifatilia nilishaomba mtu anayejua kuogelea anifundishe hiyo ilikuwa moja ya idea ya kujilkep busy nikamuomba tujifunze wote week ends tuwe tunaogelea nikaambiwa nataka kumuua na maji akiwa mtu mzima wakati yeye hajui kuogelea nikaishia hapo maan ukiendelea sana inakuwa ugomvi kiufupi ni tabu bin shida looh


mnhh hapo kazi ipo..
yeye anapenda nini?
mpira?kwenda mziki?
anzia na hobbies zake
tazama nae mpira,..mfuate bar akiwa anataka kurudi...
 
Ndoa ni taasisi nyingine tena ndoa ni zadi hata ya BOT kwa taarifa yako.Soma signature yangu ndiyo utajua maana ya ndoa

The buttocks are like a married couple though there is constant friction between them, they will still love and live together. ~African Proverb
Ha ha ha ha ha haaaaaa loooh nimecheka sana sikuwahi kufikiria wala kusoma maneno haya kabla, thanks nimepata somo hapa thanks much yako imeua yote loooh natamani nichukue maneno haya niyaframe na niyabandike sebleni kwangu na chumbani kwangu, nahisi ntafanya hivo kesho.
 
mnhh hapo kazi ipo..
yeye anapenda nini?
mpira?kwenda mziki?
anzia na hobbies zake
tazama nae mpira,..mfuate bar akiwa anataka kurudi...

Kazi ipo kwa kweli kiufupi ni watu wawili tuliokulia mazingira mawili tofauti emagine kila nikipata likizo anataka niende kwao ili nikupende anhisi napachukia coz ni kijijini wakati mie was ready for that na nilienda kabla hata sijaolewa na nilikubali ila i need some of my leave niwe out of his home village anaona namdharau sasa hapo ndo nahisi uvumilivu unaisha.
Ofcourse nishaangalia nae sana mpira na pale samaki samaki ya mlimani city tushakaa sana hadi nikajihisi sasa mie nakuwa mama au mschana, mziki sio sana anenda once in a while anapenda kwenda kutembea kwa ndugu zake na kuongea while me sometimes I get bored kwenda kwa watu..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom