Why are you still Single?

Why are you still Single?

Sitaki SHARO kama wewe.....swaga zangu sio za kisharo ni za kishamba shamba teh teh, mambo ya ooohh mamaaa, umebug meeeen nani anayataka

Yameshakuwa hayo? Au nikuitie Buji Buji... Hapa hakuna usharo baro ni Michakato kwenda mbele.. We mwaga vigezo watu waanze mashambulizi he he he
 
Hakuna kitu kisicho na tafiti na data hizi ni nazo hata ukitaka ntakupatia njoo hapa ustawi

Bado nabaki kusema mapenzi hayana laws or principles....hao watafiti unaosema ndio wanaosema tumetumia watu 100 walio ktk mahusiano, kitu ambacho sio kweli kwani hapo unaongelea nafsi 100 zenye utashi tofauti wa maamuzi na utendaji....Kamwe usipime mapenzi kwa kipimo hiki, ndoa maana vijana wengi wanaogopa kuoa na kuolewa kutokana na tafiti hizi zisizokuwa na uhalisia wa mapenzi.
 
Mbona nipo hapa, si umwage vigezo tu nijipime..

ACHA MAMBO ZAKO KABISAAA! Nilishashona nguo hapa tayari kwa harusi! Bado nakufatilia kwa ukaribu sana! Japo white hukutokea
 
wanaume wa siku hz si waaminifu ht kidogo,thats y bado niponipo kwanza.
 
Niko Single kwasababu IM TOO PRECIOUS TO BELONG TO ONE MAN ONLY! ITS JUST NOT FAIR TO THE REST!

I only belong to 1 man at a time but not for Eternity! Im always keeping my options open and my stakes high!
 
Wanawake wengi sasa ni vicheche na wanapenda sana kuchezewa hovyo kama mbuzi ndo mana wanaume tunaogopa kuingia kwenye ndoa

Na wanaume nao wanapenda kuchezea wenzao kama mbuzi ndio maana wanawake wanaogopa kuingia kwenye ndoa.
 
ACHA MAMBO ZAKO KABISAAA! Nilishashona nguo hapa tayari kwa harusi! Bado nakufatilia kwa ukaribu sana! Japo white hukutokea

Ha ha ha mbona unarusha ndege wangu,,, white nilikuwa shamba mbaya si unajua kazi zetu hazitabiriki,,, ila now nipo town kama vipi jioni tusomane kwenye Friends on Friday pande za princess hall,, nitakuwa pande hizo leo nakula lecture la maisha
 
Niko Single kwasababu IM TOO PRECIOUS TO BELONG TO ONE MAN ONLY! ITS JUST NOT FAIR TO THE REST!

I only belong to 1 man at a time but not for Eternity! Im always keeping my options open and my stakes high!

If you belong to one man at a time you are not single.

You are just a serial dater.
 
Ha ha ha mbona unarusha ndege wangu,,, white nilikuwa shamba mbaya si unajua kazi zetu hazitabiriki,,, ila now nipo town kama vipi jioni tusomane kwenye Friends on Friday pande za princess hall,, nitakuwa pande hizo leo nakula lecture la maisha

Hahahaaaaaaa! Event nani wameandaa? Inahusu nini? Mbona ya kiuchoyo uchoyo? Uchakavu bei gani?
 
Me nipo singo kwa sababu ni njia ya kuelekea kwenye ndoa.....
 
Hahahaaaaaaa! Event nani wameandaa? Inahusu nini? Mbona ya kiuchoyo uchoyo? Uchakavu bei gani?

Wewe yaani mtoto wa mjini hujui hiyo kitu,, hebu google haraka sana,, kumbe ndo maana hutoki haraka,, uchakavu ni 20 tu, lakini ni bonge ya proffessional network,,,, mtafute Smile akupe maelezo vizuri maana yeye ni member mzuri wa hiyo kitu...

Hii kitu maarufu sana mjini as friends on friday get exposed,, inaunganisha proffessional network,, ukija mara 2 tu huku unamuacha mchaga wako maana huchelewi kukutana na levo za kina twissa ukabadili mawazo
 
So many people are single now days. Some say that they are single because they are either heart broken or cannot find a suitable husband or wife. Now back to you single ladies and gentlemen. Why are you still single??

I believe God is very busy writing the best love story for me! that's why I'm still single.
 
Back
Top Bottom