Tamatheo
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,298
- 1,562
Wanaume wengi si waminifu, I am better this way!
Ulio wapata au umehadithiwa?
Wanaume wengi si waminifu, I am better this way!
Wanawake wengi sasa ni vicheche na wanapenda sana kuchezewa hovyo kama mbuzi ndo mana wanaume tunaogopa kuingia kwenye ndoa
Because love is not fair
Wanawake wengi sasa ni vicheche na wanapenda sana kuchezewa hovyo kama mbuzi ndo mana wanaume tunaogopa kuingia kwenye ndoa
njoo kwangu mimi mwaminifuwanaume wengi si waminifu, i am better this way!
So many people are single now days. Some say that they are single because they are either heart broken or cannot find a suitable husband or wife. Now back to you single ladies and gentlemen. Why are you still single??
Ulio wapata au umehadithiwa?
So many people are single now days. Some say that they are single because they are either heart broken or cannot find a suitable husband or wife. Now back to you single ladies and gentlemen. Why are you still single??
Sijampata mwenye vigezo, wengi wao ni waongo na ma-opportunist, Siku nikimpata wa ukweli natangaza ndoa
Matokeo ya tafiti mbalimbali
Mbona nipo hapa, si umwage vigezo tu nijipime..
Ndugu yangu mpendwa hakuna utafiti wa mapenzi unaoapply katika maisha ya mapenzi. Kila mtu na mtuwe wanaanza maisha yao tofauti na ya mwingine yeyote aliyepo au aliyepita hapa duniani. Tambua mahusiano uliyo nayo ni tofauti na mengine yeyote. Ndio maana hupaswi kueleza matatizo yz mahusiano ila unapaswa kuomba ushauri tena kwa watu waliopitia hayo maisha.