Why are you still Single?

Why are you still Single?

Wewe yaani mtoto wa mjini hujui hiyo kitu,, hebu google haraka sana,, kumbe ndo maana hutoki haraka,, uchakavu ni 20 tu, lakini ni bonge ya proffessional network,,,, mtafute Smile akupe maelezo vizuri maana yeye ni member mzuri wa hiyo kitu...

Hii kitu maarufu sana mjini as friends on friday get exposed,, inaunganisha proffessional network,, ukija mara 2 tu huku unamuacha mchaga wako maana huchelewi kukutana na levo za kina twissa ukabadili mawazo

Siji bana! Nitaboreka nishaona! Watu tuna mishahara ya laki moja, unakutana na watu whining they are under paid kwa kulipwa 10m/month!!!!! I usually feel like vomiting.

Mi nilijua ya ki JF!

Hayo nakuachieni nyie Professionals, wengine tushakuwa wasaka pesa, ethics 0, professionalism F!

Wish u all the fun!
 
Niko Single kwasababu IM TOO PRECIOUS TO BELONG TO ONE MAN ONLY! ITS JUST NOT FAIR TO THE REST!

I only belong to 1 man at a time but not for Eternity! Im always keeping my options open and my stakes high!
I love this comment.....




And I lavu yu!!
 
So many people are single now days. Some say that they are single because they are either heart broken or cannot find a suitable husband or wife. Now back to you single ladies and gentlemen. Why are you still single??

because we are either heart broken or cannot find a suitable husband or wife
 
Siji bana! Nitaboreka nishaona! Watu tuna mishahara ya laki moja, unakutana na watu whining they are under paid kwa kulipwa 10m/month!!!!! I usually feel like vomiting.

Mi nilijua ya ki JF!

Hayo nakuachieni nyie Professionals, wengine tushakuwa wasaka pesa, ethics 0, professionalism F!

Wish u all the fun!

Usiogope sana wewe, wa kuunga unga wengi tu sema ubishi tu,,, kuna jamaa wanatoa lecture za life tamu kweli na proffessionals wana share their experience yaan wanaleta faraja sana kujua mambo yanakwendaje..

Na hata michongo ndo ilipo huku,,,,, siku moja moja pita uchungulie ukiona mizinguo usirudi although ukija hautaacha kuja,,

na leo masanja mkandamizaji nae yupo kuchangamsha wadau wakipoozewa
 
So many people are single now days. Some say that they are single because they are either heart broken or cannot find a suitable husband or wife. Now back to you single ladies and gentlemen. Why are you still single??

Coz ninaye mpenda hanipendi na nisiyempenda ndio ananipenda.
 
Mimi bado sijawa single, bado niko half, bado natafuta wa kuwa single naye. Maana Biblia inasema, mke na mme wakiunganishwa huwa wanakuwa mwili mmoja(single).
 
So many people are single now days. Some say that they are single because they are either heart broken or cannot find a suitable husband or wife. Now back to you single ladies and gentlemen. Why are you still single??

Blue is the question.
Red is the answer.
 
niko single kwasababu im too precious to belong to one man only! Its just not fair to the rest!

I only belong to 1 man at a time but not for eternity! Im always keeping my options open and my stakes high!

o.m.g................
 
Ha ha ha mbona unarusha ndege wangu,,, white nilikuwa shamba mbaya si unajua kazi zetu hazitabiriki,,, ila now nipo town kama vipi jioni tusomane kwenye Friends on Friday pande za princess hall,, nitakuwa pande hizo leo nakula lecture la maisha

Karibu sana aisee.
Nipo maeneo haya tayari,nashushia njaa kabla ya kuingia huko.
 
Hahahaaaaaaa! Event nani wameandaa? Inahusu nini? Mbona ya kiuchoyo uchoyo? Uchakavu bei gani?

Uchakavu ni 20,000 tu.
We njoo,hautajutia,muulize Smile kwanini hua hakosi.
Mda hautoshi kuelezea A-Z
 
Last edited by a moderator:
Siji bana! Nitaboreka nishaona! Watu tuna mishahara ya laki moja, unakutana na watu whining they are under paid kwa kulipwa 10m/month!!!!! I usually feel like vomiting.

Mi nilijua ya ki JF!

Hayo nakuachieni nyie Professionals, wengine tushakuwa wasaka pesa, ethics 0, professionalism F!

Wish u all the fun!

Hakyanani duh
 
Na ndio maana watu hawakomi.Wanaumizana na wanarudia tena kwenye mapenzi.Asikuambie mtu bana upweke ni mbaya,hawa wote wanajidai single humu wanadanganya.no one wants to remain single they r still searching....

Nope...aint searching.fedup
 
i'm single because Love is not fair. Unaempenda hakupendi na anaekupenda humpendi.
 
mi nipo singo sio kwa kuwa sina mpenzi bali kwa kuwa sijapata mpenzi nimtakaye.
 
Back
Top Bottom