Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Huyu mtu ni nani katika nchi hii?
Nilimnukuu kwenye clip moja ya ITV jana akisema hata kama kuna utata kwenye matokeo utakaosababisha mawakala wa vyama kugoma kusaini form za kukubali matokea, "hiyo haitabadili matokeo ya kituo husika".
Huu ni ubabe, kiburi, kulewa madaraka au ni kitu gani?
Mbona kila mtu ni Amiri Jeshi nchi hii?
Nilimnukuu kwenye clip moja ya ITV jana akisema hata kama kuna utata kwenye matokeo utakaosababisha mawakala wa vyama kugoma kusaini form za kukubali matokea, "hiyo haitabadili matokeo ya kituo husika".
Huu ni ubabe, kiburi, kulewa madaraka au ni kitu gani?
Mbona kila mtu ni Amiri Jeshi nchi hii?