Who really killed Prof. Mwaikusa?

Who really killed Prof. Mwaikusa?

Mohamed Ngwasu

Umenikumbusha huyu Fr. Fidelis miaka ile ya 2001 alimwandikia barua chafu mno Br. Edmund wakati huo akiwa ameshikilia umakumu wa pili katika shirika hili. Barua hiyo ilimchukiza edmund akaamua kuwasambazia watawa wote na kisha akaachia nafasi zote za uongozi alizokuwa amashika. Tendo hilo lilimuumiza sana abate lambert hata akaiacha nafasi hiyo wazi kwa mwaka mzima bila kumteua mwingine. baadaye nafasi hiyo ilishikwa na Aidan.

Huyu padiri fidelis mligo lifanya safari moja ugaibuni, huko tulikutana na katika kushiriki mvinyo, bila shida akajigamba alivyomfanyia buruda edmund kitu kibaya kwa kuandika barua ile chafu. Siwezi kushangaa kuwa hadi leo anazidi kumwandama. Nafikiri mwenendo safi na maaddili ya edmund pamoja na uwezo wake ndivyo vinavyomtia wivu na chuku binafsi. Hakika uhahi wa edmund unaweza kuwa mashakani, sembuze maisha yake kama mtawa.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Ngwasu

Asante mkuu, leo nimekutana na habari hiyo, kuwa ukiwa hutoki njombe hupewi madaraka, na ukipewa wanakupokonya kwa nguvu na kwa hila nyingi. Huyu fidelisi mligo ndiye aliyewanyang'anya madaraka, akakalia yeye viti hivyo, anamtandao wa wana njombe, ndiye rafiki wa jonson nchembe na ndiyo wapishi wa mauaji. Hata aidan na edmund wajiangalie asije akawamaliza kabisa, hana dini huyu kajificha madhabahuni, kumbe ni chatu, anayemeza watu kwa kuwavamia kwa ghafla na kuwameza. ametawanya hela nyingi badala ya kulipa umeme anatoa hongo kwa waandishi ili kupotosha ukweli.

huku songea mapolisi na wenye nafasi kama mahakimu ilifikia mahali fidelis mligo aliwaongezea payroll na wakawa wanalipwa na serekali kisha na huku peramiho wanalipwa, jamaa mashavu yametuna na huku pamefilisika, siyo pera ya zaani.
Kanisa limwangalie mtu huyu analichafua kanisa na shilika, anatuaibisha. Eti na yeye anasema 'Bwana awe nanyi' mmhh, tumeingiliwa.
Mungu utukumbuke wanao tunaokulili mchana na usiku, ondoa wevi ktk nyumba za ibaada.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed,
umenikumbusha huyu Fr. Fidelis miaka ile ya 2001 alimwandikia barua chafu mno Br. Edmund wakati huo akiwa ameshikilia umakumu wa pili katika shirika hili. Barua hiyo ilimchukiza edmund akaamua kuwasambazia watawa wote na kisha akaachia nafasi zote za uongozi alizokuwa amashika. Tendo hilo lilimuumiza sana abate lambert hata akaiacha nafasi hiyo wazi kwa mwaka mzima bila kumteua mwingine. baadaye nafasi hiyo ilishikwa na Aidan.
Huyu padiri fidelis mligo lifanya safari moja ugaibuni, huko tulikutana na katika kushiriki mvinyo, bila shida akajigamba alivyomfanyia buruda edmund kitu kibaya kwa kuandika barua ile chafu. Siwezi kushangaa kuwa hadi leo anazidi kumwandama. Nafikiri mwenendo safi na maaddili ya edmund pamoja na uwezo wake ndivyo vinavyomtia wivu na chuku binafsi. Hakika uhahi wa edmund unaweza kuwa mashakani, sembuze maisha yake kama mtawa.
Buluda fr fidelis mligo kwake kuua siyo kazi ili atimize matakwa yake. naombeni mhuwa na edmund wapewe habari hii, wajihami maana alianza na kuua prof, akataka kuua mhuwa nimeambiwa leo kuwa huyu alistukia akaondoka kurudi kwao kwa ajili ya usalama wake ndipo akaona kwa kuwa kaondoka wacha nimfunge ili nikawahonge askari magereza kama alivyokuwa anawahonga polisi kirahisi wamuulie hukohuko, matokeo yake Mungu kamtoa ndani yupo nje. zimetimia arobaini zako fidelis mligo, acha kulichafua kanisa, vinginevyo sijui Mungu na akuamulie kwa maovu unayotenda.
Mkuu gazeti la jana raia mwema limefika muda huu, wacha kwanza tuliinamie nitarudi baadaye.
 
Wacha lichunguzwe hili tujue mbivu na mbichi. Kwenye uchunguzi unatakiwa kila lead unayopata unaifuatilia hadi uone haina mweleo tena.
 
Sasa watu wanafunguka, tutayasikia mengi, shukrani kwa Raia Mwema. Siku zote damu ya mtu haiendi hivi hivi, lazima wauaji wa Prof Mwaikusa wataibuliwa.

Mleta hoja alikuwa na lengo la kupotosha, alipotosha hata habari yenyewe, lakini welevu wameliona na sasa yanafichuliwa yaliyofichika huko shirikani.

Buluda fr fidelis mligo kwake kuua siyo kazi ili atimize matakwa yake. naombeni mhuwa na edmund wapewe habari hii, wajihami maana alianza na kuua prof, akataka kuua mhuwa nimeambiwa leo kuwa huyu alistukia akaondoka kurudi kwao kwa ajili ya usalama wake ndipo akaona kwa kuwa kaondoka wacha nimfunge ili nikawahonge askari magereza kama alivyokuwa anawahonga polisi kirahisi wamuulie hukohuko, matokeo yake Mungu kamtoa ndani yupo nje. zimetimia arobaini zako fidelis mligo, acha kulichafua kanisa, vinginevyo sijui Mungu na akuamulie kwa maovu unayotenda.
Mkuu gazeti la jana raia mwema limefika muda huu, wacha kwanza tuliinamie nitarudi baadaye.
 
Moma2k na Candid Scope,

wote mabandiko yenu yanatokea humu ndani abasia ya Peramiho. hebu toeni kitu kuhusu koti hiyo hapo juu. au mmeguswa palipo uvungu ya paja. Kama hoja hii ipo mbali na mauaji ya Prof tujibuni.
Nasubiri kusoma gazeti la jana. Nakala ipo njiani kuja Peramiho. Hebu tuone mambo yakoje.
kama hamuhusiki na kifo cha mwaikusa, basi toeni namba za simu za hao waliofanya kazi naye kuiwezesha jamii inayokerwa kuwahoji.

Moma2k na Candid Scope,

Kwa nini tangu niposti mistari hii mmepotea moja kwa moja. Nilijua tu ni mbinu za kupoteza malengo na ufanisi wa kuwapata wauaji wa Prof. Mwaikusa. Nimesoma gazeti la jana, sasa namcheki prior wangu Fidelis humu humu ndani nione reaction zake. Kama hawa jamaa hawajitokezi hadi kesho, nitaipigia polisi cmu ije kuwa kamata. Kazi kwisha.
 
Simfahamu huyo umsemaye, kuhusu tabia ya mtu mmoja mmoja, sina la kusema. Tatizo langu ni kuchukua tatizo la mtu mmoja na kulibebesha watu au Taasisi. Haiwezekani. Watawa wa Benedictines OSB ni wazuri na wana mchango mkubwa kwa maendeleo ya Taifa. Buruda mmoja anaweza fukuzwa na shirika likabaki. Kuna matukio mapadre wamefukuzwa. Nisichokubaliana nacho ni jaribio la kutaka kuliingiza shirika la watawa katika kasfa wakati hakuna ushahidi isipokuwa hisia tu.
binafsi sina shida na abate lambert wala na watawa waadilifu, isipokuwa kuna wahuni kiongozi wao buluda fidelis mligo. leo nimepita hadi hospitali alimladi kuzungukia maeneo, nikarudi abasia kunusa upepo, mmhh 'umafia wa fidelis' ndiyo gumzo. amekosa utulivu anafokeana bila sababu ya msingi, kitu kilichofanya watu waulizane nini kimempata, na baba mmoja akawafungulia kipande cha gazeti la wk jana. wakafunguka mwaaa. ni kama hadithi. kesho tunapata magazeti ya leo huku songea, wa mjini hamjaweka humu jameni na sisi wa mbali tukasoma mapema. huku bado ni kijijini ingawa mjini.
 
Moma2k na Candid Scope,

Kwa nini tangu niposti mistari hii mmepotea moja kwa moja. Nilijua tu ni mbinu za kupoteza malengo na ufanisi wa kuwapata wauaji wa Prof. Mwaikusa. Nimesoma gazeti la jana, sasa namcheki prior wangu Fidelis humu humu ndani nione reaction zake. Kama hawa jamaa hawajitokezi hadi kesho, nitaipigia polisi cmu ije kuwa kamata. Kazi kwisha.

Sishindi kwenye keyboard kuandika yatokeayo JF na duniani, nina shughuli zangu binafsi na ajira zinazonipa uhai. Upenyo na wakati nafasi inapopatikana naweza kujitokeza kwenye jamvi hili kuchangiana mawazo. Mapenzi yangu kwa JF si jukwaa moja au mada moja, niko mrefu na kina kirefu, siwezi kubaki kisiwa kwa kitu kimoja vinginevyo nitakuwa na ajenda maalumu na mtu mwenye upeo finyuwengine kama wengine jasho jasho linavyowatoka hapa wakati mie ni hoby tu muda niwapo huru katika kazi na familia.

Mada yangu ni mauaji yanayohusisha kupangwa na Abatia Peramiho, ninachosisitiza ni uthibitisho, haya maneno oh kuna wabena au wa Njombe sijui kupendeleana, or mara nini ni blabla ambazo hazisaidii kitu kisheria, hapa tuhuma ni nzito, vielelezo na documents for evedence ambavyo vinathibitisha vyombo vya habari kuchukua hatu ndicho kinachotakiwa, vinginevyo ni malalamiko ya wenye matatizo binafsi.

Mahali po pote kwenye kukutana wengi hutakosa kasoro za kufikirika kidini, kikabila, kiuchumi, kiupendeleo nk. Haya siyaoni kama mambo ya ajabu na kabisa kwa wale ambao maisha yanaelekea kuwashinda kuwa magumu kwao katika community dalili ndio hizo. Iwe katika siasa, vyuo, madomitolini, maofisini, makanisani, misikitini, ni jambo la kawaida kwa vile binadamu hatufanani, kila mmoja ameumbwa kwa namna yake na kadiri ya Makusudio ya Muumba wetu. Sawa na ukiona watu wa ndoa wanaonyesha kutulia usijefikiria mambo ni swafi, ila tu wamejenga dhana ya kuvumiliana, hilo ni katika aina ye yote ya maisha fadhila ya uvumilivu ndio siri ya upendano na ushirikiano, la sivyo ni vurugu tupu tangu asubuhi mpaka jioni.
Kuishi kwingi ni kuona mengi.
 
Simfahamu huyo umsemaye, kuhusu tabia ya mtu mmoja mmoja, sina la kusema. Tatizo langu ni kuchukua tatizo la mtu mmoja na kulibebesha watu au Taasisi. Haiwezekani. Watawa wa Benedictines OSB ni wazuri na wana mchango mkubwa kwa maendeleo ya Taifa. Buruda mmoja anaweza fukuzwa na shirika likabaki. Kuna matukio mapadre wamefukuzwa. Nisichokubaliana nacho ni jaribio la kutaka kuliingiza shirika la watawa katika kasfa wakati hakuna ushahidi isipokuwa hisia tu.

Hiyo ndiyo hoja iliyonisukuma kuleta mada hii. Kama uthibitisho ungewekwa wazi vyombo vya dola vingeshachukua hatua, lakini kinachoonekana ni hisia, na hili limeonekana wazi na uongozi wa Abatia kutolea ufafanuzi kwamba mmoja ambaye amefukuzwa na kabisa kuja kuona hana nafasi tena katika mradi ule kwa vile Abasia ilishajitoa, hapo ndipo mwenye moyo mchache anapoamua kugeuka mbwa mwitu kushika shoka kukata tawi lililomlsaidia mafanikio yake.

Jambo moja ninaloweza kulisoma inaelekea hawa wawili waliokuwa na sahihi zao ndio wenye kuliendesha suala hilo, na ni hao hao tunaoshindana nao kwa hoja hapa.
 
Hiyo ndiyo hoja iliyonisukuma kuleta mada hii. Kama uthibitisho ungewekwa wazi vyombo vya dola vingeshachukua hatua, lakini kinachoonekana ni hisia, na hili limeonekana wazi na uongozi wa Abatia kutolea ufafanuzi kwamba mmoja ambaye amefukuzwa na kabisa kuja kuona hana nafasi tena katika mradi ule kwa vile Abasia ilishajitoa, hapo ndipo mwenye moyo mchache anapoamua kugeuka mbwa mwitu kushika shoka kukata tawi lililomlsaidia mafanikio yake.
Jambo moja ninaloweza kulisoma inaelekea hawa wawili waliokuwa na sahihi zao ndio wenye kuliendesha suala hilo, na ni hao hao tunaoshindana nao kwa hoja hapa.

Buluda Fidelis Mulugo, endapo hujaridhika kuwa ndani yenu kuna wanaohusika, kwa nini ulipopigiwa simu kama raia mwema walivyoandika ukasema hujui chochote, nendeni brela. kesho yake baada ya gazeti kutoka ukaita waandishi na kueleza mengi huhu ukiwatukanisha wanahisa waliowekwa na shilika, hadi mapovu kukutoka. wewe unayeandika hapa hela uliyolipwa itakutokea puani maana shutuma hii haina sabuni ya kujiosha sana sana apeleke mahakamani, na ikienda huko ndo itajulikana bayana unyama wa fidelis muligo ambao hata watawa wenzie hawajui anachofanya.

Ni kweli shilika halijihusishi na unyama huo, bali fidelis anahusika, samaki 1 akioza, wote wanaoza. kwa hiyo usimtetee fidlis mligo kwa kuwakandamiza muhua na edmund wasio na hatia ambao pere inajua wazi kuwa hata wao amejitahidi kuwaua ndio kisa cha muhua kukimbilia kwao kupumzika fidelis alipokuwa akishirikiana na mapolisi Kamuhanda akiwa ndiye mratibu mkuu wa kufanikisha mauaji, na hela nyingi kala. tumbo la kamhanda limejengwa kwa hela ya Pera.

Endapo wanaona hakuna vielelezo vya kutosha, si walimwagiza mwanasheria wao waombwe samahani vinginevyo wanachukua sheria, matokewo yake wenzao hawajawaomba na wakazidi kubandika mabango mengine. washauri waende tu mahakamani, na huko shilika litasafishika na tajiri yako fidelis atabaki kushikiliwa na vyombo vya sheria. ni njia peekee muhimu ya kanisa kulisafisha.

Hata sisi hatujisikii vizuri kanisa kushutumiwa, lakini ukweli wacha uonekane, na siye tumejua ukweli kwa gazeti kuanika haya, maana wana pera wanashangiliana hata kusubili kuona hatima yake. Sijui raia mwema wamemaliza kuleta mabandiko yao kuhusu habari hii au wamemaliza.
 
Hiyo ndiyo hoja iliyonisukuma kuleta mada hii. Kama uthibitisho ungewekwa wazi vyombo vya dola vingeshachukua hatua, lakini kinachoonekana ni hisia, na hili limeonekana wazi na uongozi wa Abatia kutolea ufafanuzi kwamba mmoja ambaye amefukuzwa na kabisa kuja kuona hana nafasi tena katika mradi ule kwa vile Abasia ilishajitoa, hapo ndipo mwenye moyo mchache anapoamua kugeuka mbwa mwitu kushika shoka kukata tawi lililomlsaidia mafanikio yake.

Jambo moja ninaloweza kulisoma inaelekea hawa wawili waliokuwa na sahihi zao ndio wenye kuliendesha suala hilo, na ni hao hao tunaoshindana nao kwa hoja hapa.

Nakubaliana nawe kuwa hizo ni hisia na tuhuma. Kawaida vyombo vya dola kunapo kuwepo tuhuma nzito kama hii ya mauaji, huwashikilia watuhumiwa au huwahoji kwa kina. Vyombo hivyo havija fanya hivyo. Hilo halinishangazi, kama kweli Fr. Fidelis alitoa milioni 30 kumfunga Br. Aidan, halafu halipo la kushangaza Fr. Fidelis kutumia pesa ili kufifisha tuhuma hizi.

Uongozi wa abasia umetolea ufafanuzi kwa waandishi kukanusha ilichoandikwa katika gazeti husika. Pamoja na hilo, katika formu hii jina la Fr. Fidelis natajwa lukuki kuwa ndiye mhusika. Ni huyuhuyu analiambia gazeti kuwa habari hiyo imeandikwa kwa lengo la kulipiza kisasi, zaidi ya hayo ndiye makamu wa kwanza wa kiongozi wa watawa wa Peramiho, na ndiye aliyehusika kama kinara wa mkakati wa kujiondoa katika umiliki wa mgodi wa Lukarasi. Haitakuwa vema kumwamini kirahisi kiasi hiki kuwa anachosema au kuandika kina mashiko ya kutosha.

Tunalo jeshi la polisi na usalama wa taifa, vipi washindwe kupeleleza tuhuma hizi jamani. Nimewashauri waanze sasa kwa kupitia gazeti la Raia Mwema, kwani aliyepeleka habari hiyo kwa hakika anaoushahidi uliomfanya mhariri wa gazeti kuchapisha habari hizi.

Nionavyo mimi hatua hizi zingechukulia, yaani vyombo husika kuwahoji au kuwakamata wafuatao:

Kundi la kwanza ni wale wanaotajwa kuwa na sahihi zao zilizoonekana kwa marehemu Mwaikusa yaani Aidan na Edmund, pamoja na Lambert. Hawa ndio waliokuwa na marehemu katika kuendesha kampuni na ndio waliojua Mwaikusa anazo document nyeti. Upo mpaka hapo!

Kundi la pili ni Fr. Fidelis anayetajwa sana kwa maovu, na ni kiongozi wa sasa wa Abasia. Haya yoote yametokea ndani ya uongozi wake. Gaziti linasema mipango ilifanyika ndani ya abasia, hivyo atakuwa na la kusema na kushuhudia.

Kundi la tatu ni KATIBU wa UMICO aliyewandikia wakurugenzi wa zamani yaani marehemu Mwaikusa, Edmund na Aidan barua ya kuwaachisha ukurugenzi. Huyu katibu ndiye anayefahamu wakurugenzi wapya wa UMICO ni nani. Kama kweli mauanji hayo yanahusishwa na mgadi huo wa Lukarasi, basi upo uwezekano mkubwa wa wakurugenzi hao kuyatekeleza ili kulinda walichoamua kukifanya katika uongozi wao. Katibu atasema imekuwaje huyo marehemu Mwaikusa kuendelea kuhifadhi document za UMICO wakati alishangolewa katika wadhifa huo.

Kundi la nne ni huyo rafiki anayetajwa na familia ya Mwaikusa. Huyo bwana huenda alijua mengi kuhusiana na Mwakukusa na mgodi huo wa dhahabu.

 
Kama umeweza kufuatilia vizuri majadiliano haya, unaweza kugundua kitu ambacho si kwamba kuna hayo mauaji yaliyopangwa ila ni kitu kilichozushwa na kuendelezwa na baadhi yao ambao yamewakuta kwa sababu ya kutufuata katiba, sheria, kanuni na taratibu nyingine na kuishia huko kushtakiwa na kuonja jela. Huko wanakurupuka kama simba aliyejeruhiwa. Huyo kwa vyo vyote ana kundi lake na hao tunao hapa kwanye mada hii.

Wengi wetu tumeonja maisha ya jumuiya mashuleni, jeshini, makazini, maisha hayo hayana tofauti na maisha ya kawaida, tena pengine huweza kuwa mbaya zaidi. Na kabisa mtu akichoka na maisha tusishangae kauli za utata na kuona shirika ni baya na wakubwa wake, au kuona fulani ni tatizo kwake, kumbe tatizo ni yeye mwenyewe aliyetengeneza mazingira yanayomtatiza.

Tafadhali soma tena bandiko langu hili nililoandika jana na litafakari vizuri kisha nipe majibu una mtazamo gani pamoja na bandiko hili la sasa.
Sishindi kwenye keyboard kuandika yatokeayo JF na duniani, nina shughuli zangu binafsi na ajira zinazonipa uhai. Upenyo na wakati nafasi inapopatikana naweza kujitokeza kwenye jamvi hili kuchangiana mawazo. Mapenzi yangu kwa JF si jukwaa moja au mada moja, niko mrefu na kina kirefu, siwezi kubaki kisiwa kwa kitu kimoja vinginevyo nitakuwa na ajenda maalumu na mtu mwenye upeo finyuwengine kama wengine jasho jasho linavyowatoka hapa wakati mie ni hoby tu muda niwapo huru katika kazi na familia.

Mada yangu ni mauaji yanayohusisha kupangwa na Abatia Peramiho, ninachosisitiza ni uthibitisho, haya maneno oh kuna wabena au wa Njombe sijui kupendeleana, or mara nini ni blabla ambazo hazisaidii kitu kisheria, hapa tuhuma ni nzito, vielelezo na documents for evedence ambavyo vinathibitisha vyombo vya habari kuchukua hatu ndicho kinachotakiwa, vinginevyo ni malalamiko ya wenye matatizo binafsi.

Mahali po pote kwenye kukutana wengi hutakosa kasoro za kufikirika kidini, kikabila, kiuchumi, kiupendeleo nk. Haya siyaoni kama mambo ya ajabu na kabisa kwa wale ambao maisha yanaelekea kuwashinda kuwa magumu kwao katika community dalili ndio hizo. Iwe katika siasa, vyuo, madomitolini, maofisini, makanisani, misikitini, ni jambo la kawaida kwa vile binadamu hatufanani, kila mmoja ameumbwa kwa namna yake na kadiri ya Makusudio ya Muumba wetu. Sawa na ukiona watu wa ndoa wanaonyesha kutulia usijefikiria mambo ni swafi, ila tu wamejenga dhana ya kuvumiliana, hilo ni katika aina ye yote ya maisha fadhila ya uvumilivu ndio siri ya upendano na ushirikiano, la sivyo ni vurugu tupu tangu asubuhi mpaka jioni.
Kuishi kwingi ni kuona mengi.
 
Kama umeweza kufuatilia vizuri majadiliano haya, unaweza kugundua kitu ambacho si kwamba kuna hayo mauaji yaliyopangwa ila ni kitu kilichozushwa na kuendelezwa na baadhi yao ambao yamewakuta kwa sababu ya kutufuata katiba, sheria, kanuni na taratibu nyingine na kuishia huko kushtakiwa na kuonja jela. Huko wanakurupuka kama simba aliyejeruhiwa. Huyo kwa vyo vyote ana kundi lake na hao tunao hapa kwanye mada hii.

Wengi wetu tumeonja maisha ya jumuiya mashuleni, jeshini, makazini, maisha hayo hayana tofauti na maisha ya kawaida, tena pengine huweza kuwa mbaya zaidi. Na kabisa mtu akichoka na maisha tusishangae kauli za utata na kuona shirika ni baya na wakubwa wake, au kuona fulani ni tatizo kwake, kumbe tatizo ni yeye mwenyewe aliyetengeneza mazingira yanayomtatiza.

Tafadhali soma tena bandiko langu hili nililoandika jana na litafakari vizuri kisha nipe majibu una mtazamo gani pamoja na bandiko hili la sasa.

Wewe endelea kulipwa, na endelea kuweka mabandiko yako. sisi umetusaidia kwenda kunakousika na tumeujuwa ukweli. Buluda ndiye muhusika wa kwanza, ijapokuwa wengine kaishia kuwatesa na wengine kawauwa kama Prof. mwanzoni ulisema raia mwema wamekulupuka, sasa unasema eti wengine wamefungwa kwa kutokutii sheria. Hakuna siku mliyotuuzi wana Songea hasa pelamiho pale mlipogeuka na kuwa chinja chinja. nimefika pera kumbe hata vijana wanaokuja kujiunga wamepungua sana na hao wachache wakifika wanakimbia kwa uovu wenu.

Fidelis Mligo utamaliza hela za shilika kuhonga na bado Mungu atashinda na wewe na shetani baba yako mutashindwa tu, hata ukiua vipi, au ukitambika vipi, maana tumepewa habali zako kuwa na matambiko unafanya humo humo ndani ya kituo cha emau. tangu umekabiziwa kuendesha kituo hiko ni semina au mafungo mangapi umefanya. badala ya watu waje kumtafuta Yesu wewe huko umempa shetani kiti akalie. ona aibu kuchafua nyumba ya Bwana.

Baada ya kushindwa kumuua buluda Aidani ukaamua kufungua kesi eti kaiba huku mahela ya shilika umempa kamhanda and co. wakusaidie kutunga mashitaka, na hakimu naye kalamba mil 30. Hakimu hela hii itua kazi zako zote kuanzia kwako hadi kizazi chako, ni laana kwa damu isiyo na hatia. yuda alijinyonga na wewe balaka zako zitanyongwa kwa laana.

Umeiacha nyumba nyeupe haina tena hela, ukabila umejaa kwenu na wafanyakazi wanakulaani wewe buluda fidelis. kwa nini wakulaani wewe na siyo wengine. nimeambiwa una mtandao wako wa watu wa Njombe akiwemo buluda mukasa.

Nimefurahi juzi nikiwa bado Pelamiho gazeti la raia mwema tumekuja kuuziwa hapo hapo ndani ili hata wafanyakazi wapate kilichomo.
 
Sishindi kwenye keyboard kuandika yatokeayo JF na duniani, nina shughuli zangu binafsi na ajira zinazonipa uhai. Upenyo na wakati nafasi inapopatikana naweza kujitokeza kwenye jamvi hili kuchangiana mawazo. Mapenzi yangu kwa JF si jukwaa moja au mada moja, niko mrefu na kina kirefu, siwezi kubaki kisiwa kwa kitu kimoja vinginevyo nitakuwa na ajenda maalumu na mtu mwenye upeo finyuwengine kama wengine jasho jasho linavyowatoka hapa wakati mie ni hoby tu muda niwapo huru katika kazi na familia.

Mada yangu ni mauaji yanayohusisha kupangwa na Abatia Peramiho, ninachosisitiza ni uthibitisho, haya maneno oh kuna wabena au wa Njombe sijui kupendeleana, or mara nini ni blabla ambazo hazisaidii kitu kisheria, hapa tuhuma ni nzito, vielelezo na documents for evedence ambavyo vinathibitisha vyombo vya habari kuchukua hatu ndicho kinachotakiwa, vinginevyo ni malalamiko ya wenye matatizo binafsi.

Mahali po pote kwenye kukutana wengi hutakosa kasoro za kufikirika kidini, kikabila, kiuchumi, kiupendeleo nk. Haya siyaoni kama mambo ya ajabu na kabisa kwa wale ambao maisha yanaelekea kuwashinda kuwa magumu kwao katika community dalili ndio hizo. Iwe katika siasa, vyuo, madomitolini, maofisini, makanisani, misikitini, ni jambo la kawaida kwa vile binadamu hatufanani, kila mmoja ameumbwa kwa namna yake na kadiri ya Makusudio ya Muumba wetu. Sawa na ukiona watu wa ndoa wanaonyesha kutulia usijefikiria mambo ni swafi, ila tu wamejenga dhana ya kuvumiliana, hilo ni katika aina ye yote ya maisha fadhila ya uvumilivu ndio siri ya upendano na ushirikiano, la sivyo ni vurugu tupu tangu asubuhi mpaka jioni.
Kuishi kwingi ni kuona mengi.

Pole kaka unajua kama kunguru habebeki yaani mimi nina mtu wa karibu sana anawajua hawa jamaa sasa tunapoongelea shirika ni kweli kama shirika haliwezi kuhusika isipokuwa viongozi na wajumbe kwa mfano kama rais na mawaziri pamoja na wabunge wakipanga mishen tutasema imepangwa na nani kama sio serikali. kwa hiyo kama Ni fidelis ambaye ni prior wa sasa na wajumbe wote wanaounda kamati kuu ya shirika akiwemo yule mkuu wa chuo cha ufundi pale kuna mtu anaitwa br alphonce mwingine meneja wa printing press, meneja wa Garage na viongozi wengine wote wako ktk troops moja in case wakapanga mchongo wowote tutasema nani kama sio shirika. hao wote sijui wanatumia nguvu ya giza maamnake jinsi walivyomshika abbate huwezi amini wamefanya hadi shirika liitwe wabena dictine fathers hakuna wanachokifanya pale ni ufisadi starehe na uzinzi tu hadi wanakamatwa ugoni.

Wamelivuruga sana shirika Edmund na Aidan walikuwa ndiyo nguzo ya shirika kwa mabruda wazalendo kwani ndiyo wasomi wataalam wa kwanza Edmund akiwa kama mtaalam wa umeme electronics na computer na Aidan mtaalamu wa ujenzi walichukiwa sana na fidelis na akaamua kutumia kila hila kwa kushirikiana na vijana wasanii wasanii kutoka pale songea mjiikumfunga aidan na edmund kumhamisha peramiho na kuacha idara ya umeme inasuasua baada ya kufanya hila za kumwondoa utawani aliyekuwa anasimamia idara hiyo bruda God. na sasa amempa majukumu ya umeme alphonce ambaye ni kihiyo kwisha kazi na si mtaalam wa chochote zaidi tu miaka 8 iliyopita alikuwa anajaribu kujifunza kuchonga vyuma napo hakufaulu.

Tunachoomba hawa wabena wasilichafue shirika hii bf ni kubwa sana na lina heshima kubwa sasa watu wachache wanafanya shirika linaingizwa kwenye kashfa ya mauaji sijapenda. Abbate timua hao watakufanya urudi ujerumani kwa mguu.
 
Mohamed Ngwasu

Muhamed umenichekesha, ijapokuwa umeongea ukweli. jina la shilika limeshapindishwa, hawa jamaa wa geleji ni buluda Anselmo, na Alphonce, chuoni ni mukasa ambaye sijamuona nina muda, nimeambiwa ameenda kusoma morogoro. Hii ni timu ya hatari, ambayo inatumiwa na buluda fr fidelis akisaidiwa na wahuni wa mjini kama Jonson Nchembe kuwaua na kuwatesa watawa. ukiwa juu kidogo wanakupiga nyundo.

Nimekutana na baadhi ya watawa bado wanamwombolezea buluda aidan kwa namna alivyoonewa, na kudhalilishwa kwingi, akawalipa wanahabari mbalimbali ili wamwandike vibaya. amefanya hivyo na kuwatishia wale wanaofulukuta kuwa wataishia hivyo hivyo. Edmundi wanasema alipelekwa uwemba ili kumkomoa, na bado maisha yake yapo hatarini.

kwa sasa seminarini kuna giza wamekatiwa umeme. kumbe alimuondoa mtaalam wa umeme na ona sasa nyumba ina shida ya umeme. mwaka huu tutasikia mengi tu.
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana nawe kuwa hizo ni hisia na tuhuma. Kawaida vyombo vya dola kunapo kuwepo tuhuma nzito kama hii ya mauaji, huwashikilia watuhumiwa au huwahoji kwa kina. Vyombo hivyo havija fanya hivyo. Hilo halinishangazi, kama kweli Fr. Fidelis alitoa milioni 30 kumfunga Br. Aidan, halafu halipo la kushangaza Fr. Fidelis kutumia pesa ili kufifisha tuhuma hizi.

Uongozi wa abasia umetolea ufafanuzi kwa waandishi kukanusha ilichoandikwa katika gazeti husika. Pamoja na hilo, katika formu hii jina la Fr. Fidelis natajwa lukuki kuwa ndiye mhusika. Ni huyuhuyu analiambia gazeti kuwa habari hiyo imeandikwa kwa lengo la kulipiza kisasi, zaidi ya hayo ndiye makamu wa kwanza wa kiongozi wa watawa wa Peramiho, na ndiye aliyehusika kama kinara wa mkakati wa kujiondoa katika umiliki wa mgodi wa Lukarasi. Haitakuwa vema kumwamini kirahisi kiasi hiki kuwa anachosema au kuandika kina mashiko ya kutosha.

Tunalo jeshi la polisi na usalama wa taifa, vipi washindwe kupeleleza tuhuma hizi jamani. Nimewashauri waanze sasa kwa kupitia gazeti la Raia Mwema, kwani aliyepeleka habari hiyo kwa hakika anaoushahidi uliomfanya mhariri wa gazeti kuchapisha habari hizi.

Nionavyo mimi hatua hizi zingechukulia, yaani vyombo husika kuwahoji au kuwakamata wafuatao:

Kundi la kwanza ni wale wanaotajwa kuwa na sahihi zao zilizoonekana kwa marehemu Mwaikusa yaani Aidan na Edmund, pamoja na Lambert. Hawa ndio waliokuwa na marehemu katika kuendesha kampuni na ndio waliojua Mwaikusa anazo document nyeti. Upo mpaka hapo!

Kundi la pili ni Fr. Fidelis anayetajwa sana kwa maovu, na ni kiongozi wa sasa wa Abasia. Haya yoote yametokea ndani ya uongozi wake. Gaziti linasema mipango ilifanyika ndani ya abasia, hivyo atakuwa na la kusema na kushuhudia.

Kundi la tatu ni KATIBU wa UMICO aliyewandikia wakurugenzi wa zamani yaani marehemu Mwaikusa, Edmund na Aidan barua ya kuwaachisha ukurugenzi. Huyu katibu ndiye anayefahamu wakurugenzi wapya wa UMICO ni nani. Kama kweli mauanji hayo yanahusishwa na mgadi huo wa Lukarasi, basi upo uwezekano mkubwa wa wakurugenzi hao kuyatekeleza ili kulinda walichoamua kukifanya katika uongozi wao. Katibu atasema imekuwaje huyo marehemu Mwaikusa kuendelea kuhifadhi document za UMICO wakati alishangolewa katika wadhifa huo.

Kundi la nne ni huyo rafiki anayetajwa na familia ya Mwaikusa. Huyo bwana huenda alijua mengi kuhusiana na Mwakukusa na mgodi huo wa dhahabu.

Edmund na aidan walikuwa njia moja na hayati na pia hawko njia moja na fidelis mligo kwa hiyo wao wanaweza kuwa mashahidi lkn nafikiri sasa kwa jinsi watu wanavyofunguka tunapaswa kuwatazama kwa makini hao watu ksb kuna mtu kaniambia kuwa wana mtandao mkubwa sna kuanzia serikalini polisi mahakama hadi magereza.
 
Edmund na aidan walikuwa njia moja na hayati na pia hawko njia moja na fidelis mligo kwa hiyo wao wanaweza kuwa mashahidi lkn nafikiri sasa kwa jinsi watu wanavyofunguka tunapaswa kuwatazama kwa makini hao watu ksb kuna mtu kaniambia kuwa wana mtandao mkubwa sna kuanzia serikalini polisi mahakama hadi magereza.

Mmmhh, kuna hatari kama serekali haitafuatilia hili, na mimi napata uoga. Fidelis anajivunia pesa ya shilika, huwezi kuamini, kumbe watu wanalijua hili ila hawana pa kusemea. mmojawapo aliniambia wakati tunajadili gazeti kuwa wangejua raia mwema wangekuja tuwaelezee jinsi pelamiho ilivyovamiwa. Mungu walinde watumishi wako aidani na edmund wawe salama. mlinde na buluda God na wengine wanaoonewa.
 
Muhamed umenichekesha, ijapokuwa umeongea ukweli. jina la shilika limeshapindishwa, hawa jamaa wa geleji ni buluda Anselmo, na Alphonce, chuoni ni mukasa ambaye sijamuona nina muda, nimeambiwa ameenda kusoma morogoro. Hii ni timu ya hatari, ambayo inatumiwa na buluda fr fidelis akisaidiwa na wahuni wa mjini kama Jonson Nchembe kuwaua na kuwatesa watawa. ukiwa juu kidogo wanakupiga nyundo.

Nimekutana na baadhi ya watawa bado wanamwombolezea buluda aidan kwa namna alivyoonewa, na kudhalilishwa kwingi, akawalipa wanahabari mbalimbali ili wamwandike vibaya. amefanya hivyo na kuwatishia wale wanaofulukuta kuwa wataishia hivyo hivyo. Edmundi wanasema alipelekwa uwemba ili kumkomoa, na bado maisha yake yapo hatarini.

Kwa sasa seminarini kuna giza wamekatiwa umeme. kumbe alimuondoa mtaalam wa umeme na ona sasa nyumba ina shida ya umeme. mwaka huu tutasikia mengi tu.
Yaani ulivyonipa tu hii ishu ya kukatiwa umeme seminarini ikabidi niphone kwenye chanzo changu cha habari kule songea aise ni kweli nasikia aliyetoa amri ya kukata umeme ni fidelis inaonekana ana bifu na Amigu. Yeye kasingizia kuwa wana madeni sasa lipi bora kuwaachia watumishi halali wa mungu umeme au kutoa hela kwa ajili ya umafia na ufuska. na yeye nasikia kuwa kasoma palepale!
 
pole kaka unajua kama kunguru habebeki yaani mimi nina mtu wa karibu sana anawajua hawa jamaa sasa tunapoongelea shirika ni kweli kama shirika haliwezi kuhusika isipokuwa viongozi na wajumbe kwa mfano kama rais na mawaziri pamoja na wabunge wakipanga mishen tutasema imepangwa na nani kama sio serikali. kwa hiyo kama Ni fidelis ambaye ni prior wa sasa na wajumbe wote wanaounda kamati kuu ya shirika akiwemo yule mkuu wa chuo cha ufundi pale kuna mtu anaitwa br alphonce mwingine meneja wa printing press, meneja wa Garage na viongozi wengine wote wako ktk troops moja in case wakapanga mchongo wowote tutasema nani kama sio shirika. hao wote sijui wanatumia nguvu ya giza maamnake jinsi walivyomshika abbate huwezi amini wamefanya hadi shirika liitwe wabena dictine fathers hakuna wanachokifanya pale ni ufisadi starehe na uzinzi tu hadi wanakamatwa ugoni. wamelivuruga sana shirika Edmund na Aidan walikuwa ndiyo nguzo ya shirika kwa mabruda wazalendo kwani ndiyo wasomi wataalam wa kwanza Edmund akiwa kama mtaalam wa umeme electronics na computer na aidan mtaalamu wa ujenzi walichukiwa sana na fidelis na akaamua kutumia kila hila kwa kushirikiana na vijana wasanii wasanii kutoka pale songea mjiikumfunga aidan na edmund kumhamisha peramiho na kuacha idara ya umeme inasuasua baada ya kufanya hila za kumwondoa utawani aliyekuwa anasimamia idara hiyo bruda God. na sasa amempa majukumu ya umeme alphonce ambaye ni kihiyo kwisha kazi na si mtaalam wa chochote zaidi tu miaka 8 iliyopita alikuwa anajaribu kujifunza kuchonga vyuma napo hakufauru. tunachoomba hawa wabena wasilichafue shirika hii bf ni kubwa sana na lina heshima kubwa sasa watu wachache wanafanya shirika linaingizwa kwenye kashfa ya mauaji sijapenda. abbate timua hao watakufanya urudi ujerumani kwa mguu.

Kuna dalili kwamba tunajadiliana hapa na wanashirika wa Abatia Peramiho, la sivyo ni ex-members, maana vioja vingi vinavyosimuliwa nani kaacha, nani kakabidhiwa jukumu gani, vinaashiria mambo yale yale niliyosema walikwisha choka na maisha dalili zinajionyesha.

Kwangu mimi nayaona malalamiko ya kumlalamikia Prior ni tatizo la Waafrika, wamezoea kuona cho chote ni wazungu maana yake kuwaabugu, lakini wazungu wakaona jamii inazidi kuwa na idadi kubwa ya wazalendo na hivyo bora mmoja kati ya viongozi wa juu awe mzalendo ili kujenga uwiano, lakini sasa yanakuya jale yale watu weusi, watitu, mambo zao basi tu.
 
Back
Top Bottom