William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,376
hata mimi nakubaliana nawe katika hili.. Salim muda wake uimeshapita hawezi tena mitulinga ya nchi hii hasa baada ya Kikwete. Utawala unaofuata sasa hivi lazima apatikane mtu kuyafanya yale aliyoshindwa Kikwete na sio kurudi nyuma tena kama vile nchi iko shwari.
Ahsante mkuu Bob, kwa kunielewa hoja yangu kwamba Salim ni kweli ana CV nzito sana, lakini kwa siasa za Tanzania, ni too much kwake kwa sasa hivi, kusema kwamba eti atakuja kumshinda Kikwete akiwa rais tayari wewe unajua better kuwa hilo halitakuja kutokea,
Mimi ninaheshimu uamuzi wake wa kujitoa kabisa na siasa za bongo, lakini bado Salim ni one of our best represantantives huko nje kama sio all the time.