Who is Said Salim Bakhresa (Azam)?

Sijui kama thread kama hii ilishawai anzishwa hapa j.f,

but i am curious to know who is s.s.bakhresa.

Najua ni nadra sana kwa nchi yoyote kuwa na mtu ambaye ni tycoon na such a biggest business man kama bakhresa

lakini hajawahi kuonekana hata sehemu moja kwenye shughuli za kijamii.

Sijawahi kumsikia akizungumza mahali, wala kuonekana picha yake mahali popote zaidi ya passport yake kwenye website yake na

picha moja kwenye mazishi ya mwanae Khalid.

Tofauti na ilivyo kwa wafanyabiashara wengine hata wale wa asili yake kama akina dewji, rostam, manji etc.

Na pia sifurahishwi na huyu jamaa kuwa producer wa kila kitu hapa tanzania, yaani mpaka chapati na nyanya,

je mamlaka zinazohusika hazina uwezo wa kuainisha hili??

Leo hii akitawala soko la chapati, nyanya, na mpaka nazi zote yeye, je hi sio hatari kwa kina mama wauza chapati?

Na wale wenye magenge ya nyanya na nazi si watafunga magenge yao??

Ni mtazamo tu wana j.f, kama una la kuongeza weka hadharani isije kuwa ni gaidi kama Osama bin Laden.
Fursa haina limitation kwenye mambo ya halali
 
sikuwahi kujua kama una ile chuki binafsi banza stone

Namkubali Bakhresa kuliko matajiri wote East Africa
ila bado kuna mambo anayafanya kizamani au labda kiaina yake
mfano jiulize je Azam si brand? je ni busara kuwa na timu ya mpira kuiita Azam?
halafu wanaitangaza NMB? uliona wapi Brand ikatangaza Brand ingine?
why timu isiitwe mfano Mbagala United halafu itangaze brand ya Azam?
 
Namkubali Bakhresa kuliko matajiri wote East Africa
ila bado kuna mambo anayafanya kizamani au labda kiaina yake
mfano jiulize je Azam si brand? je ni busara kuwa na timu ya mpira kuiita Azam?
halafu wanaitangaza NMB? uliona wapi Brand ikatangaza Brand ingine?
why timu isiitwe mfano Mbagala United halafu itangaze brand ya Azam?
Mkuu me naona tatizo ni Azam as a football team kutangaza brand zingine ambazo zinatoa service zinazofanana na wao. mfano kutangaza Pepsi, coca au maji lakini kwa bank sidhani kama ni tatizo
 
Mkuu me naona tatizo ni Azam as a football team kutangaza brand zingine ambazo zinatoa service zinazofanana na wao. mfano kutangaza Pepsi, coca au maji lakini kwa bank sidhani kama ni tatizo

Mkuu thamani ya Brand ni pamoja kuhakikisha inakuwa mbele ya Brand zingine
hata kama biashara ni tofauti
Nike hawawezi tangaza pepsi hata kama biashara tofauti
Bakhresa anakosea kuweka biashara yake yote kwenye Brand moja
ina maana kashfa yoyote ile inaathiri biashara zote....mmfano ishu ya makontena
ni vizuri baadhi ya biashara ziwe na brand zake
 
Mkuu thamani ya Brand ni pamoja kuhakikisha inakuwa mbele ya Brand zingine
hata kama biashara ni tofauti
Nike hawawezi tangaza pepsi hata kama biashara tofauti
Bakhresa anakosea kuweka biashara yake yote kwenye Brand moja
ina maana kashfa yoyote ile inaathiri biashara zote....mmfano ishu ya makontena
ni vizuri baadhi ya biashara ziwe na brand zake
azam wenyewe wanaita ndo flagship yao
 
Kimsingi bakhresa ni tajiri wa kizamani
elimu yake iko limited.
Biashara zake bado hazijakuwa za kisasa sana

hajui wala hana interest ya ku inluence watu kama mengi mfano...

Sura yake inafahamika kwa viongozi wote na wadau wake
na wale wanao mjua toka zamani...
Anaishi maisha ya kawaida,ni rahisi kumuona kuliko mengi mfano......

Biashara zake ni kubwa sana,nyingi ya biashara amefungua kutokana na kuwa
zina relate na biashara za mwanzo

mfano chapati,inatokana na biashara ya ngano ambayo yeye ndo supplier
mkubwa africa........

Nyanya inatokana na yeye kununua matunda ya juice za box so
akinunua na nyanya,anaipack na kuiuza.....

But pamoja na yote hayo...
Biashara zake zipo kizamani bado....
Akifa yeye leo kampuni yake itayumba saana.....
Na kuwa na biashara nyingi kuna punguza ufanisi kwenye biashara kuu
Si kweli kwamba akifa biashara itayumba coz yeye kwa sasa hajishughulishi kabisa na kazi amewaachia wanae
 
Kimsingi bakhresa ni tajiri wa kizamani
elimu yake iko limited.
Biashara zake bado hazijakuwa za kisasa sana

hajui wala hana interest ya ku inluence watu kama mengi mfano...

Sura yake inafahamika kwa viongozi wote na wadau wake
na wale wanao mjua toka zamani...
Anaishi maisha ya kawaida,ni rahisi kumuona kuliko mengi mfano......

Biashara zake ni kubwa sana,nyingi ya biashara amefungua kutokana na kuwa
zina relate na biashara za mwanzo

mfano chapati,inatokana na biashara ya ngano ambayo yeye ndo supplier
mkubwa africa........

Nyanya inatokana na yeye kununua matunda ya juice za box so
akinunua na nyanya,anaipack na kuiuza.....

But pamoja na yote hayo...
Biashara zake zipo kizamani bado....
Akifa yeye leo kampuni yake itayumba saana.....
Na kuwa na biashara nyingi kuna punguza ufanisi kwenye biashara kuu
Na biashara zake zipo kisasa kuliko wafanya biashara wengi
Najua huwezi kuamini ila Bakhresa amejipanga kuliko Mengi au Mo
 
Namkubali Bakhresa kuliko matajiri wote East Africa
ila bado kuna mambo anayafanya kizamani au labda kiaina yake
mfano jiulize je Azam si brand? je ni busara kuwa na timu ya mpira kuiita Azam?
halafu wanaitangaza NMB? uliona wapi Brand ikatangaza Brand ingine?
why timu isiitwe mfano Mbagala United halafu itangaze brand ya Azam?
Lakini Azam na NMB hazifanyi biashara za kufanana japo zote ni Brand so sidhani kama kuna tatizo
 
Na biashara zake zipo kisasa kuliko wafanya biashara wengi
Najua huwezi kuamini ila Bakhresa amejipanga kuliko Mengi au Mo[/ Mo anaendesha biashara zake kisomi zaidi ingawa bidhaa zake nyingi ni low quality. Naongea kwa uzowefu wangu nimefanya kazi makampuni yote hayo MeTL na Bakhressa
 
Bakhresa i believe ni second to Dangote in Africa..
Mo na Mengi ni wadogo mno kwake
tatizo bado kuna vitu tu vidogo anakosea

Si kweli kwamba akifa biashara itayumba coz yeye kwa sasa hajishughulishi kabisa na kazi amewaachia wanae
Ni kweli bakhressa kwa sasa biashara karibu zote zinaendeshwa na watoto zake na wamegawana vitengo kwa mfano yule yusuf wakala wa mambo ya mpira amepewa azam tv ndio msimamizi mkuu na uzuri huyu mzee kasomesha watoto zake hadi vyuo vikuu marekani.
 
Sio Nyerere, ni Mwalimu Nyerere Baba wa Taifa la Tanzania.

Hilo la ubaba huko huko makanisani ndiyo kuna baba askofu, kuna baba Mtakatifu, kuna baba (padri). Wote hao hawaruhusiwi kuzaa lakini mnawapachika u baba.

Kiislamu baba yetu ni mmoja tu, yule aliyetuzaa tu.
 
Gaidi?
Acha chuki za kidini. Angekuwa m.ga.la anasaidia jamii ungehoji?

Hizi ni chuki tu na kifikiri kinyumenyume

Fanyakazi.think +ve
 
Sio. Lazima kununua nazi au nyanya zilizosindikwaa nasio watu woote hununua hizo bithaa so muache mzee wawatu afanye yake nawauza genge na chapati wafanye yao
 
Acha ubaguzi udini
Think+ve

Sijui kama thread kama hii ilishawai anzishwa hapa j.f,

but i am curious to know who is s.s.bakhresa.

Najua ni nadra sana kwa nchi yoyote kuwa na mtu ambaye ni tycoon na such a biggest business man kama bakhresa

lakini hajawahi kuonekana hata sehemu moja kwenye shughuli za kijamii.

Sijawahi kumsikia akizungumza mahali, wala kuonekana picha yake mahali popote zaidi ya passport yake kwenye website yake na

picha moja kwenye mazishi ya mwanae Khalid.

Tofauti na ilivyo kwa wafanyabiashara wengine hata wale wa asili yake kama akina dewji, rostam, manji etc.

Na pia sifurahishwi na huyu jamaa kuwa producer wa kila kitu hapa tanzania, yaani mpaka chapati na nyanya,

je mamlaka zinazohusika hazina uwezo wa kuainisha hili??

Leo hii akitawala soko la chapati, nyanya, na mpaka nazi zote yeye, je hi sio hatari kwa kina mama wauza chapati?

Na wale wenye magenge ya nyanya na nazi si watafunga magenge yao??

Ni mtazamo tu wana j.f, kama una la kuongeza weka hadharani isije kuwa ni gaidi kama Osama bin Laden.
 
Hilo la ubaba huko huko makanisani ndiyo kuna baba askofu, kuna baba Mtakatifu, kuna baba (padri). Wote hao hawaruhusiwi kuzaa lakini mnawapachika u baba.

Kiislamu baba yetu ni mmoja tu, yule aliyetuzaa tu.
Nchi haina dini hii Baba Wa Taifa la Tanzania ni Mwl Nyerere
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom