Who is Benson Bana?

Who is Benson Bana?

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,354
Kwa nje namuona kama kinara mpya wa wahadhiri vibaraka Tanzania.

Anayetafuta vyeo kwa kuidhalilisha taaluma yake.

Anayewatii mabwana zake kwa kudhalilisha tasnia nzima ya utafiti Tanzania.

Msomi bandia, anayedhililisha demokrasia Tanzania.

Kwa wale wanaomfahamu zaidi tabia na Historia yake, naomba wamuelezee "Dk." Benson Bana.
 
ni personal friend wa kikwete na ndiye mshauri wake mkubwa wa kisiasa
 
Kwa kuibeba kwenye tafiti badala ya kuisaidia anaichimbia kaburi CCM.
 
Benson Bana, ni aina ya wasomi rojorojo wa Taifa hili, aliesoma na asiesoma mpaka wa tofauti zao huwezi kuziona.
Bana amelala usingizi wa pono, anaota ndoto zake mwenyewe, kuwa Kikwete 71% atashinda, nasema Kikwete hawezi kupata 60% ya kura zoote , hawezi , wee endelea na Usingizi wako, Tukifika tutakuamsha.
 
Benson Bana, ni aina ya wasomi rojorojo wa Taifa hili, aliesoma na asiesoma mpaka wa tofauti zao huwezi kuziona.
Bana amelala usingizi wa pono, anaota ndoto zake mwenyewe, kuwa Kikwete 71% atashinda, nasema Kikwete hawezi kupata 60% ya kura zoote , hawezi , wee endelea na Usingizi wako, Tukifika tutakuamsha.
Hii picha inamaanisha nini? ni mgojwa au usafiri wa kawaida
 
Benson Bana, ni aina ya wasomi rojorojo wa Taifa hili, aliesoma na asiesoma mpaka wa tofauti zao huwezi kuziona.
Bana amelala usingizi wa pono, anaota ndoto zake mwenyewe, kuwa Kikwete 71% atashinda, nasema Kikwete hawezi kupata 60% ya kura zoote , hawezi , wee endelea na Usingizi wako, Tukifika tutakuamsha.

Heshima kwako Nguvumali.

Mkuu naomba kutofautiana na wewe kwamba Kikwete hawezi kupata 60%,hii si kweli mkuu wangu Kikwete anaweza kupata 40% hambazo haziwezi kumfanya aendelee kukaa Magogoni.Mwaka 2005 alipata 80% kwasababu wapiga kura wengi hawakujua uwezo wake mwaka 2010 wapiga kura wengi wameshajua uwezo wake.
 
utafiti ule umefanywa kwa watu 2500 tu kwa hiyo siyo sample nzuri bana hajui statistics, na data compilation inabidi akasome jinsi ya kuandaa mean{harmonic,weighted,geometric na average mean} then ndio arudi na REDET yake
 
hii noma yaani jk kushinda asilimia hizo kweli?nadhani hawa kina Benson na benadetha ni watafuta vyeo kama Mukandala.benson atakuwa makamu mkuu wa chuo kipya kitakachoanzishwa huko Musoma walikoahidi na Benadetha atapata Shinyanga walikoahidi kama wakishinda.Lakini ukweli ni kuwa wasomi hawa ni uchwara.Tuwe macho na si majungu haya.
 
utafiti ule umefanywa kwa watu 2500 tu kwa hiyo siyo sample nzuri bana hajui statistics, na data compilation inabidi akasome jinsi ya kuandaa mean{harmonic,weighted,geometric na average mean} then ndio arudi na REDET yake

Wakikusikia hao, wamejipanga kama CCM kujibu mashambulizi. Wameanza kujibu hoja za 71% kila kona. Thubutu uulize utajibiwa A4 nzima
 
ni personal friend wa kikwete na ndiye mshauri wake mkubwa wa kisiasa
Mawaziri wake walimwangusha, watendaji wake wa karibu wamemdanganya mara kadhaa, katibu wke naye pia kwa matamshi yake, na hata Bana atammalizia sasa....!
 
Benson Bana, ni aina ya wasomi rojorojo wa Taifa hili, aliesoma na asiesoma mpaka wa tofauti zao huwezi kuziona.
Bana amelala usingizi wa pono, anaota ndoto zake mwenyewe, kuwa Kikwete 71% atashinda, nasema Kikwete hawezi kupata 60% ya kura zoote , hawezi , wee endelea na Usingizi wako, Tukifika tutakuamsha.

Huu ndio usafiri wa mgonwa mahututi.......na ataenda Km kadhaa katika hali hii. Nahisi maumivu anayoyasikia .....CCM jamani oneni haya!
Inauma sana. Kama kweli akina Bana walisomeshwa bure na Nyerere ili waje wawatese Watanzania wenzao , basi Mungu atawalipa wao na kizazi chao. Wachakachue tu, ila wajue, hakuna marefu yasiyo na ncha.
 

Heshima kwako Nguvumali.

Mkuu naomba kutofautiana na wewe kwamba Kikwete hawezi kupata 60%,hii si kweli mkuu wangu Kikwete anaweza kupata 40% hambazo haziwezi kumfanya aendelee kukaa Magogoni.Mwaka 2005 alipata 80% kwasababu wapiga kura wengi hawakujua uwezo wake mwaka 2010 wapiga kura wengi wameshajua uwezo wake.

HAPO HATA MIMI NAKUBALIANANA NAWE, Hhahahaaah ccm bana.
 
huyu jmaaa kusema ukweli hatuwezi kumwita msmi kwa maana msomi wa ukweli hayuko tayari kutumika kwa ajili ya manufaa ya watu wachache au kwa ajili ya manufaa yake binafsi.
huyu na yeye anatafuta cheo kama alivyofanya mwenzake mkandala
 
Kwa nje namuona kama kinara mpya wa wahadhiri vibaraka Tanzania...

Anayetafuta vyeo kwa kuidhalilisha taaluma yake...

Anayewatii mabwana zake kwa kudhalilisha tasnia nzima ya utafiti Tanzania...

Msomi bandia, anayedhililisha demokrasia Tanzania...

Kwa wale wanaomfahamu zaidi tabia na Historia yake, naomba wamuelezee "Dk." Benson Bana...

Ni kibaraka anayeweza kutumwa ku-flash choo baada ya kikwete kumaliza haja zake maliwatoni na akakubali.
 
No. Huyu dk ni bunsen burner inayotumiwa na ccm kwa sasa. Sasa wajue kuwa chadema ni crucible (inayoshikilia vitu vya moto katika experiments).
 
Mwita sample ya 2500 ni sample nzuri tu na ndo inayotumika na researchers wengi wanaotaka kujua 'nationwide agenda'...kwenye research unaruhusiwa kuchukua sample ya 5-10% ya popn. Hiyo walochukua ni approximately 6% so its allowed kisomi na sampling method walotumia pia concures with research methodology. Point to urgue labda hawaja-report data za ukweli..
 
Ni jamaa mmoja yuko pale mlimani, ongea yake kama ana mate mengi mdomoni! nilikuwa namheshimu lakini kwa hili nimemdelete hata kwenye bin!
 
utafiti ule umefanywa kwa watu 2500 tu kwa hiyo siyo sample nzuri bana hajui statistics, na data compilation inabidi akasome jinsi ya kuandaa mean{harmonic,weighted,geometric na average mean} then ndio arudi na REDET yake

Dah, mkuu nimekukubali, na mimi pia umenirudisha darasani kidogo.
 
Back
Top Bottom