Who created God? Who made him? Where did he come from?

Who created God? Who made him? Where did he come from?

Wakristo na waislamu hupatwa na kigugumizi kikubwa pindi waulizwapo swali hili na watu wasio amini kuhusu uwepo wa Mungu.

Kuanzia leo, haupaswi tena kuwa na kigugumizi pindi uulizwapo swali hili, kwani majibu ya kisayansi ya swali hili yanapatikana.

Kwa mtazamo wa Uislamu, swali "Nani alimuumba Mungu?" halikubaliki kwa sababu Allah si kiumbe aliyeumbwa.

Qurani inasema:

"Sema: Yeye ni Mwenyezi Mungu Mmoja. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. Hakuzaa wala hakuzaliwa. Wala hakuna anayelingana naye hata mmoja." (Surat Al-Ikhlas 112:1–4)
Hivyo:

Allah hakuumbwa na mtu yeyote.

Hana mwanzo wala mwisho.

Yeye ndiye Muumba wa kila kitu, si sehemu ya viumbe Wake.

Kama kila kitu kingehitaji muumbaji, basi swali lingeendelea milele: "Nani alimuumba aliyemuumba Mungu? Na nani alimuumba huyo?"

Hilo lisingeweza kufikia mwisho. Ndiyo maana lazima kuwe na Muumba wa kwanza ambaye hakuumbwa na yeyote.

Mtume Muhammad ﷺ pia alisema kwamba Shetani humletea mtu wasiwasi mpaka aulize: "Nani amemuumba Mola wako?" Akifika hapo, aombe hifadhi kwa Allah na aache kufuata wasiwasi huo.

Kwa hiyo, katika Uislamu jibu ni wazi: Allah hakuumbwa, hakutoka mahali popote, bali Yeye ndiye Muumba wa wakati, nafasi na kila kilichopo.
 
Kwa mtazamo wa Uislamu, swali "Nani alimuumba Mungu?" halikubaliki kwa sababu Allah si kiumbe aliyeumbwa.

Qurani inasema:


Hivyo:

Allah hakuumbwa na mtu yeyote.

Hana mwanzo wala mwisho.

Yeye ndiye Muumba wa kila kitu, si sehemu ya viumbe Wake.

Kama kila kitu kingehitaji muumbaji, basi swali lingeendelea milele: "Nani alimuumba aliyemuumba Mungu? Na nani alimuumba huyo?"

Hilo lisingeweza kufikia mwisho. Ndiyo maana lazima kuwe na Muumba wa kwanza ambaye hakuumbwa na yeyote.

Mtume Muhammad ﷺ pia alisema kwamba Shetani humletea mtu wasiwasi mpaka aulize: "Nani amemuumba Mola wako?" Akifika hapo, aombe hifadhi kwa Allah na aache kufuata wasiwasi huo.

Kwa hiyo, katika Uislamu jibu ni wazi: Allah hakuumbwa, hakutoka mahali popote, bali Yeye ndiye Muumba wa wakati, nafasi na kila kilichopo.
Hakuna kitu kisicho na asili,huyo alaah ana asili yake,nothing comes from no where.

Tatizo la vitabu vya dini kupitia dini,vitisho ni vingi unapoanza kuhoji,nini chsnzo chake?
 
Hakuna kitu kisicho na asili,huyo alaah ana asili yake,nothing comes from no where.

Tatizo la vitabu vya dini kupitia dini,vitisho ni vingi unapoanza kuhoji,nini chsnzo chake?
mawazo yetu yote yanatokana na vitu tunavyoona, kusikia kuambiwa, hatuwezi kutengeneza kitu kipya kutokana na hivyo vitu,
Mfano nikikwambia ufikiria primary rangi mpya huwezi sababu ubongo unafuata hivyo vitu, so point ni kuwa kwa kuwa tunaona, tunasikia tunaambiwa kila kitu lazima kiwe na chanzo hivyo ni vigumu ku imagine kitu ambacho hakina chanzo, ila ulimwengu una vitu vingi zaidi ya tunavyojua hivyo huenda kuna vitu ulimwenguni havina wala havijui cncept kama Chanzo, mwanzo na mwisho au muda
 
Kuzaliwa ni nini?
Uumbaji ni nini?
Haya maswali ni irrelevant kwangu kwa sababu haya prove uwepo wa Mungu.

Yani hakuna kitu kinacholazimisha kuzaliwa au uumbaji viwe ni vitu vinavyoweza kufanywa na Mungu tu, na kwa hiyo, kwenye hoja ya kuthibitisha uwepo wa Mungu, maswali yako nayaona irrelevant musings of an unfocused mind.

Yani ni sawa na kuukiza bei ya kigimoto China ni kiasi gani, katika swali la kitafuta uwepo wa Mungu.

Sasa nikikwambia kuzaliwa ni A na uumbaji ni B, au nikikiambia sijui yote hayo majibu yake ni nini, jibu hilo linathibitishaje Mungu yupo?

Kwani hatujui kuwa tumezaliwa bila kujali mjadala usio na maana wa kuzaliwa nini?

Au unataka kuanza mjadala wa falsafa za kijinga kusema hatujazaliwa?

If so I don't have time for that.

I find your questions uninteresting and unfocused.
 
Sasa nikikwambia kuzaliwa ni A na uumbaji ni B, au nikikiambia sijui yote hayo majibu yake ni nini, jibu hilo linathibitishaje Mungu yupo?

Kwani hatujui kuwa tumezaliwa bila kujali mjadala usio na maana wa kuzaliwa nini?

Au unataka kuanza mjadala wa falsafa za kijinga kusema hatujazaliwa?
Mjadala wa kuzaliwa wewe ulifanywa na wazazi wako. Wao ndio walitaka, walikubali, na hivyo wakakuzaa wewe. Wangekataa wewe usingezaliwa.

Kuhusu kwamba wewe hukushirikishwa katika kuzaliwa kwako. Hilo ni suala la wazazi wako na wewe. Sio la Mungu. Kazi ya Mungu ni uumbaji.
 
Mjadala wa kuzaliwa wewe ulifanywa na wazazi wako. Wao ndio walitaka, walikubali, na hivyo wakakuzaa wewe. Wangekataa wewe usingezaliwa.

Kuhusu kwamba wewe hukushirikishwa katika kuzaliwa kwako. Hilo ni suala la wazazi wako na wewe. Sio la Mungu. Kazi ya Mungu ni uumbaji.

Kwamba mjadala wa kuzaliwa mimi ulifanywa na wazazi wangu, kwanza haithibitishi Mungu yupo

Pili inathibitisha mimi sikuwa sehemu ya mjadala huo.

Unapowatupia lawama za kuzaliwa kwangu wazazi wangu tu, hapo ni kama umekubaki Mungu hayupo. Kwa sababu kama Mungu yupo, na yeye ni mkubwa kulikonwazazi wangu, suala la kuzaliwa kwangu halitakiwi liishie kwa wazazi wangu tu.

Tatu, kama kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote, anayejali sana uhuru wa watu, Mungu huyu asingeshindwa kunioa namna ya kuamua kama nizaliwe au nisizaliwe.

Kwa nini hakunipa nafasi hiyo?

Umeelewa kiwa unathibitisha hoja zangu kwamba mimi nimezaliwa bila hiyari yangu, na pia hujathibitisha Mungu yupo?

Kuhusu uumbaji.

Hujathibitisha kazi ya Mungu ni uumbaji, hiyo ni kauli ya imani tu, si kauli yenye uthibitisho.

In fact, hujathibitisha hata Mungu yupo.
 
Uthibitisho ni nini?
Uthibitisho ni njia ya kuelezea jambo katika mantiki na kulihakikisha kuwa ni la kweli.

1. Isiyoweza kukanushwa. Ukileta jambo nikaweza kuli contradict huo si uthibitisho.

2. Iliyo universal. Ukisema umemuona Mungu katika ndoto zako, au kwa oersonal experience, huo si uthibitisho.

3. Kwa namna ambayo inaweza kurudiwa na mtu mwingine yeyote. Siyobwewe unaweza kufanya jambo lako mara moja tu, halafu hakuna mtu mwingine yeyote anayeweza kulirudia, huo si uthibitisho
 
Uthibitisho ni njia ya kuelezea jambo katika mantiki na kulihakikisha kuwa ni la kweli.

1. Isiyoweza kukanushwa. Ukileta jambo nikaweza kuli contradict huo si uthibitisho.

2. Iliyo universal. Ukisema umemuona Mungu katika ndoto zako, au kwa oersonal experience, huo si uthibitisho.
Kwenye maelezo hayo kuhusu uthibitisho ni nini. Kuna neno 'mantiki', ambalo umeeleza haliwezi kukubalika isipokuwa jambo lenyewe liwe ni la kweli. Kwa sababu hiyo mantiki yenyewe peke yake si muhimu kama jambo si la ukweli. Muhimu mantiki ni ukweli. Jambo ni la kweli? Hapo ndipo kuna mantiki.

Sasa, mantiki maana yake ni nini? Na je, mantiki ni uthibitisho?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom