TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,784
- 4,257
So its auniverse that created human being,and other features?GOD is the UNIVERSE.........
So its auniverse that created human being,and other features?GOD is the UNIVERSE.........
Wakristo na waislamu hupatwa na kigugumizi kikubwa pindi waulizwapo swali hili na watu wasio amini kuhusu uwepo wa Mungu.
Kuanzia leo, haupaswi tena kuwa na kigugumizi pindi uulizwapo swali hili, kwani majibu ya kisayansi ya swali hili yanapatikana.
Hivyo:"Sema: Yeye ni Mwenyezi Mungu Mmoja. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. Hakuzaa wala hakuzaliwa. Wala hakuna anayelingana naye hata mmoja." (Surat Al-Ikhlas 112:1–4)
Hakuna kitu kisicho na asili,huyo alaah ana asili yake,nothing comes from no where.Kwa mtazamo wa Uislamu, swali "Nani alimuumba Mungu?" halikubaliki kwa sababu Allah si kiumbe aliyeumbwa.
Qurani inasema:
Hivyo:
Allah hakuumbwa na mtu yeyote.
Hana mwanzo wala mwisho.
Yeye ndiye Muumba wa kila kitu, si sehemu ya viumbe Wake.
Kama kila kitu kingehitaji muumbaji, basi swali lingeendelea milele: "Nani alimuumba aliyemuumba Mungu? Na nani alimuumba huyo?"
Hilo lisingeweza kufikia mwisho. Ndiyo maana lazima kuwe na Muumba wa kwanza ambaye hakuumbwa na yeyote.
Mtume Muhammad ﷺ pia alisema kwamba Shetani humletea mtu wasiwasi mpaka aulize: "Nani amemuumba Mola wako?" Akifika hapo, aombe hifadhi kwa Allah na aache kufuata wasiwasi huo.
Kwa hiyo, katika Uislamu jibu ni wazi: Allah hakuumbwa, hakutoka mahali popote, bali Yeye ndiye Muumba wa wakati, nafasi na kila kilichopo.
Sayansi (Abiogenesis) ni zao la nini?Ukweli usioweza kupingwa na mtu awaye yote ni huu; Dini zote ni zao la binadamu!
Kila dini ina mwanzilishi wake na waenezaji wake.
Human beingSayansi (Abiogenesis) ni zao la nini?
Correct. Go to your comment that I quoted and tell us what was your intention?Human being
Kuzaliwa ni nini?Kama mungu kweli anajali free will, mbona hakutuuliza kama tunataka kuzaliwa dunia hii au la? Tuchague wenyewe kwa free will kuzaliwa au kutozaliwa?
God was created by the authors of the books such as Quran and the Bible
didn't you discovered my intent from what i wrote?Correct. Go to your comment that I quoted and tell us what was your intention?
mawazo yetu yote yanatokana na vitu tunavyoona, kusikia kuambiwa, hatuwezi kutengeneza kitu kipya kutokana na hivyo vitu,Hakuna kitu kisicho na asili,huyo alaah ana asili yake,nothing comes from no where.
Tatizo la vitabu vya dini kupitia dini,vitisho ni vingi unapoanza kuhoji,nini chsnzo chake?
Haya maswali ni irrelevant kwangu kwa sababu haya prove uwepo wa Mungu.Kuzaliwa ni nini?
Uumbaji ni nini?
From what I quoted you are trying to make readers believe that all religion are false because are human results.didn't you discovered my intent from what i wrote?
Mjadala wa kuzaliwa wewe ulifanywa na wazazi wako. Wao ndio walitaka, walikubali, na hivyo wakakuzaa wewe. Wangekataa wewe usingezaliwa.Sasa nikikwambia kuzaliwa ni A na uumbaji ni B, au nikikiambia sijui yote hayo majibu yake ni nini, jibu hilo linathibitishaje Mungu yupo?
Kwani hatujui kuwa tumezaliwa bila kujali mjadala usio na maana wa kuzaliwa nini?
Au unataka kuanza mjadala wa falsafa za kijinga kusema hatujazaliwa?
Mjadala wa kuzaliwa wewe ulifanywa na wazazi wako. Wao ndio walitaka, walikubali, na hivyo wakakuzaa wewe. Wangekataa wewe usingezaliwa.
Kuhusu kwamba wewe hukushirikishwa katika kuzaliwa kwako. Hilo ni suala la wazazi wako na wewe. Sio la Mungu. Kazi ya Mungu ni uumbaji.
Uthibitisho ni nini?Hujathibitisha kazi ya Mungu ni uumbaji, hiyo ni kauli ya imani tu, si kauli yenye uthibitisho.
Wewe umezaa?Tatu, kama kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote, anayejali sana uhuru wa watu, Mungu huyu asingeshindwa kunioa namna ya kuamua kama nizaliwe au nisizaliwe.
wdwe ni nani?Mimi siyo atheist.
Swali hili halina umuhimu kwa sababu linaacha kujadili mada, linanijadili mimi.Wewe umezaa?
Uthibitisho ni njia ya kuelezea jambo katika mantiki na kulihakikisha kuwa ni la kweli.Uthibitisho ni nini?
Kwenye maelezo hayo kuhusu uthibitisho ni nini. Kuna neno 'mantiki', ambalo umeeleza haliwezi kukubalika isipokuwa jambo lenyewe liwe ni la kweli. Kwa sababu hiyo mantiki yenyewe peke yake si muhimu kama jambo si la ukweli. Muhimu mantiki ni ukweli. Jambo ni la kweli? Hapo ndipo kuna mantiki.Uthibitisho ni njia ya kuelezea jambo katika mantiki na kulihakikisha kuwa ni la kweli.
1. Isiyoweza kukanushwa. Ukileta jambo nikaweza kuli contradict huo si uthibitisho.
2. Iliyo universal. Ukisema umemuona Mungu katika ndoto zako, au kwa oersonal experience, huo si uthibitisho.