Na pia atoe maelezo ya kina kwa nini Nobel prizes nyingi ni kwa watu wanaotoka huko huko!
naamini atatupa maelekezo
Na pia atoe maelezo ya kina kwa nini Nobel prizes nyingi ni kwa watu wanaotoka huko huko!
Hebu niambie ni kwanini wahindi wapo walipo leo?
kivipi mkuu? be specific' economicaly,technologicaly, geographicaly or
geographicaly .....!!!!!!
mkuu sijawah kuona sehemu ulipotoa hili jibu ila kama una nia ya kunisaidia please naomba unielekeze sehemu ulipopost ili nielimike mkuu
sasa hapa wakristo wamekukosea nini? si uwaache na ubabaishaji wao?
wapo pia wanaoamini mungu ameumbwa na binadamu na wapo pia wanaoamini uislamu ni dini ya shetani, sasa kwa nini wewe ujione bora unachoamini kuliko wengine?
na usisahamu wapo wanaoamini kwamba dini ni uongo na ulaghai unaoelekea kupitwa na wakati.
akili za kiccm zimeharibu ubongo wako hadi umeoza.
naamini atatupa maelekezo
binadamu bana .......
Nje ya dini hakuna anaejua binadamu katokea wapi halafu wanakimbilia kutaka kumjua mungu
hii itawezekanaje?
Halafu haya mawazo ya aina hii ni yale ambayo wenye nayo wanajiogopa na kuogopa yale ambayo watakuja kuwajibika nayo,wanaamua kukataa tu wakidhani kukataa ni ushahidi wa wanachokikana
ama kweli mpumb.vu husema mungu hayupo!
Mkuu Allah hakuumbwa wala hakujiumba....pia elewa kwamba akili zetu ni viungo vya hisia kama yalivyo macho, masikio nk...Ni wazi ukienda baharini utaweza kungalia mpaka utaona Mbingu imeungana na Bahari...pale ndo ukomo ya macho yetu...kadhalika sauti..hatuwezi kumsikia mtu anaetuita hata kwa umbali ya kilo meter 1....bila ya visaidizi....kwa bahati mbaya hakuna visaidizi vya akili...na hakuna mwenye akili ya kuweza Kumpekua Mungu kwa kiwango unachokita...kwa hiyo ushauri wangu usiwaulize watu vitu ambavyo unajua hawawezi kuvijubu......katika uislamu Suali kama hili tutakujibu ifuatavyo;
Say(oh Ye Muhammad), "He is Allah , [who is] One,Swahili
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
Allah , the Eternal Refuge. Swahili
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa
He neither begets nor is born, Swahili
Hakuzaa wala hakuzaliwa
Nor is there to Him any equivalent."Swahili
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
God is always in the minds of people. Since people's minds have always been different then God has never been the same to all people. therefore, the question about who created God is wrong in itself. it would rather be "who crated your god"You don't get to decide what is the argument.
Anybody can conceptualize god.
Faith is not an argument.
If you can't prove he exists, you can't prove that that book is even his.
You are reduced to belief.
Which even a dog has.
Hamna Tabu mkuu kwa vile wewe una akili kuliko Mwenyezi Mungu....Insha-Allah tumia akili yako ulioitengeneza mwenyewe ili ikusaidie...Najua sasa unavuta pumzi bila ya matatizo kwa hio ni haki yako kusema unavyosema....kwa vile una akili kuliko Allah jaribu kutengeneza mechanism 3 ndani ya Mwili wako ili uishi kwa amani zaidi...Tengeneza mechanism ya kuzuia njaa, Kukojoa na kwenda haja kubwa.....mechanism ya kutaka kugegeda unaweza kuiwacha kwa sababu hii inakupa raha....
Hamna mkuu umenielewa vibaya...sio sababu ya mechanism...ni sababu ya ukomo wa akili yangu kua ndogo..kwa sababu kama mtu huewzi kwenda Jangwani ukaikuta Macediz Benz imejitengeneza wenyewe...akili yangu ndogo inashindwa kukubali kua dunia na vilivyomo viwe ni vitu vilivyojitengeneza wenye....pia sasa nna mtoto mmoja...akili yangu ndogo inashindwa kukubali kua miezi 9 aliokaa mtoto tumboni...na ile sehemu aliotoka mtoto wangu ni vitu vilivyojiendesha wenyewe... nilidhani baada kuzaliwa itakua pana kiasi kwamba ile Raha sitoipata tena...ila utamu upo pale pale mkuu...wala haipwayi mkuu
God is always in the minds of people. Since people's minds have always been different then God has never been the same to all people. therefore, the question about who created God is wrong in itself. it would rather be "who crated your god"