Madai yako wewe hukushirikishwa na wazazi wako katika kuzaliwa kwako na kwamba Mungu hakukuuliza au wazazi wako hawakukuuliza kama unataka kuzaliwa au hapana. Kwa namna gani hilo halihusishwi na wewe?Swali hili halina umuhimu kwa sababu linaacha kujadili mada, linanijadili mimi.
Mimi si mada.
Zaidi, mimi mwanamme. Mwanamme hazai.
Jadili hoja, usimjadili mtu.