kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,114
Jukwaa hili siyo size yako. The only platform you can fit in to present and discuss your simple ideas frm your simple brain is FESIBUKUJamani hizi mada zenu za kumdhihaki Mungu mi zinaniudhi sana, hebu mwacheni Mungu wetu kwa nini mnamsakama kila wakati..
hebu zitajeni neema zake alizowabariki, acheni kumdhihaki Mungu, Mungu ni MKUU, ASIFIWAYE NA ANATUKUZWA KILA SIKU
Habari zenu wana JF. Leo nataka niwaletee ukweli ambao wapinga mungu kama Kiranga huwa hawauelewi. Swali hilo ni hili.
Swali: Je, kama Mungu yupo, nani alimuumba Mungu? (Au ametokea wapi?)
Jibu: Mungu ana sifa ya kutokuwa na mwanzo wala mwisho, hivyo hilo swali halina mantiki. Pia tufanye kuwa Mungu ameumbwa, kwa hiyo logic ni kuwa aliyemuumba naye anatakiwa awe ameumbwa, na kuendelea. Hivyo ni wazi kuwa kutakuwa na miungu infinity kitu ambacho ni Illogical. Hivyo namaliza kwa kusema kuwa, Swali la Who Created God is an illogical question.
We? How many gods..?!
Ubishi huu ni mrefu kwa sababu tunabishania kitu ambacho hakipo.
Kwa sababu kitu kilichopo ni rahisi sana kuthibitisha kipo.
Kitu ambacho hakipo huwezi kuthibitisha kwamba kipo au hakipo kirahisi.
Ukweli kwamba kuthibitisha kwamba Mungu yupo au hayupo ni kitu kigumu unaonesha Mungu hayupo.
Angekuwepo ingekuwa rahisi sana kuthibitisha yupo bila ubishi.
Na kwa jinsi anavyopenda sifa kama mlivyomuandika kwenye vitabu vyenu, angepanga nyota ziandike angani kwamba Mungu yupo hivyo binadamu wote aminini Mungu yupo.
The fact kwamba hakufanya hivyo na anapenda sifa sana ni contradiction inayoonesha hayupo.
Unamaanisha alimshindwa shetani au hamuwezi Shetani?He doesn't need to be needed
He wants to be needed
It's his desire
He desires for man to acknowledge him,
he desires for man to realize that he is not perfect in himself
He desires for man to see God the way God is, as all powerful, all mighty
That doesn't mean God would be any less if man doesn't acknowledge him
As a matter of fact based on Bible history, God once destroyed the world with a flood because they didn't acknowledge, respect God
That to me doesn't sound like he's needy,
It sounds like God made humans a certain way and he desires them to relate to him in a certain way
Unamaanisha alishindwa kumuangamiza Shetani au??Kweli kabisa. Halafu zikishatajwa neema zake, zitajeni maovu yake mana kama angemteketeza shetani in the first place basi amani ingekuwamo toka mwanzo wa adam mpaka sasa .
This seems to be illogical argument one could ever make.Yes, because you exist! God is the Creator so long we see you it proves that the one created you exists
To ask the question whether God exists or not is stark non-sense as far as language is concerned. Wittsgenstein said Our language is our world.Some of the answers you will never get because you are not GOD. However naweza nikasema kuwa Mungu hufanya vitu logically ingawa hafungwi na logical. Yeye ndiye muasisi wa logic ambayo tunaijua sisi. ( Mungu ni yeye yule Jana, Leo na hata milele).
(Ikumbukwe kuwa kila kitu katika ulimwengu ni logical, we just see some of them illogical because we can't comprehend them using our normal brains).
I knw you will start to ask me questions like 'Can God create pembetatu duara'? I will answer as follow;
Out of our normal logic, its impossible, but, as God is not limited with logic, then we may conclude that God can do anything even things we can not imagine .
You may also ask this question, "Can God create a triangle for which sum of angles are greater than 180°? Then I answer as follows;
1. Degrees is a human invention. Therefore, if a man wanted the triangle to have 1000°, they would do it.
2. In more than two dimensions, (I.e. for example in three dimensions) triangles may have more than 180° logically.
To sum up, our God exist outside our known dimensions and knowledge and therefore, we can not clearly describe his power, authority, and capability. We have to accept him, honour him, worship him, believe him, glorify him, and trust him.
Moreover, we have to ask him to give us the knowledge of him.
To sum up, nataka watu kama Kiranga wa confess kwanza kuwa suala ya Who Created God is illogical question, kwa hiyo sitarajii mtu kuuliza maswali kama ya ' Nani kamuumba Mungu? Au Mungu katoka wapi? Hiyo ni kwa sababu Mungu hajatoka popote. Yupo milele, hana MWANZO, hana MWISHO!
This defies basic logic let me point out some logic flaws from you assertionWe can see God's power in everything we see. If fact Kiranga you don't know what God wants. God want you to TRUST him. You can not see God without first to TRUST him. God want you to do good deeds even when you can't feel him in your surrounding.
I ask you one thing. Can you prove if demons exist? If you cant, then how do you explain demonic possessions?
Trust me, even science failed completely to explain how and why people get possessed with demons! They will never explain scientifically because it is not a scientific fact, its a spiritual fact.
So, God is a spiritual fact, dwelling in an immaterial place, so you can't scientifically prove him for the same reasons as applied in demonic possessions.
But we all know that demons exist by looking the effects they do, in our environment.
Got me?
they are overwhelming evidence of Evolution. Evolution is a historic fact just like the fact the Holocaust. Prayer to God is just illusion.People are so wonderful. They don't believe in God but yet they BELIEVE in evolution.
Can you tell me any evidence for evolution? The answer is NO. So, evolution is a belief and not a science just as the way we believe in God.
If you want to know the secrets of God its better you approach him in prayers. We can not know everything. Our brains are finite and have limits.
In Yeremia 33: 3, God says "Niite, nami nitakuitikia, nami nitakuonesha mambo makubwa (kama ya uumbaji na future), magumu (kama uumbaji na spiritual truths, usiyoyajua (In fact we don't know many).
this show how illiterate you are on evolutionGive me one evidence of evolution which encompass change of one kind of organism to another kind.
Then tell me why we don't have intermediate creatures. I.e. Sokwe-mtu, au paka-mjusi etc.
it isFriend
Evolution is a theory not a FACT,
It's a possible explanation
For you to prove that evolution you would need to be there to observe a given species from a time it started as a certain life form to how it changed to another
All there is to it is possible explanations by certain men and some connections that can support the explanation
Association doesnt necessarily mean Causation
And as a matter of fact many scientists are adopting Creation as a more plausible explanation as compared to evolution and what not
Faith and Logic or reason are two things pointing to different direction. there is no way they can work together. you ca either use faith or reason.I operate from both a faith-based framework and logical framework.
To me they can perfectly co-exist