Who cares


Simple; Statistics zinaonyesha kuwa watoto wa kike wanazaliwa zaidi kuliko wa kiume.
 
Watu wakishachoshwa na CCCM, itakuwa hivyo tu, heri kufa kuliko kudangwadanganywa na Chama Cha Magamba.
Napita!!
 
Haki ya mtoto iko wapi hapo?? na wala huo sio ujasiri
 
mkono umekomaa mpaka wangu unaonekana wa kike
 
nikipata mtoto ningependa nimbebe hivihivi hehehehheheheh
 
Kuna wanawake ambao nilishaweka nadhiri kuwa <b>hata kama utanikabidhi dollars milioni moja</b> ili niwe nina uhusiano naye basi nitakuambia bora uondoke na hela yako kuliko mimi kuwa na mtu wa aina hiyo..

weeeee unasema tu, upewe dolar milioni moja mara buku jero za kibongo ukatae? unaota
 
i am very hornest < alimaanisha uwa yuko horny sana ama? ref: mstari wa 4 kutoka chini
 
huyu ni mjasiri lugha. mara mbili tatu huyoo majuu.
 
mweeeeeh... barua kama hii sasa jamani si mweeeehhhh mpaka nimekosa cha kuongea
 
sasa kama bosi inabidi unamuajiri halafu unarudisha la tatu akajifunze manake huyu hata spelling hajui...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…