Who are our Heroes in Tanzania (The Great Achievers...)

Nafikiri ili kuwa na usawa wa kutoa mawazo inabidi tuainishe sekta au kundi ambalo tunataka kuwaweka hawa watu. Kwa mfano, Michezo: (Riadha, Mpira wa Miguu, Mpira wa Kikapu, Mpira Wavu), Sanaa (Ushairi, muziki wa dansi, muziki wa kizazi kipya, kutumia vifaa vya muziki -gitaa, tarumbeta,) Uandishi wa vitabu vya riwaya, maigizo etc...!

Lasivyo itakua sio sawa kulinganisha kipaji cha Marehemu Saidi Mziray na Sokoine au Shaban Robert au na Hasheem Thabit...! Hawa ni watu ambao waliweza kufanikiwa katika maeneo yao ya utaalam wao na huwezi kulinganisha...!
 
List yangu ni kama ifuatavyo
1. RA
2. RA
3. RA
4. RA
5. RA
6.................................................RA.
 
List yangu ni kama ifuatavyo
1. RA
2. RA
3. RA
4. RA
5. RA
6.................................................RA.

In terms of Achievement ni kweli ameachieve a lot........ lakini shujaa hapana, sidhani hata kama naweza kumuita traitor sababu am not sure na uchungu wake na nchi hii (Uraia wake..)
 
In terms of Achievement ni kweli ameachieve a lot........ lakini shujaa hapana, sidhani hata kama naweza kumuita traitor sababu am not sure na uchungu wake na nchi hii (Uraia wake..)

Mbona Gaijin keshasema kuwa hatuwezi kutumia vigezo vile vile kwa watu waliofanya mambo kwenye maeneo tofauti?

Katika eneo la siasa, biashara, ujasiriamali na uwekaji mikakati ya kuwachuna mabwege huyu jamaa ndiye hero wangu. Kwani sina hiyo haki ya kumpendekeza?
 
Mbona Gaijin keshasema kuwa hatuwezi kutumia vigezo vile vile kwa watu waliofanya mambo kwenye maeneo tofauti?

Katika eneo la siasa, biashara, ujasiriamali na uwekaji mikakati ya kuwachuna mabwege huyu jamaa ndiye hero wangu. Kwani sina hiyo haki ya kumpendekeza?

Ni kweli kama na wewe ni Fisadi getting rich through shortcuts siwezi kupinga, he must be your role model. Ila nilimjibu gaijin kwamba hapa tunaangalia Mtu ambaye he made as Proud as Tanzanians...., Collectively,.

Je after the above is he still your choice?
 
Ni kweli kama na wewe ni Fisadi getting rich through shortcuts siwezi kupinga, he must be your role model. Ila nilimjibu gaijin kwamba hapa tunaangalia Mtu ambaye he made as Proud as Tanzanians...., Collectively,.

Je after the above is he still your choice?

Yes,

He made be really proud kwa kunfanya nitambue pasipo shaka yoyote kuwa nchi hii wote wote kabisa tu majuha. Kwani huo si mchango muhimu kwa nchi yetu?
 
Yes,

He made be really proud kwa kunfanya nitambue pasipo shaka yoyote kuwa nchi hii wote wote kabisa tu majuha. Kwani huo si mchango muhimu kwa nchi yetu?

Aliyekufanya umtambue R, kwamba anawafanya watanzania majuha ndio Shujaa
 
Kwanini hatuwaenzi mashujaa wetu??? Kwanini Kusiwe na Movies za kuwaenzi kina Mkwawa e.t.c ili watoto na wajukuu wetu wawajue hawa watu (badala ya waigizaji wetu ku-act movie nyingi kuhusu witchraft, angalau hata chache ziwe za historical moments).

Mkuu, topiki nzuri, espesheli pointi ya waigizaji... umegonga ikulu... hakuna vitabu vingi vya mashujaa wetu, basi waache sinema za kutukumbusha na kuwafundisha watoto na wajukuu wetu mbeleni
ps: this kinda question can either bring out YOUR (YOU THE READER) TRIBALISM ugliness or it can make you appreciate our differences and yet oneness ... please choose to appreciate and unite
 
What answers mi see to this topic shows the History-deficiency we all have. It is, in Ipinion, a result of the break from our oral tradition and not printing that oral info soon as the printing press were available. Even little history we know - Mkwawa, Kinjeketile, ... was written by colonists - more likely in awe of these shujaaz rather than praising and preserving ushujaa wao.

Couple of replies really stood out:
1. someone called Mkwawa 'coward' for committing suicide rather than being captured... this is after he had put up long time resistance to army with superior weapons making them 'sweat' big time... InI wonder if this person has guts to fight 'sirikali' and be ready to die for that fight rather than taken to jela by sirikali... something to ponder on

2. another person insinuated that Kinjeketile lies shouldn't qualify... for crying out, the man used that tactic to unite the already afraid population to rise up and resist 'mvamiaji' - the colonist... WTF kinda reasoning did the writer justified disqualifying Kinjeketile???

Anyway, InI choose to follow these criteria... shujaa kwangu, angekuwa amepambana na 'mlima', na matendo yake yanakumbukwa kubadilisha maisha ya wananchi wenzake na ushahidi waonekana... having considering that, my heroes are as follows (in no ranking order)
* The Maasai Warriors - in a continent and a country that many tribes succumbed and converted to westernism or arabian, it is the only tribe that fiercely resisted and succeeded... they are Afrikan heroes to InI
* Chief Mkwawa... if one understands the history, one would never find him to be a 'coward' as one member suggested... for real
* Kinjeketile... it was a noble lie, the only means he had to unite and form a resistance group to something that 'a man should resist' - being mtumwa of anything
* Simba Sports Club... what team below Equator has ever had the talent and a chance to win Africa's Cup of champions??? ... Simba fans of that era would tell that team was 'exceptional' and was "actually threatened in Cairo" because even fans in Egypt were sure they could have lost otherwise... that team beat many 'powers' that be then, and almost got the egyptian team that used 'rough play and wicked means' to win
* PM Sokoine... anyone who is convinced that his death on highway was accidental, has to have their head examined... yaani in a convoy la waziri mkuu, gari lake linakuwa wazi kabisa kugongwa na kumuua ???????????? ... alikuwa mpinzani wa siasa za *** ... wapinzani nliowasikia story zao walikuwa likely - Tuntemeke na Kambona... peeps who were systematically silenced once they returned home with different ideas from Mwalimu... things like taking their passports and TANU membership, essentially leaving them unemployable, and definitely, per LAW - never run for any government position (without TANU or CCM membership) ... Tuntemeke was given these privileges back when Mwalimu was retiring - he didn't have them privileges during Mwalimu's reign...
* Mwalimu Nyerere... sikupenda vile alivonyamazisha wapinzani bila mijadala... ila I gi him props kuiELIMISHA nchi, kuiUNGANISHA nchi yetu na kupambana kuliKOMBOA bara letu... yaani, truly - like him or not - the man emphasis on education did wonders to illiteracy levels left by colonists, the man managed to make tribalism neva to become bloody - yaani we Tanzanians have now an instilled sense of being 'nduguz' under 'swahili' rather than enemies under 'tribalism' ... something one can see happening across our borders
* Shabaan bin Roberts - our Achinua Achebe ... (pia yule jamaa alietunga 'kufa na kupona' - a gripping nover I remember from childhood...)

notably from studying today's trend... InI always curious on big tribes formation ... could waSukuma be heroic prior to written history to have expanded their territory and language? would like to know history of that tribe, which I think has lots of off-shoots...

Jah blees
 
What answers mi see to this topic shows the History-deficiency we all have.


Mkuu thanks a lot for your very useful and informative post, I wholly agree with the most of what you have said....... umenikumbusha mbali being A Dar Young African Supporter lakini kwenye ukweli uongo hujitenga, when it comes International Games although we are all mediocre but simba has done more than the others, I remember a game Simba against National of Egypt when Zamoyoni Muogella (Golden Boy) alivyowasilence hawa watu, boy did he made me proud!!!!!.

Ni kweli kabisa we dont know our history and we are lazy, am sure this is the time things needs to be documented before all the previous generation becomes instinct, and we loose our identity
 
Kwanini hatuwaenzi mashujaa wetu??? Kwanini Kusiwe na Movies za kuwaenzi kina Mkwawa e.t.c ili watoto na wajukuu wetu wawajue hawa watu (badala ya waigizaji wetu ku-act movie nyingi kuhusu witchraft, angalau hata chache ziwe za historical moments).

Hivi kwanza ni nani mashujaa wetu Tanzania naomba tusaidiane kuwakumbuka.... The Great Achievers (Rating them kwenye Scale ya 1-10)... baadhi kwa haraka haraka ni:-
1. MKWAWA (10)
2. SHAABAN BIN ROBERT (5)
3. FILBERT BAYI (3)
4. KIMWERI (7)
5. MANGI SINA OF KIBOSHO (7)
6. .......

In that list I will put Kinjeketile. In Tanzania we downplay his role because of the belief and the myth of Majimaji creed. However, the Germans regard majimaji war as a social uprising against the government.

The German settlers forced people to work in the farms as slave. People refused and fought back. Although they were defeated, their courage prompted the German government to send a commision to investigate the matter. The findings of the commission were in favour of improving the conditions of native people. Some corrupt colonial officers were fired, and the practise of slave labour was almost abondoned. German settlers were supposed to pay their employees salaries.
 
Na askari yeyote hiyo ndo sifa ya kwanza kwa mwanajeshi,,,,kama umeshindwa jimalize kuliko kutoa siri za jeshi kwa wapinzani au kudhalilishwa,,,, mwiko kabisa kijeshi. Mkwawa was right......!
 
from this list nadhani walio stand out ni Mkwawa na Kinjekitile........... na wengine ambao sikutegemea hata kama watu watawanominate ni Kijana aliyempiga kibao Mwinyi, na RA
 
from this list nadhani walio stand out ni Mkwawa na Kinjekitile........... na wengine ambao sikutegemea ni Kijana aliyempiga kibao Mwinyi, na RA

Kumbe na RA kapita....hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!

Ngoja nikaandae party ya kuukaribisa mwaka!
 
Kumbe na RA kapita....hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!

Ngoja nikaandae party ya kuukaribisa mwaka!

Samahani mkuu nilifanya kosa katika kuandika ambao sikutegemea watapata nomination....... hawa jamaa wamekuwa nominated na watu wawili tu (yaani kula moja kwa kila mmoja)
 
1. Kinjeketile Ngwale - Aliyaunganisha Makabila (10)
2. Mkwawa Munyigumba - Alimshinda Mkoloni (10)
3. Julius K. Nyerere - Alipigania Uhuru (10)
4. Titi Mohammed - Alijenga Tapo (10)
5. Japhet Kirilo - Alidai Ardhi (10)
 
1. Kinjeketile Ngwale - Aliunganisha Makabila (10)
2. Mkwawa Munyigumba - Alimshinda Mkoloni (10)
3. Julius K. Nyerere - Alipigania Uhuru (10)
4. Titi Mohammed - Alijenga Tapo (10)
5. Japhet Kirilo - Alidai Ardhi (10)
Mkuu je unajua kama habari za hawa watu zinapatikana kwenye vitabu, sababu nadhani ingawa Mkwawa ni famous hivyo lakini I doubt kama kitabu chake kitakuwa zaidi ya pages 50, nadhani tunahitaji historia yetu iwe documented.... hivi waalimu na ma-proffesor wa History wanafanya nini??? au wanadhani kazi yao ni kufundisha peke yake??
 
Sahihi mkuu, kama nchi lazima kuwa na taratibu maalum za kutunza na kuirithisha historia ya watu ambao walikubalika kijamii kuwa ni mashujaa au mashuhuri katika nyanja mbalimbali za maisha. Hili linaweza kufanyika kuwa na kumbukumbu za maandishi michezo ya kuigiza kama vile sinema, tamthiliya, ucheshi n.k ambayo yaweza kurekodiwa na kutunzwa kiteknolojia kwa matumizi ya vizazi na vizazi. Aidha, kunaweza kuwa na nyimbo mbalimbali zinazozungumzia wasifu wa mashujaa au watu mashuhuri. Nakumbuka tukiwa primary tulikuwa na nyimbo za mchakamchaka zilizokuwa zikiwataja watu wa namna hizo kama kina Mkwawa, Kinjekitile na majimaji yake, Seth Benjamini, Bibi Sophia Kawawa, Bibi Titi Mohamed na wengine. Mambo mengine tuliyajua kupitia nyimbo tu, bahati mbaya siku hizi hata mchakamchaka hakuna.
 
Mkuu je unajua kama habari za hawa watu zinapatikana kwenye vitabu, sababu nadhani ingawa Mkwawa ni famous hivyo lakini I doubt kama kitabu chake kitakuwa zaidi ya pages 50, nadhani tunahitaji historia yetu iwe documented.... hivi waalimu na ma-proffesor wa History wanafanya nini??? au wanadhani kazi yao ni kufundisha peke yake??

Kuna Profesa wa Kimarekani, kwa jina Susan Geiger, sasa Marehemu, aliandika PhD/Kitabu kuhusu Titi Mohammed na Wanawake wa TANU.

Profesa Mugyabuso Mulokozi, na Profesa Kulikoyela Kahigi (MB), sasa wastaafu wa Idara ya Kiswahili, wameandika utenzi mrefu wa Mkwawa.

Naye Profesa wa Kiingereza, John Illife, ameandika Historia ya Mkwawa na wengine katika kitabu chake cha Modern History of Tanganyika.

Changamoto ni kwa Maprofesa Watanzania nao kuandika historia hizi kama alivyofanya Profesa Emeritus Isaria Kimambo wa Idara ya Historia
 
Back
Top Bottom