Kitila Mkumbo
Mkuu wangu nakubaliana na wewe sana tu isipokuwa Mh.Zitto anatakiwa kuishambulia sana Policies za CCM badala ya mtu kutangulia issue au event husika. Kumbuka kwamba mila na tamaduni za watanzania unapomshambulia mtu, watu huanza kujiuliza pengine kuna chuki baina yenu maana maisha ya Mtanzania yametangiwa na mapenzi/chuki ktk mahusiano ya watu.
Kama simpendi Zitto basi hata afanye nini nitampa pongezi na kama napenda JK basi hata akifanya jambo baya kiasi gani sinta comment. Ni hulka ya Watanzania kupima mawazo ya mtu ktk kipimo cha ajabu kabisa na muhimu sana kwa mwenye kutoa mawazo yake kujiepusha na lawama hizi. Ukimsoma hata Zitto kwa makini utagundua anazungumzia zaidi sera mbovu za CCM, mapungufu makubwa ya utekelezaji yanatokana na mfumo mbovu lakini hata siku moja hawezi kunyoosha kidole mfumo wenyewe kama hili la kutokuwa na gasi na mafuta policy..
Ni jana tu sisi wengine tumekuja gundua hili kutoka kwa Zitto baada ya kuulizwa na Mzee Mwanakijiji. Hapa ndipo ilitakiwa kushindilia maswali mengi sana ambayo hata kauli ya Muhongo ingebakia uchi mtupu. Kumbuka tu sisi tunajaribu sana kupokea mawazo yenu lakini tunaposhindwa kuwaelewa ni vizuri mjitambue ama mjiulize kwa nini wananchi hawakutuelewa badala ya kufikiria sisi ndio wenye matatizo. Binafsi yangu nampenda sana Zitto kwa juhudi zake na mara nyingi hutazama kwa nini Zitto hakueleweka na hivyo kutoa ushauri asimame vipi..
Mkuu wangu nakubaliana na wewe sana tu isipokuwa Mh.Zitto anatakiwa kuishambulia sana Policies za CCM badala ya mtu kutangulia issue au event husika. Kumbuka kwamba mila na tamaduni za watanzania unapomshambulia mtu, watu huanza kujiuliza pengine kuna chuki baina yenu maana maisha ya Mtanzania yametangiwa na mapenzi/chuki ktk mahusiano ya watu.
Kama simpendi Zitto basi hata afanye nini nitampa pongezi na kama napenda JK basi hata akifanya jambo baya kiasi gani sinta comment. Ni hulka ya Watanzania kupima mawazo ya mtu ktk kipimo cha ajabu kabisa na muhimu sana kwa mwenye kutoa mawazo yake kujiepusha na lawama hizi. Ukimsoma hata Zitto kwa makini utagundua anazungumzia zaidi sera mbovu za CCM, mapungufu makubwa ya utekelezaji yanatokana na mfumo mbovu lakini hata siku moja hawezi kunyoosha kidole mfumo wenyewe kama hili la kutokuwa na gasi na mafuta policy..
Ni jana tu sisi wengine tumekuja gundua hili kutoka kwa Zitto baada ya kuulizwa na Mzee Mwanakijiji. Hapa ndipo ilitakiwa kushindilia maswali mengi sana ambayo hata kauli ya Muhongo ingebakia uchi mtupu. Kumbuka tu sisi tunajaribu sana kupokea mawazo yenu lakini tunaposhindwa kuwaelewa ni vizuri mjitambue ama mjiulize kwa nini wananchi hawakutuelewa badala ya kufikiria sisi ndio wenye matatizo. Binafsi yangu nampenda sana Zitto kwa juhudi zake na mara nyingi hutazama kwa nini Zitto hakueleweka na hivyo kutoa ushauri asimame vipi..
Last edited by a moderator: