7 si imetoboka chiniNamba 7 ndo itakayojaa mapema Chunguzeni kwa makini muone
Namba 4 hauoni sehemu ya kuingizia maji imezibwa yatatokea wapi..???Namba 4 ikifuatiwa na namba 6
Nimekurubuka, ndio maana nae kasema 99% wata fail, hii imeonesha wengi wetu hatupo makini maana ukiangalia vizuri namba 4 na 6 zimezibwa maji hayaingii, namba saba imetobokaNamba 4 hauoni sehemu ya kuingizia maji imezibwa yatatokea wapi..???
Sawa murah weito, okeli abhande hayo oleNamba 4 hauoni sehemu ya kuingizia maji imezibwa yatatokea wapi..???
MkuuNamba 7 ndo itakayojaa mapema Chunguzeni kwa makini muone